GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,279
- 2,921
Wanaishi kwa bajeti maana hata ukipigiwa simu mtoke out kula mtu anajitegemea sio huku kwetu tunawaza ofa tu.
Nilipokua masomoni nilipata shida sana kula mbele yao bila kuwaambia karibu wao wanabugia tu husikii karibu wala nn labda vibiscuit tena huyo anawaandaa siku kadhaa mbele.
Borthday kila mtu anaemda na kinywaji chake pale ni kucjeza music na kukaa pamoja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipokua masomoni nilipata shida sana kula mbele yao bila kuwaambia karibu wao wanabugia tu husikii karibu wala nn labda vibiscuit tena huyo anawaandaa siku kadhaa mbele.
Borthday kila mtu anaemda na kinywaji chake pale ni kucjeza music na kukaa pamoja tu
Sent using Jamii Forums mobile app