maya empire
Member
- Mar 24, 2017
- 75
- 80
Ni kweli kuwa ulaya na Asia vimeungana Kwa nchi kavu,lakin ukumbuke katikati ya mabara haya kuna safu za milima Himalaya ambazo zimakava kama nchi tano kama siyo sita au saba ambazo baadhi zipo ulaya na nyingine zipo Asia,Kwa hiyo hizo safar za kutoka ulaya na kwenda Asia moja Kwa moja ziliwachukua mda mrefu na walikumbana na kashi kashi nyingi njiani Kwa sababu ya milima HimalayaIla hili la kuitafuta Asia kidogo linanichanganya.
Ilikuwaje hao wazungu wa ulaya wajue kwamba huko Asia na India kulikuwa na biashara na viungo, bila kujua mahali kwenyewe palipo na jinsi ya kufika.
Coz hao walioleta taarifa hizo nilitaraji wawe na ufahamu wa eneo husika lllipo na njia za kufika.
Ulaya na Asia zimeungana hakuna hata bahari, sasa iweje wavuke maji kwenda America ambako ni uelekeo tofauti kabisa.
Mm nadhani hao wazungu walikuwa washafika hiko India na asia tayari, ndio wakaanza kupuyanga kwingine wakikata maji waone hayo maji yatawafikisha wapi, ndio wakajikuta huko America.
Ni fikra zangu kulingana na jinsi nionavyo,
Kwa hiyo ili kuepuka ugumu huo iliwabidi waopt kutumia bara la Africa ili wafike Asia,
Lakin kupitia Africa pia nilikuwa na vikwazo vingi sana vikiwemo uwepo wa dola imara za waafrika,pia baada ya kumaliza kutembea kupitia nchi kavu ya afrika,iliwabidi tena watumie usafir mwingine wa majini kuwapeleka hiyo Asia mashariki,hapo garama ikawa kubwa sana
Sasa suluhisho LA yote hayo ni kutafuta njia ya majini ya kutoka ulaya na kufika moja Kwa moja huko Asia mashariki bila kikwazo kutoka jamii yoyote,so the Atlantic ocean ikawa ndiyo suluhisho
Sasa kupatikana Kwa America ilikuwa ni accidentally, na walipofahamu pale siyo Asia,iliwabidi wafanye america kuwa kituo chao cha kupumzikia wakat wanatoka ulaya kwenda Asia mashariki na baadhi yao wakaweka makaz