Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
Mkuu, mtu kasema kuwa "hana pesa" sasa kwanini ulazimishe kuwa anazo?Ndugu wakiwemo pia watoto walikuwa wagumu kutoa pesa ya kumsafirisha mgonjwa kwenda kupata matibabu zaidi hospitali bora nje ya mkoa. Kila mmoja alisema hana pesa.
Kupunguza lugha chafuUmeulewa huu 'Uzi' lakini? au pengine bado uko Kitandani na 'Basha' wako 'anakutumikisha' zaidi 'Kibaiolojia' ndiyo maana umejibu 'Kipopoma' pia?
Mkuu, pole sana kwa kupoteza mzazi wako. Lakini mkuu vilevile kumbuka kuwa sio mzazi wako pekee ndiye aliyekuwa mgonjwa hapo Muhimbili. Ninajua fika wapo madakatari wa hovyo, lakini Muhimbili wanajitahidi sana wale jamaa. Wagonjwa ni wengi, miundombinu isiyo rafiki, daah.Nakubaliana na hili juzi hapa nimepoteza mzazi wangu tena muhimbili yani hawajali kbsa hawako serious kuokoa maisha mpaka unajiuliza walilazimishwa kuwa madaktari?hakuna wito kbsa mtu anaumwa pesa ikipungua doktor haji hata ukimpa ahad utu umewatoka kbsa Mungu atusaidie sana
Sasa mkuu, wote mkiamua kukaa kumhudumia mgonjwa, ni nani atakayeenda kutafuta pesa ya kununulia chakula?Watu watajitokeza kumzika marehemu ila si kumuudumia wakati anapougua
Vp kama mtu alikuwa nje ya nchi?Hivi kuna nini?? Mgonjwa kalazwa ICU, kumtembelea hata kujua hali yake huendi ila akifa unaenda kuangalia maiti! Ni uuuuungwana?