Kwanini wazungu ni wachoyo wa chakula?

Kwanini wazungu ni wachoyo wa chakula?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli licha ya neema ya chakula waliyo nayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijifunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula ilhali hawajakualika kwa chakula.

Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.

Hii issue ilikuwa inanikera kama jiko ni la kuni na kuni si kavu kivile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.

Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.
 
Sio kwamba ni wachoyo, wanaendesha mambo yao kwa utaratibu na mpangilio.

Sasa kama wameandaa mlo wa familia yao wakitegemea watakua watano, wataanzaje kukuhangaikia mtu uliyeenda bila taarifa?

Mbona wakiandaa mwaliko wanakua na chakula cha kutosha tu.

Vilevile unaweza kumlipia kitu asijisikie vizuri au akakushangaa, wengine wanakataa kabisa.

Hiyo ni kwa mujibu wa niliokutana nao mimi na kufanya nao kazi.
 
Sio kwamba ni wachoyo, wanaendesha mambo yao kwa utaratibu na mpangilio.

Sasa kama wameandaa mlo wa familia yao wakitegemea watakua watano, wataanzaje kukuhangaikia mtu uliyeenda bila taarifa?

Mbona wakiandaa mwaliko wanakua na chakula cha kutosha tu.

Vilevile unaweza kumlipia kitu asijisikie vizuri au akakushangaa, wengine wanakataa kabisa.

Hiyo ni kwa mujibu wa niliokutana nao mimi na kufanya nao kazi.
Ni kweli mkuu, tena hata vilema ukiwapisha kwenye foleni hawapendi. Wanataka wasubiri kama wengine
 
Sio kwamba ni wachoyo, wanaendesha mambo yao kwa utaratibu na mpangilio.

Sasa kama wameandaa mlo wa familia yao wakitegemea watakua watano, wataanzaje kukuhangaikia mtu uliyeenda bila taarifa?

Mbona wakiandaa mwaliko wanakua na chakula cha kutosha tu.

Vilevile unaweza kumlipia kitu asijisikie vizuri au akakushangaa, wengine wanakataa kabisa.

Hiyo ni kwa mujibu wa niliokutana nao mimi na kufanya nao kazi.

Ni kweli, kama chakula wameandaa chao ukaenda bila taarifa , hesabu yako hamna uende umeshiba.
 
Sio kwamba ni wachoyo, wanaendesha mambo yao kwa utaratibu na mpangilio.

Sasa kama wameandaa mlo wa familia yao wakitegemea watakua watano, wataanzaje kukuhangaikia mtu uliyeenda bila taarifa?

Mbona wakiandaa mwaliko wanakua na chakula cha kutosha tu.

Vilevile unaweza kumlipia kitu asijisikie vizuri au akakushangaa, wengine wanakataa kabisa.

Hiyo ni kwa mujibu wa niliokutana nao mimi na kufanya nao kazi.

Uchoyo hauna rangi ya ngozi aisee.

Mtu yeyote anayedai hivyo ni mjinga tu.

Kwanza tabia ya kuzuka tu kwa watu bila taarifa ni ushenzi.

We utaendaje tu kwa watu bila hata kuwataarifu?

Haijalishi niko wapi, mtu akiibuka tu kwangu bila taarifa sipendi na nitamwambia.

Na huwa siendi kwa watu bila taarifa.

Na hii ni vile tu mimi nilivyo na haihusiani kabisa na rangi yangu ya ngozi.

Watu tunaishi kwa bajeti. Halafu jitu linaibuka tu bila taarifa litegemee mimi nililishe?

Hakuna hiyo aisee.
 
Nasikia hao ndugu zetu kwenye maswala ya budget wako strict sana. Kuna jamaa alinambia hata kama mtoto anaenda kuwasalimia wazazi wake lazima atoe taarifa mapema na akubaliwe kwanza then analipia gharama zote za chakula pindi atakapokuwa kwa wazazi wake.
 
