Hakuna cha uchoyo wala nini,watu wanaenda na bajeti zao.
Huwezi enda nyumba ya mtu bila taarifa na utegemee kupewa chakula.
Hiyo inafanyika uswahilini tu.
Tena uswahilini kwenyewe watakupa chakula ukiondoka wanaanza kukusema kwa kuwaharibia mipango yao ya chakula kwa siku hiyo maana umewaharibia hesabu zao.
hahahahahaha.... wakati huo moyoni mwake anaombea usije.. aahahaha!Waswahili wenyewe hawa ambao hata ukimkuta kabakisha vijiko viwili vya chakula haoni aibu kujibaraguza karibu chakula?
Waswahili wenyewe hawa ambao hata ukimkuta kabakisha vijiko viwili vya chakula haoni aibu kujibaraguza karibu chakula?
Hapo anaondoa lawama tu aonekane kakukaribisha chakula na yeye si mchoyoWaswahili wenyewe hawa ambao hata ukimkuta kabakisha vijiko viwili vya chakula haoni aibu kujibaraguza karibu chakula?
Na wengine(baadhi) hata kikiwa chakula kingi, 'karibu yao' haitoki moyoni....ni zuga tu.hahahahahaha.... wakati huo moyoni mwake anaombea usije.. aahahaha!
YAANI UNAFIKI TU ETI HILI USIJE KUMSEMA KWA WATU KUWA NI MCHOYO, HAKIKA UJAMAA WETU UMEKAA KINAFIKI SANA... ILA NAAMINI WATU WA KIJIJINI NDIO WANA UJAMAA WA KWELI TOKA ROHONI SIO HAWA WA USWAHILINI.Na wengine(baadhi) hata kikiwa chakula kingi, 'karibu yao' haitoki moyoni....ni zuga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
So maana yake ni kwamba they don’t really mean it, siyo?
Anasema tu hivyo kama kinga ya kuja kutosemwa baadaye kuwa yeye si mchoyo, siyo? Kwa sababu tu alikukaribisha chakula...
Hahahaaaaa.
hahahahahaha.... wakati huo moyoni mwake anaombea usije.. aahahaha!
Hata maboss hawanaga makeke kama ya Devid wa bongo, yaani maboss akufokee kama Devi anavyofoka hapana aiseeeNi kweli mkuu, tena hata vilema ukiwapisha kwenye foleni hawapendi. Wanataka wasubiri kama wengine
Kijijini? Mi kwangu bora hata watu wa mjini asee!YAANI UNAFIKI TU ETI HILI USIJE KUMSEMA KWA WATU KUWA NI MCHOYO, HAKIKA UJAMAA WETU UMEKAA KINAFIKI SANA... ILA NAAMINI WATU WA KIJIJINI NDIO WANA UJAMAA WA KWELI TOKA ROHONI SIO HAWA WA USWAHILINI.
Ebwanaa eeeh, This is modern Africa!Hakuna cha uchoyo wala nini,watu wanaenda na bajeti zao.
Huwezi enda nyumba ya mtu bila taarifa na utegemee kupewa chakula.
Hiyo inafanyika uswahilini tu.
Tena uswahilini kwenyewe watakupa chakula ukiondoka wanaanza kukusema kwa kuwaharibia mipango yao ya chakula kwa siku hiyo maana umewaharibia hesabu zao.
hahahaha hii comment imenifanya nijisikie vizuri,kuna mtu mtu natamani apitie hapa aone..Na wanatarajia utakua umeshiba, hauwezi ukawa unazurura bila kujua mambo yako yamekaaje na utajimudu vipi.
Kama wavimba macho tu... Japo wao wana kaunafiki wakibweep karibu ukala utaona watakavyotunisha mashavuNimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli licha ya neema ya chakula waliyo nayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.
Nilijifunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai. Hasa uingie ndani ya nyumba uwakute wanakula ilhali hawajakualika kwa chakula.
Huku kwetu Kwamtogole mgeni akiingia wakati mnakula atakaribishwa mezani. Kama ugali hautoshi, mama ataenda jikoni kimya kimya kupika ugali mwingine.
Hii issue ilikuwa inanikera kama jiko ni la kuni na kuni si kavu kivile. Moto utakusumbua sana kuivisha ugali wa ziada.
Haya nimeyaona sana Ulaya sifahamu tabia za Wamarekani.