Sean Paul
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 1,330
- 3,289
Habari wana JF,
Katika uzoefu wangu na utafiti usio rasmi nimegundua watu wazima hasa wazee waliozeeka haswaaa, ni waoga wa kifo kuliko vijana.
Sisi vijana tunatake risk nyingi sana za kuogopesha na kuweka rehani maisha yetu, wala hatuna woga uliopitiliza wa kifo. Lakini wazee wetu wengi ni waoga sana wa kifo. Nadhani wengi mtakua mmejionea huko kama ikitokea mnauguza wazee hali inavyokuwa.
Inakuwaje mtu aliyeishi miaka 70+ ni mwoga wa kifo namna hiyo? Ana nini cha kupoteza huyu? Ni kawaida hali hii kutokea ama? Wataalamu wa saikolojia mnasemaje hapa kwa uzoefu wenu?
Katika uzoefu wangu na utafiti usio rasmi nimegundua watu wazima hasa wazee waliozeeka haswaaa, ni waoga wa kifo kuliko vijana.
Sisi vijana tunatake risk nyingi sana za kuogopesha na kuweka rehani maisha yetu, wala hatuna woga uliopitiliza wa kifo. Lakini wazee wetu wengi ni waoga sana wa kifo. Nadhani wengi mtakua mmejionea huko kama ikitokea mnauguza wazee hali inavyokuwa.
Inakuwaje mtu aliyeishi miaka 70+ ni mwoga wa kifo namna hiyo? Ana nini cha kupoteza huyu? Ni kawaida hali hii kutokea ama? Wataalamu wa saikolojia mnasemaje hapa kwa uzoefu wenu?