Kwasabu amerika kulikua na mali nyingi ukilinganisha na afrika. Ukianzia madini mpaka ardhi yenye rutubaIngawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Venezuela, Brazili, Chile n.k.)sasa kwa nini hawakuja Afrika kwanza?
Kwasabu amerika kulikua na mali nyingi ukilinganisha na afrika. Ukianzia madini mpaka ardhi yenye rutubaIngawaje Wazungu waliijua Afrika kwa miaka mingi kabla ya Columbus kugundua Bara la Amerika, lkn Wazungu hawakuja Afrika kwanza mpaka baadaye sana badala yake wakaenda Bara la Amerika (Leo hii USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Venezuela, Brazili, Chile n.k.)sasa kwa nini hawakuja Afrika kwanza?
Maono yako ni kweli.Ni kweli huwezi taka kwenda kufika sehemu mfano eti kununua chumvi na ujue fika kuwa ni sehemu flani bila ya flani kufika.Kihistoria ni hivi kutoka bara la ulaya kwenda India kwa ardhi tu unaweza fika kabisa.Habari za India zilisambaa kirahasi kutokana na dini za ukristo na uslamu zilivoingia katika usambazaji wake ndio baadhi ya sehemu maarufu zikajulikana.Pia vita ni moja ya sababu ya kusambaa kwa habari kutokana na madola mengine miaka hiyo kutaka kujipanua.Mfano mfalme wa Mongolia Geghis Khan pamoja na kwamba Mongolia ni mbali sana lakini majeshi yake yalijaribu kuchukua himaya za nchi nyingi sana za mpaka bara la Ulaya mpaka nchi za Cheksovakia na Norway njia zote hizi zilisababisha habari kusambaa.Sasa je ni kwanini walichagua njia ya maji kutafuta India? Kumbuka hawa walikuwa ni explorers walitumwa na wafalme wa nchi zao kwa ajili ya sababu za kibiashara tu.Hata wewe ndugu yangu ukinunua marobota ya pamba Mwanza ukawa unataka kuyapeleka Dar kwa kupitia njia ya Mwanza-Singida-Dodoma-Morogoro-Dar lakini ukaambiwa kuna uharamia wa kutekwa njia hiyo lakini ukitumia njia ya Mwanza-Singida-Arusha-Moshi-Dar hiyo shida haipo lazima utachagua njia hii japo ni ndefu sana.Sababu ingine zamani walikuwa wanajua kuwa dunia ni kama sahani ukienda kuna mahali utaporomoka sasa uelewa kidogo ulishaanza kuingia taratibu kuwa dunia ni mviringo hivo hata wakienda ndani ya vyombo vya maji kuna uwezekano wa kuizunguka na kutokea sehemu ingineIla hili la kuitafuta Asia kidogo linanichanganya.
Ilikuwaje hao wazungu wa ulaya wajue kwamba huko Asia na India kulikuwa na biashara na viungo, bila kujua mahali kwenyewe palipo na jinsi ya kufika.
Coz hao walioleta taarifa hizo nilitaraji wawe na ufahamu wa eneo husika lllipo na njia za kufika.
Ulaya na Asia zimeungana hakuna hata bahari, sasa iweje wavuke maji kwenda America ambako ni uelekeo tofauti kabisa.
Mm nadhani hao wazungu walikuwa washafika hiko India na asia tayari, ndio wakaanza kupuyanga kwingine wakikata maji waone hayo maji yatawafikisha wapi, ndio wakajikuta huko America.
Ni fikra zangu kulingana na jinsi nionavyo,
Historia ya Africa na dunia kwa ujumla sio ile tunayoisoma darasani.Historia ya dunia imefichwa na inaonekana kwa uchache kupitia kivuli kinachoitwa "Conspiracy theories".
Wazungu wameanza kuja Africa miaka mingi kabla ya kristo.Na waafrica wengi wamesafiri sehemu mbalimbali za dunia mfano America ya kusini, kabla ya kinachodaiwa kuja kwa wazungu Africa kupitia wakina Vasco Da Garma, Bathlememew Diaz etc.
