Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?

Kwanini 'Wazungu' hupambana sana ili Mgonjwa asife, lakini 'Waafrika' hujitahidi mno kufanya 'Maziko' ya Kifahari kwa Marehemu?

Nakubaliana na hili juzi hapa nimepoteza mzazi wangu tena muhimbili yani hawajali kbsa hawako serious kuokoa maisha mpaka unajiuliza walilazimishwa kuwa madaktari?hakuna wito kbsa mtu anaumwa pesa ikipungua doktor haji hata ukimpa ahad utu umewatoka kbsa Mungu atusaidie sana
Mkuu, pole sana kwa kupoteza mzazi wako. Lakini mkuu vilevile kumbuka kuwa sio mzazi wako pekee ndiye aliyekuwa mgonjwa hapo Muhimbili. Ninajua fika wapo madakatari wa hovyo, lakini Muhimbili wanajitahidi sana wale jamaa. Wagonjwa ni wengi, miundombinu isiyo rafiki, daah.
 
Ni kwasababu watu weng wanapenda kujifaharisha mbele za watu aonekana ni msaada sana kwenye familia au anajiweza sana ktk jamii ndivyo watu wengi walivyo..
 
Africa unafiki unatusumbua sana tunapenda sifa ambazo hazina maana ili mladi tu tuonekane msiba wa fulani tulifanya jambo kumbe ujinga tu
 
Back
Top Bottom