Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?


Mkuu hapa umemaliza kila Kitu na kama yupo Mswahili ( Mwafrika ) ambaye hajakuelewa katika hili basi Mapokezi pale Milembe Hospital ni pake.
 
Mimi huwa 'nawasindikizia' na 'Matusi' ya maana tu Mkuu ambayo najua Siku nikienda 'Mbinguni' ndiyo yatanifanya 'nichomwe' sana tu Moto huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani nimecheka kama mazuri, kuna mgonjwa alikuwa ananiambia hao wanavyokazana uwe unakula wameniletea chakula hapa, haaa haaa mpaka mgonjwa kaongea kwa hasira

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Yaani sie huku bara giza ukianza kufanya kitu cha maendeleo tu wanaanza kukaa mbele yako kukuziba ili usipite, halafu chakushangaza unakuta ni ndugu au watu wakaribu ambao huwezi tegemea kabisa kukuharibia, Mungu atusaidie sana.

Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
 
Hili ni janga!
-mgonjwa utakuta kalalia matambara hana hata Shuka ila akishakata roho shuka zuri litapatikana,suti atavalishwa,mashada ya bei mbaya,jeneza la kifahari n.k.Ninao mfano Bibi kizee mmoja alikataa kufanyiwa mazishi ya mbwembwe baada ya kuona watu wake hawakumjali wakati akiwa hai.Kwa ufupi ulimbukeni,kukosa utu na kutaka sifa ni sababu kubwa hasa.
 
Waafrika hasa Sisi 'Waswahili' tuna matatizo makubwa mno ya 'Akili' yaani Mgonjwa akiumwa hatuchangii ila akifa ndiyo tunatafuta Sifa tu Misibani.
Msiba unaingiza pesa kwa wafiwa kupitia. Rambirambi wakati mgonjwa pesa inaondoka mifukoni mwa waaouguza mtu lazima apende mazishi kuliko kuuguza!!!!!!!
 
Huku africa Kuna ujinga mwingi,huoni wanaojaa hata makanisani ni wachawi,wahuni,husda lakini hawakauki Wala kubadilika kitabia ili waje wazikwe vizuri,hili liko Hadi kwenye kuchangiana harusi nk nk
 
Kweli kabisa mkuu,,
Ukitaka jambo lako lisifanikiwe basi litangaze mapema kabla ya kulitimiza,,haliwezi kuwa kamwe.
Wakati wenzetu wazungu mipango yao inakuwa wazi kabisa ktk kila jambo lao.
Kweli Africa ni bara la giza.
 
Africa is the place love the died,they celebrate when you die ,they hate when you live.
 
Huenda waliokuwa sawa walipokuwa wanawachapa mababu zetu. Mf. Unaambiwa nawa mikono kwa sabuni, akikugeuzia kisogo tu hutumii sabuni, sasa usichapwe? Kulingana na swali lako huenda akili za Waafrika zipo chini sana.
 
Kwa sababu Waswahili hatuna akili
 
Swali zuri sana.

mimi huwa nakereka sana watu wanafanya misiba kama bonanza!!
Hapana mkuu. Kila mtu afanye jambo kulingana na hali yake ya uchumi. Watu hatufanani hata siku moja. Mungu ibariki Tanzania.
 
Waafrika hasa Sisi 'Waswahili' tuna matatizo makubwa mno ya 'Akili' yaani Mgonjwa akiumwa hatuchangii ila akifa ndiyo tunatafuta Sifa tu Misibani.
Inawezekana mgonjwa alikuwa anaumwa lakini Kuna baadhi ya ndugu, jamaa au rafiki hawakuwa na taarifa. Wengine wanaumwa ndani ya siku tatu kisha wanafariki.
 
Mkuu tatizo letu ni roho mbaya ,,
Mgonjwa anaweza akafa kwa kukosa Dawa ya malaria ya 3000 ,,lakini siku akifa yule yule aliyemnyima pesa ya kununuwa dawa atagharamia hata millions kwenye mazishi .
Mkuu, vp kama aliyeombwa pesa alikuwa hana kwa wakati huo? Mkuu, hawa watu wa high class kuna kipindi na wao wanakuwa hawana kwa sababu ya majukumu (ada za watoto, projects za ujenzi, kuombwa msaada na watu wengi, etc)
 
Vp kama na yeye alikuwa hana pesa kwa wakati huo? Angechangia nini sasa mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…