Maono yako ni kweli.Ni kweli huwezi taka kwenda kufika sehemu mfano eti kununua chumvi na ujue fika kuwa ni sehemu flani bila ya flani kufika.Kihistoria ni hivi kutoka bara la ulaya kwenda India kwa ardhi tu unaweza fika kabisa.Habari za India zilisambaa kirahasi kutokana na dini za ukristo na uslamu zilivoingia katika usambazaji wake ndio baadhi ya sehemu maarufu zikajulikana.Pia vita ni moja ya sababu ya kusambaa kwa habari kutokana na madola mengine miaka hiyo kutaka kujipanua.Mfano mfalme wa Mongolia Geghis Khan pamoja na kwamba Mongolia ni mbali sana lakini majeshi yake yalijaribu kuchukua himaya za nchi nyingi sana za mpaka bara la Ulaya mpaka nchi za Cheksovakia na Norway njia zote hizi zilisababisha habari kusambaa.Sasa je ni kwanini walichagua njia ya maji kutafuta India? Kumbuka hawa walikuwa ni explorers walitumwa na wafalme wa nchi zao kwa ajili ya sababu za kibiashara tu.Hata wewe ndugu yangu ukinunua marobota ya pamba Mwanza ukawa unataka kuyapeleka Dar kwa kupitia njia ya Mwanza-Singida-Dodoma-Morogoro-Dar lakini ukaambiwa kuna uharamia wa kutekwa njia hiyo lakini ukitumia njia ya Mwanza-Singida-Arusha-Moshi-Dar hiyo shida haipo lazima utachagua njia hii japo ni ndefu sana.Sababu ingine zamani walikuwa wanajua kuwa dunia ni kama sahani ukienda kuna mahali utaporomoka sasa uelewa kidogo ulishaanza kuingia taratibu kuwa dunia ni mviringo hivo hata wakienda ndani ya vyombo vya maji kuna uwezekano wa kuizunguka na kutokea sehemu ingine
Tupo pamoja mzee mekoMaono yako ni kweli.Ni kweli huwezi taka kwenda kufika sehemu mfano eti kununua chumvi na ujue fika kuwa ni sehemu flani bila ya flani kufika.Kihistoria ni hivi kutoka bara la ulaya kwenda India kwa ardhi tu unaweza fika kabisa.Habari za India zilisambaa kirahasi kutokana na dini za ukristo na uslamu zilivoingia katika usambazaji wake ndio baadhi ya sehemu maarufu zikajulikana.Pia vita ni moja ya sababu ya kusambaa kwa habari kutokana na madola mengine miaka hiyo kutaka kujipanua.Mfano mfalme wa Mongolia Geghis Khan pamoja na kwamba Mongolia ni mbali sana lakini majeshi yake yalijaribu kuchukua himaya za nchi nyingi sana za mpaka bara la Ulaya mpaka nchi za Cheksovakia na Norway njia zote hizi zilisababisha habari kusambaa.Sasa je ni kwanini walichagua njia ya maji kutafuta India? Kumbuka hawa walikuwa ni explorers walitumwa na wafalme wa nchi zao kwa ajili ya sababu za kibiashara tu.Hata wewe ndugu yangu ukinunua marobota ya pamba Mwanza ukawa unataka kuyapeleka Dar kwa kupitia njia ya Mwanza-Singida-Dodoma-Morogoro-Dar lakini ukaambiwa kuna uharamia wa kutekwa njia hiyo lakini ukitumia njia ya Mwanza-Singida-Arusha-Moshi-Dar hiyo shida haipo lazima utachagua njia hii japo ni ndefu sana.Sababu ingine zamani walikuwa wanajua kuwa dunia ni kama sahani ukienda kuna mahali utaporomoka sasa uelewa kidogo ulishaanza kuingia taratibu kuwa dunia ni mviringo hivo hata wakienda ndani ya vyombo vya maji kuna uwezekano wa kuizunguka na kutokea sehemu ingine
Wajuzi washasema kwamba, Kule americaLkn swali langu ni kwamba kwa nini Wazungu waliamua kutawala na kuhamia Bara la Amerika kabla ya Afrika ingawaje walilijua Bara la Afrika kabla ya Bara la Amerika?
Wajuzi washasema kwamba, Kule america
1. Hakukuwa na resistance kama ilivyokuwa afrika. Huku kwetu tayari kulikuwa na tawala zenye nguvu, so haikuwa rahisi kuingia na kuchukua maeneo kama kule america ambapo kulikuwa na watu wavivu na wasiojitambua
2. Kule america kulikuwa ma ardhi yenye rutuba sana kuliko afrika, na pia Mali zingine nyingi kama madini
Aliyevumbua America ni Mtaliano Amerigo Vespucci. Lengo lao ninkuipata njia rahisi kufika India kunako karne ya 15 kwa ajili ya viungo vya chakula spices na dhahabu. Walipofika Amerika wakakuta wenyeji wakidhani ndio wa India na kuwaita Indians wakati siwo.
Ila Afrika walishaijua kitambo kabla.
Sijui ntakuwa nimekuelewa?Dark father
Kwa hiyo unamaanisha huko Asia hawakuwa weupe kabla ya hao wa ulaya kuvamia sio.
Walikuwa ni wa rangi gani then
Lkn kwa nini sasa Wazungu hawakuchagua kuja Afrika badala yake wakaenda Amerika ukichukulia kama ulivyosema walikuwa wanalijua Bara la Afrika tangu zamani sana lkn hawakuja mpaka baadaye sana wakati walikuwa wameshajijenga huko Amerika!
Kwa mfano Wazungu walifika TZ yetu ya leo kwenye miaka 1890 lkn tayari kulikuwa na nchi ya USA, Kanada, Mexiko, Argentina, Brazili n.k. sasa kwa nini ndicho nilichopenda kufahamu!
