Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Acha ufala, wewe ndo unamgegedea mke wake maana umemkuta nae.Lakini sii bora huyo unajua kabisa nani anakugegedea mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ufala, wewe ndo unamgegedea mke wake maana umemkuta nae.Lakini sii bora huyo unajua kabisa nani anakugegedea mkeo
Kwelihiyo ndio mbaya, kila mtoto unakuwa na wasiwasi naye kwamba umechanganyiwa mbegu.
lakini lazima tuelewane hapa hawa single mazas ni easy going, mkikorofishana kidogo anakumbuka baba watoto wake, utasikia "pamoja na kuniacha lakini hajawahi nifanyia hivi" ukisikia kauli hapo ni nyuma geuka mbele tembea
DaaaaaaahHapa nina ushahid nalo kabisaaa..... Kuna mzaz mwenzang tulishatengana kitambo ila tunawasiliana vzr tu na anaishi na mtu mwingine. Kuna siku alinipgia cm usiku saa tano akanambia nakuja kwako ila kwa maongez nkaona hayupo sawa nkamkubalia akaja akazima cm akanambia kam kwao wakipga cm kumuulizia niseme sijui akanambia kuna mtu kamtibua wamegombana sas najua anaish na jamaa yake je alogombana nae nan ikiwa ndiyo anakaa nae nkasema sawa ila ikipgwa cm kwao ntawapa tu ukwel kuwa yupo wapi nkaja kugundua baadae aligombana na uyo jamaa yake na nilipewa penzi tamu balaa.
Utanionea huruma na kunitukana hapo hapo, hvy tuachane nayo tuuToa uzoeufu boss wangu.
Sawa kwa hiyo sii tuna share mbususu na mwanamke amekubaliana na hilo shida iko wapi jamaniAcha ufala, wewe ndo unamgegedea mke wake maana umemkuta nae.
Huo ndyo ukwel mkuu na anapenda kuja kwangu sana sas hv tu ndiyo namkwepa sana mbaya zaidi mtoto nakaa nae basi kila akija kiporo kinapashwa.Daaaaaaah
Eeh hii kauli mie sijawahi isikia. Kum e wanakuwa na maneno mbofu mbofu hivyo🤔🤔🤔🤔hiyo ndio mbaya, kila mtoto unakuwa na wasiwasi naye kwamba umechanganyiwa mbegu.
lakini lazima tuelewane hapa hawa single mazas ni easy going, mkikorofishana kidogo anakumbuka baba watoto wake, utasikia "pamoja na kuniacha lakini hajawahi nifanyia hivi" ukisikia kauli hapo ni nyuma geuka mbele tembea
Mr. Sound Bora hiyo haitakuumiza sana ila kwa single mother utapata maumivu mara mbili we imagine unamsomesha mtoto wake mpaka anakuwa mkubwa kwa gharama nyingi hapo huna mtoto wako alafu unagundua anakucheat na yule yule aliyemzalisha na huduma ya mtoto alikuwa atoiMkuu kumbuka, kuoa asie single maza haikupi quarantee ya kutochapiwa.
Expect theseMr. Sound Bora hiyo haitakuumiza sana ila kwa single mother utapata maumivu mara mbili we imagine unamsomesha mtoto wake mpaka anakuwa mkubwa kwa gharama nyingi hapo huna mtoto wako alafu unagundua anakucheat na yule yule aliyemzalisha na huduma ya mtoto alikuwa atoi
Kwani ukiwa single mother inamaana ujawahi kutoa mimba?kwani aliyetoa mimba ni bora kuliko singo maza? singo maza wana shida gani?
Ukitaka kuepuka matatizo achana na habari za kuoa single mother. Mbona wasichana wapo wengi tu?Wazazi wengi ukiwadokeza, unataka kuoa single maza, reaction yao hua si nzuri hata kama wao ni single parent.
Rafiki yangu karibuni, alinambia aligombezwa na wazazi wake, baada ya kuwaambia anataka kuoa single maza. Yeye anaamini ni mtu sahihi coz ktk miaka 2 ya mahusiano yao, hajaona tabia mbaya, pia anadai ameplay part kubwa kukuza biashara yake.
Mimi nimemshauri afuate moyo wake, coz kuoa asie single maza, haikupi quarantee ya kutopigwa matukio.
Kwa mtizamo wako, unadhani kwa nini wazazi hawataki, tuoee single maza, hasa ikiwa ndoa ya kwanza?
Kwa kweli si mshauri mtu aoe single mother labda kama na wewe unafaidika nae hata kama ukipigwa tukio alikupi maumivu makubwaExpect these
Yeye anasema hata wasio single wanatoa fresh tu ila ni bora hao kuliko single mother unapata maumivu mara mbili yake kumbuka umemsomesha mtoto wake alafu unagundua anakucheat na yule yule baba watoto wake ambaye alikuwa achangii chochote kwa mtoto wake na akishaona mtoto kafika mazingira mazuri anajileta hivi hayo maumivu yatakuwa ya kiasi ganiMkuu acha ubishi, single mother ni red flag. Fumbo la mustakabli wa mahusiano isiwe sababu ya wewe kubet kwenye red flag.