Kwanini Waziri Mulamula akimaliza kuongea na Mabalozi wa nje huwa hatupi ufafanuzi kama alivyokuwa akifanya Profesa Kabudi?

Liberata Mulamula yuko fully loaded Kama Minister wa Foreign. Kalamaganda alikuwa mbabaishaji na isitoshe alikuwa anapenda sifa kama Mwendazake
 
Ila naona Prof. alipo sasa anafit sana, sijui kwa nini mwendazake alifanya ile exchange ya Mahiga na Prof. , yalikuwa mabadiliko ya ajabu sana.
Prof Kabudi hata pale hafiti kabisa. Hekima ya Rais SSH tu ndiyo imewafanya waendelee kuwa Mawaziri kwa kuwa angewaleta wapya kungekuwa sintofahamu nyingi kwenye kutawala.

Kabudi anachokosea ni kusahau kuwa audience alizonazo sasa siyo zile lecture rooms za UDSM alizokuwa anawajaza wanafunzi takataka alizo cram bali ni Bunge, cabinet au hadhira za public ambazo zina watu wenye uelewa mkubwa kuliko yeye
 
Fala sana wewe boya,kizazi cha nyoka mbwa wewe,kabudi alikuwa liongo Kama Magufuli,hao mabeberu wanafanya nini Tanzania? Kama ni adui zenu wafukuzeni wanafiki kondoo pori mbwa,shenzi zenu mbwa nyie....
Tukana tena meku hayo matusi yako ni kachumbari tu!
 
..Nakumbuka Prof.Kabudi aliwahi kuitisha press conference akatuambia Tz imeingia mkataba na Barrick wa kugawana 50 / 50.
 
MulaMula anajielewa.
 
Kwahiyo kukaa kimya ndio kuiva kidiplomasia au unamaanisha diplomasia ya jikoni kwamba tunyamaze tusubiri msosi mezani. Acheni ujuaji
Hujuo chpchpte kuhusu mazungumzo ya kidiplomasia.

Ni lazima mkubaliane pande zote, kipi cha kuweka public, na kitolewe lini, siyo unatoka na kuanza kubwabwaja.

Ukiwa kiongozi, hasa kiongozi mkubwa, usipende kuongea mara kwa mara, kama alivyokuwa anafanya marehemu. Nadhani unafahamu, jinsi marehemu alivyokuwa anachemka kwa kauli za ajabu ajabu.
 
@Maneno Meier Kwanza nina swali kwako, Je ni fahari kuongoza wanyonge?

Kabudi anaweza kuwa very intelligent kusoma mawazo ya mtu kama usemavyo lakini haiondoi ukweli kuwa anapenda sifa zisizo na umuhimu, hana njia sahii za kutatua matatizo, anaamini yeye anajua kila kitu kitu ambacho sio kweli.

Kitu kingine jua kuwa sio kila intellectual au intelligent anafaa kufanya maamuzi.

Most of intelligent people lacks wisdom and humanity. I think this is the case here.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Marekani wana project gani huku Tanzania nje ya kugawa dawa za uzazi wa mpango? Balozi alifanya vizuri kuongea machache.
Mkuu hiyo Avatar ya Prof majalalani imeniua mbavu halafu haumsapoti πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
DENLSON kabla sijajibu swali lako ningependa kwanza kukuomba ufahamu kuwa matumizi ya hili neno mnyonge ni relative. Kwa kutambua kuwa binadam tumezaliwa na uwezo tofauti, ni kitu cha kuelewa kuwa wapo ambao hili neno linaweza kuwa kwaza kulingana na status au uwezo ambao wamejaliwa nao na kuna wale ambao kwa akili na maarifa waliyonayo wao wanajiona bado wako upande wa watu dhaifu na wasio na uwezo mkubwa, of course itakuwa ni faraja kwao kuwa na mtu ambaye atawaongoza. Hapa ninamaanisha kuwa unalitumia hili neno kutoka upande wa interest mtu alio kuwa nao. Na kama utakavyo jua kwa vile watanzania wengi ni watu wa kipato cha chini wao waliji-identify wenyewe kuwa ni wanyonge na hivyo kumwona Hayati Rais Magufuli kama ni mkombozi wao.

Sioni vizuri kumjaji Prof. Kabudi kulingana na mwenendo wake, kwani nahofia kuwa nawe unaweza ukawa unafanya makosa yale yale ambayo wewe hupendezewi nayo kwake. Kama nilivyo kuwa nimeeleza kwenye hoja yangu kuwa mimi nilikutana naye kwenye mazingira mengine Berlin mara hiyo moja tu na nilimjaji kulingana na uelewa wake wa mambo ambayo mimi nilifarijika nayo katika darasa alilolitoa kwangu na wengine walio kuwepo kwenye mazungumzo yale.

Nakubaliana na wewe kuwa "some intelligent people lack wisdom and humanity, but there are so many intellectuals who are humble and capable of making right decisions according to the given situations." Matatizo unayo yaona kwa Prof. Kabudi nafikiri ni ile hali yake anavyo jipa jipa. Mimi kwa upande wangu sioni kama ni swala kubwa sana kwani ni tabia ya binadam kuwa na mwenendo huo alio nao.

Aisee kama unawapenda watu wenye uelewa mpana wa maisha ya binadam ulimwenguni kama alio nao Prof. Kabudi basi ningekushauri siku ukae naye na upate darasa lake, nafikiri utakuwa na mtazamo mwingine kuhusu yeye. Prof. Kabudi ni thawabu kutoka kwa mungu. Kuwa na shukrani kwa mungu kwa kuijalia nchi yetu kuwa na watu kama yeye. Mbona kwenye lile sakata la Barrick alilitatua vizuri? Wewe huoni faraja ya kuona nchi yetu ina hisa kwenye kampuni ambayo ilikuwa inachimba madini yetu, lakini sisi wenyewe hatufaidiki?

Unaona jinsi wanyonge wanavyo hoji jinsi ya kuondekewa na Kiongozi wao?
 
Kwahiyo kukaa kimya ndio kuiva kidiplomasia au unamaanisha diplomasia ya jikoni kwamba tunyamaze tusubiri msosi mezani. Acheni ujuaji
basi nenda na wewe kaongee kwa sauti kubwa huku umekodoa macho kama Kabudi. Diplomasia ni pamoja na utulivu wa mazungumzo. Balozi Mula mula ndio mtu sahihi hapo.
 
Kaa kimya wewe dawa ikuingie . Ufafanuzi wa nini wakati yule anawakilisha watanzania? Mbona hukuomba ufafanuzi mrefu wakati wa manunuzi ya ndege???
 
Chumvi ikiwa nyingi kwenye chakula hakiliki
 
Kibaraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…