Kabisa mkuu. You really know history. Naheshimu sana watu wanaotoa maelezo in detail na kwa facts.The dark father maelezo mazuri ahsante
Ni hivi kuna explorer mmoja alikuwa anaitwa Amerigo Vespucci alizaliwa katika mji wa Florence Italy tarehe 9 March 1450.Alifanya safari yake ya kwanza tarehe 10 May 1494 kwenda kujaribu kutafuta njia ya kwenda bara la Asia.Safari yake ya tatu alifanya akafanikiwa kufika Rio de Jeneiro nchi ya Argentina ya sasa.
Alipokuta nchi hii akagundua sio nchi ya Asia akaipa jina la dunia mpya habari za bara hili akizirudisha kwa mfalme wa Ureno wakati huo ambayo ndio alikuwa mfadhili wa safari yake hiyo.
Mnamo mwaka 1507 hiyo dunia mpya ikapewa heshima yake na kuitwa AMERICA kulingana na jina lake Amerigo.Hata hivo ilikuja kugundulika baadaye na Christopher Columbus au Cristobal Columbus kuwa kumbe kuna bara lingine liko kaskazini ambalo ndio bara la Amerika kaskazini
Bahati wenyeji waliowakuta kule hawakuwa wakorofi walikuwa ni wahindi wekundu ambao kiasili walikuwa ni wafugaji na wavivu.Ikumbukwe lengo lao kuu lilikuwa kutafuta njia ya kwenda India kununua viungo maana tawala za nchi za Asia zilikuwa simeendelea sana kibiashara na zilikuwa na tawala zenye nguvu.Walivoona mabara hayo mapya waliyoyakuta yalikuwa na rutuba sana na hali ya hewa ilikuwa sawa na kwao ndio mkakati wa kuhamia Amerika ukaanza taratibu.
Wahindi wekundu wa Amerika wanavoitwa vile kiukweli sio wahindi ila kwasababu shida yao ilikuwa kufika India kwa mara ya kwanza walidhani wamefika wakawapachika jina hilo kwa makosa na walikuwa ni wekundu na ni wekundu hadi leo
Amerigo Vespucci alifariki tarehe 22 feb 1552 katika mji wa Seville katika nchi ya Uhispania
Tatizo la Sokomoko ni ulevi ndio maana hata humu hayupo ila mzee Huihui na Kobelo wapo humuTupo pamoja mzee meko
Msalimie sokomoko, mwambie aache kujificha.
Hahaaaaaa
Barbosa alitoa mada nzuri na wewe ulijitahidi sana kutoa majibu mazuri ya ukweli kabisa nikaona niingie deep kukupa tough na kukupongeza karibu tuko pamojaKabisa mkuu. You really know history. Naheshimu sana watu wanaotoa maelezo in detail na kwa facts.
Nikiwa na maswali zaidi ntakuchek; coz im always learning.
Shukran
Walishafika huko,walichokuwa wanatafuta ni shortcut ya kuweza kwenda na kurudi kwa urahisi.Ila hili la kuitafuta Asia kidogo linanichanganya.
Ilikuwaje hao wazungu wa ulaya wajue kwamba huko Asia na India kulikuwa na biashara na viungo, bila kujua mahali kwenyewe palipo na jinsi ya kufika.
Coz hao walioleta taarifa hizo nilitaraji wawe na ufahamu wa eneo husika lllipo na njia za kufika.
Ulaya na Asia zimeungana hakuna hata bahari, sasa iweje wavuke maji kwenda America ambako ni uelekeo tofauti kabisa.
Mm nadhani hao wazungu walikuwa washafika hiko India na asia tayari, ndio wakaanza kupuyanga kwingine wakikata maji waone hayo maji yatawafikisha wapi, ndio wakajikuta huko America.
Ni fikra zangu kulingana na jinsi nionavyo,
Dunia imeanza zamani sana, hakuna jipya chini ya jua. Kama hujui unaweza kudhani ndio imeanza juzi.Labda namba 2 naweza kukubaliana nayo lkn siyo namba 1, kwani Bara la Amerika lilikuwa na advanced civilization klk kwetu Afrika, kama ulishawahi kusikia kuhusu Maya Civilization ambapo walikuwa na kila kitu hata kuna mapiramidi walijenga kama ya Misri, hivyo siwezi kuamini kwamba sisi tulikuwa na Jeshi imara klk la Maya people kuweza kuwatisha Wazungu waliokuwa na vifaa vya kisasa vya kivita!
Piramidi za Maya Civilization
walijenga haya Majengo kwenye karne ya 7
Hii ilikuwa nyumba ya Kiongozi wao au Ikulu karne ya 7 huko kabla Muzungu hajatia mguu, waliweza kujenga majengo kama haya
Angalia hilo jengo na hizo ngazi, watu wa Maya walijenga kwenye karne ya 6/7 huko, sasa sidhani kama waliweza kujenga haya majengo karne ya 6/7 walishindwa kuwa na Jeshi imara klk sisi!