Kwanini wazee wa zamani waliweza kuishi na ndugu wengi nyumbani, lakini kizazi hiki ni ngumu kuishi na ndugu?

Kwanini wazee wa zamani waliweza kuishi na ndugu wengi nyumbani, lakini kizazi hiki ni ngumu kuishi na ndugu?

Zamani uchumi ulikuwa imara.hapakuwa na mfumuko wa bei kama ilivyo Sasa.mfano zamani shilingi miambili unanunua debe la mahindi.
Sio zamani Sanaa enzi ya mkapa hapo 1995_2005

Shiling 100 unakunywa chai na chapati

Fungu la mchicha shilingi 5

Soda shiling 50

Enzi izo nauli ya mwanafunzi shiling 20

Yaan,
Kuna ambao wali ishi bila pesa na life likaenda very easy YAAN
 
Kweli kabisa Mimi ni miongoni mwa walio lelewa na ndugu sisi jumla tulikuwa 15 hivi sio siri tuliishi Kwa furaha na upendo wa hali ya juu
Sahihi mkuu.

Hata hivi leo mimi binafsi natamani maisha yale ambayo nilikulia.

Unaishi kwemye nyumba na.

Mimi
Baba
Mama
Dada
Shangazi
Mamdogo
Mdogo wako
baba mdogo
Mjomba.

Unakuta nyumba ina furaha na amani.

Sijui ule upepo umeenda wapi aiseee.

mambo yangu yakikamilika nitahakikisha nahodhi ndugu na kuwavuta tukae pamoja hata karibukaribu kuna baraka nyingi sana kuunga undugu.

Na katika vitu vinavyosabaisha upendo kupotea baina ya Nfugu ni kul kuishi mbalimbali.

Mkitaka kupendana ndugu ishini karibu na hata watoto wenu wacheze pamoja na wakue pamoja bila shaka magomvi baina ya ndugu yatapungua
 
Sahihi mkuu.

Hata hivi leo mimi binafsi natamani maisha yale ambayo nilikulia.

Unaishi kwemye nyumba na.

Baba
Mama
Dada
Shangazi
Mamdogo
Mdogo wako
baba mdogo
Mjomba.

Unakuta nyumba ina furaha na amani.

Sijui ule upepo umeenda wapi aiseee


Kweli hata Mimi hayo ndo maisha napenda sana .

Unakaa na mjomba huku Bibi . mama Mara mamdogo I love this life
 
Sahihi mkuu.

Hata hivi leo mimi binafsi natamani maisha yale ambayo nilikulia.

Unaishi kwemye nyumba na.

Baba
Mama
Dada
Shangazi
Mamdogo
Mdogo wako
baba mdogo
Mjomba.

Unakuta nyumba ina furaha na amani.

Sijui ule upepo umeenda wapi aiseee
Huo upepo bado upo, dunia kubwa ndio maana huko uliko wewe haupo, ila nilipo mimi ndio tunaishi hivo, hata kama sio nyumba Moja lakini ni ndani ya kijiji kimoja
 
1. Zamani maisha yalikuwa cheap
2. Baba yako hakuwa na needs ulizo nazo wewe mf bundle, kuhonga , bodaboda, kulipia dstv (mabadiliko yaliyoletwa na maendeleo)
3. Baba yako huenda alikuwa na mifumo ya upigaji
4. Personal preference. Wazee walikuwa wanakula nyumbani wewe utataka kwenda Bar kila siku ule kitimoto nusu na bia tisa
 
Sahihi mkuu.

Hata hivi leo mimi binafsi natamani maisha yale ambayo nilikulia.

Unaishi kwemye nyumba na.

Mimi
Baba
Mama
Dada
Shangazi
Mamdogo
Mdogo wako
baba mdogo
Mjomba.

Unakuta nyumba ina furaha na amani.

Sijui ule upepo umeenda wapi aiseee.

mambo yangu yakikamilika nitahakikisha nahodhi ndugu na kuwavuta tukae pamoja hata karibukaribu kuna baraka nyingi sana kuunga undugu.

Na katika vitu vinavyosabaisha upendo kupotea baina ya Nfugu ni kul kuishi mbalimbali.

Mkitaka kupendana ndugu ishini karibu na hata watoto wenu wacheze pamoja na wakue pamoja bila shaka magomvi baina ya ndugu yatapungua
Wajomba walipoanza kiwanajisi watoto wa mwenye nyumba watu wakapoteza imani
 
Back
Top Bottom