Hakuna cha uchoyo wala nini,watu wanaenda na bajeti zao.
Huwezi enda nyumba ya mtu bila taarifa na utegemee kupewa chakula.
Hiyo inafanyika uswahilini tu.
Tena uswahilini kwenyewe watakupa chakula ukiondoka wanaanza kukusema kwa kuwaharibia mipango yao ya chakula kwa siku hiyo maana umewaharibia hesabu zao.
 
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli kichwa ya neema ya chakula waliyonayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijufunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula to ilhali hawajakualika kwa chakula.

Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.

Hii issue ilikuwa ina ni bore kama jiko ni la kuni na kuni si kavu ki vile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.

Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.
hata mimi mchoyo uwezi ukanikuta na kuku alafu vifinyango viwili paja na shingo.kudadeki na ficha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli kichwa ya neema ya chakula waliyonayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijufunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula to ilhali hawajakualika kwa chakula.

Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.

Hii issue ilikuwa ina ni bore kama jiko ni la kuni na kuni si kavu ki vile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.

Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.

Hapo utakuwa umewaelewa vibaya,unajua kuna tabia nyingine huwa zipo si tu kwa wazungu,kwa mfano mimi dini yangu imenikataza kutembelea watu mida ya chakula,yaani unajua kabisa muda huu watu fulani watakuwa wanakula,usiende kuwatembelea isipokuwa kwa mualiko maalumu.

Sasa kama ikitokea dharura kawaida mgani anatakiwa kukirimiwa hata kwa maji.
 
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli kichwa ya neema ya chakula waliyonayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijufunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula to ilhali hawajakualika kwa chakula.

Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.

Hii issue ilikuwa ina ni bore kama jiko ni la kuni na kuni si kavu ki vile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.

Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.


Kadhalika mida ambayo unajua ni watu watakuwa wamelala. Si mida mizuri ya kuwatembelea watu,kwani wewe unaweza kukwazika au kuwakwaza wao. Haya mambo yapo. Na hapa ndipo utaona umuhimu wa kutoa taarifa na kusibiri kupwa ruhusu. Hizi tunasema ni adabu na nidhamu za kuishi na watu.
 
Huwa wanasema "hand to mouth" ndio maisha yao wamechagua
Lakini wengi huwa wanaogopa unaweza ukawa allergy na chakula hicho ikawa mtihani kwao especially kuwapa watoto
All in all bado ni wabahili lakini ndivyo walivyofundishwa tangu utoto


Sent from my SM using Tapatalk
 
Huwa wanasema "hand to mouth" ndio maisha yao wamechagua
Lakini wengi huwa wanaogopa unaweza ukawa allergy na chakula hicho ikawa mtihani kwao especially kuwapa watoto
All in all bado ni wabahili lakini ndivyo walivyofundishwa tangu utoto


Sent from my SM using Tapatalk
Hii nimekuelewa maana inawezekana mko kwenye shughuli ya kazi nyumbani kwake. Saa ya chakula anakuuliza the ulibeba chakula chako? Anaweza kukuruhusu utumie microwave yake. Vinginevyo anakuacha tu na kwabahati ukimuon ana jinafasi wala haoni aibu.
 
Cha ajabu hao hao wachoyo ndio wanaotoa misaada ya afya, vyakula , elimu na maji kwene hisi nchi zetu zenye ukarimu....ironic is it?!

Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli kichwa ya neema ya chakula waliyonayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijufunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula to ilhali hawaja
Hii issue ilikuwa ina ni bore kama jiko ni l


Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.
 
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli kichwa ya neema ya chakula waliyonayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.

Nilijufunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula to ilhali hawajakualika kwa chakula.

Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.

Hii issue ilikuwa ina ni bore kama jiko ni la kuni na kuni si kavu ki vile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.

Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.
Maisha yamewafundisha mkuu hata sisi tunaelekea huko...
 
Back
Top Bottom