Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na makosa makubwa ya binadamu ya afwanywa pale anapofanya maamuzi kutumia hisia na sio akili.Mwanaume anaishi kwa kufuata AKILI sio moyo, ni A K I L I.
Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru ujinga wake. Muache Rafiki yako aoe tu huyo Single Mother. Aliomba ushauri kama validation tu ila tayari ana maamuzi yake.
Wazazi waliomkata sio MALOFA, acha aje afundishwe na Ulimwengu kwa vitendo.
🤣🤣🤣🤣 Hiki nacho kitendawili.Unakuta mama ni singo maza lakini hataki mwanae aoe singo maza....why?
Upo sahih mkuu, japo wapo single maza wachache ni wife material ni vile tu wanahukimiwa na record za wenzaoMwanaume anaishi kwa kufuata AKILI sio moyo, ni A K I L I.
Mtu isipomfaa akili yake, utamdhuru ujinga wake. Muache Rafiki yako aoe tu huyo Single Mother. Aliomba ushauri kama validation tu ila tayari ana maamuzi yake.
Wazazi waliomkata sio MALOFA, acha aje afundishwe na Ulimwengu kwa vitendo.
Mama mwenyewe anajua, single maza ni mke wa mtu, na baba kwenye hiyo vita alikaa pembeni aone itaishajeJamaa yangu alienda kumtambulisha mchumba wake kwao ambae ni single mother , mama mzazi wa mshikaj akaja juu na kukataa hayo mausiano huku baba yake akiwa kimya , kisha jamaa akamuuliz mama yake mbona wewe baba alikuoa wewe ukiwa na mtoto je kulikua na shida yoyote ile
Aiseee mama alanza kulia na kudai kuwa jamaa kamtukan na kikao cha ukoo kikawekwaa kabs ndan akushikiki
Nadhani Record mbaya za masingle maza wengi, ndo husababisha hofu.Unakuta mama ni singo maza lakini hataki mwanae aoe singo maza....why?
Mzee alicheza kama pele.Mama mwenyewe anajua, single maza ni mke wa mtu, na baba kwenye hiyo vita alikaa pembeni aone itaishaje
Linapokuja suala la mapenzi watu wengi, matumizi ya akili hua 10% na hisia huchukua 90%Na makosa makubwa ya binadamu ya afwanywa pale anapofanya maamuzi kutumia hisia na sio akili.
Nanhilo ndio tatizo. Mapenzi ye yewe haya ya pesa mbele...mhm. wacha tuu niitwe mshamba mie akili mbele moyo nyuma.Linapokuja suala la mapenzi watu wengi, matumizi ya akili hua 10% na hisia huchukua 90%
Baba aikua analakusem ila akiw n mkew anamsupport mke ila akiwa n kijan anasema tatiz mama yako sio mwelew mwananguMama mwenyewe anajua, single maza ni mke wa mtu, na baba kwenye hiyo vita alikaa pembeni aone itaishaje
Single fathers hawana madhara, ndomaana ni nadra kuona mada zao.Sasa zianzishwe mada za kuhusu Single Fathers
Hawapashagi viporo itakuwa 🤣🤣🤣🤣Single fathers hawana madhara, ndomaana ni nadra kuona mada zao.
Ukinasa pahala matumizi ya akili hua ni kidogo sana, ndo maana majuto hua mjukuu.Nanhilo ndio tatizo. Mapenzi ye yewe haya ya pesa mbele...mhm. wacha tuu niitwe mshamba mie akili mbele moyo nyuma.
Ila haka kabinti ka sasa naona kama kanataka kunie desha kama gari bovu
single fathers hawana nongwaSasa zianzishwe mada za kuhusu Single Fathers
amsikilize Baba, na ni akina mama wanatuambia tusione Singo mazasBaba aikua analakusem ila akiw n mkew anamsupport mke ila akiwa n kijan anasema tatiz mama yako sio mwelew mwanangu
Hakuna kitu kama hicho mkuu, ni kasumba tu, most of them wako vizuriNadhani Record mbaya za masingle maza wengi, ndo husababisha hofu.
Huyo mzee msela sana.Baba aikua analakusem ila akiw n mkew anamsupport mke ila akiwa n kijan anasema tatiz mama yako sio mwelew mwanangu
Mkuu, kwa mtizamo wako unadhani kipi huwafanya wazazi wasipende watoto wao kuoa single maza?Hakuna kitu kama hicho mkuu, ni kasumba tu, most of them wako vizuri