Kwanini Waziri Mulamula akimaliza kuongea na Mabalozi wa nje huwa hatupi ufafanuzi kama alivyokuwa akifanya Profesa Kabudi?

Kwanini Waziri Mulamula akimaliza kuongea na Mabalozi wa nje huwa hatupi ufafanuzi kama alivyokuwa akifanya Profesa Kabudi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
 
Kila kIongozi huwa na utaratibu wake wa kufanya kazi; mfano, marehemu mzee Mkapa yeye alikuwa na uraratibu wa kulihutubia Taifa kila mwisho wa mwezi, Mwendazake yeye alikuwa akilihutubia Taifa mazabauni kila jumapili. Muhimu tuone vitu vikitendeka.
 
Marekani wana project gani huku Tanzania nje ya kugawa dawa za uzazi wa mpango? Balozi alifanya vizuri kuongea machache.
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Huyo Kabugi kaharibu kazi ndiyo maana akatolewa hapo.

Unamlinganisha huyo Nshomile na huyo Mkagulu?
 
Nakumbuka Waziri Kabudi wakati yuko Mambo ya Nje alikuwa akitoa ufafanuzi mrefu kila amalizapo kuongea na Balozi yeyote kutoka ughaibuni.

Lakini kwa Waziri Mulamula imekuwa tofauti yeye huwa na maelezo mafupi tu ya kile kilichozungumzwa kwa mfano jana baada ya kuongea na Balozi wa Marekani.

Ufafanuzi mrefu unasaidia kubaini janjajanja za hawa mabeberu.

Kazi Iendelee!
Unataka aige upuuzi wa yule chokoraa!!
 
Ila naona Prof. alipo sasa anafit sana, sijui kwa nini mwendazake alifanya ile exchange ya Mahiga na Prof. , yalikuwa mabadiliko ya ajabu sana.
Mahiga alikuwa hajui kusifu na kuremba wala hakusema ametoka jalalani, ila Kabudi mpaka akamuita mwendazake mh. mungu

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Mama mulamula ni mwanadiplomasia nguli wala hahitaji kufananishwa na Prof.Majalalani anajua anachokifanya kimsingi kakulia foreign kazeekea huko sio yule umwa mtoa mimacho tu , mimi nimewadharau sana hawa wanaojiita professeri , yani imagine limtu linajiita somi huku linashikiwa akili na JIWE, wamewakosea sana watanzania hao umbwa
 
Back
Top Bottom