Kwanini Wazungu walivamia Bara la Amerika kabla ya Afrika?

Ni kweli kuwa ulaya na Asia vimeungana Kwa nchi kavu,lakin ukumbuke katikati ya mabara haya kuna safu za milima Himalaya ambazo zimakava kama nchi tano kama siyo sita au saba ambazo baadhi zipo ulaya na nyingine zipo Asia,Kwa hiyo hizo safar za kutoka ulaya na kwenda Asia moja Kwa moja ziliwachukua mda mrefu na walikumbana na kashi kashi nyingi njiani Kwa sababu ya milima Himalaya
Kwa hiyo ili kuepuka ugumu huo iliwabidi waopt kutumia bara la Africa ili wafike Asia,
Lakin kupitia Africa pia nilikuwa na vikwazo vingi sana vikiwemo uwepo wa dola imara za waafrika,pia baada ya kumaliza kutembea kupitia nchi kavu ya afrika,iliwabidi tena watumie usafir mwingine wa majini kuwapeleka hiyo Asia mashariki,hapo garama ikawa kubwa sana

Sasa suluhisho LA yote hayo ni kutafuta njia ya majini ya kutoka ulaya na kufika moja Kwa moja huko Asia mashariki bila kikwazo kutoka jamii yoyote,so the Atlantic ocean ikawa ndiyo suluhisho

Sasa kupatikana Kwa America ilikuwa ni accidentally, na walipofahamu pale siyo Asia,iliwabidi wafanye america kuwa kituo chao cha kupumzikia wakat wanatoka ulaya kwenda Asia mashariki na baadhi yao wakaweka makaz
 
Ni kweli kuwa ulaya na Asia vimeungana Kwa nchi kavu,lakin ukumbuke katikati ya mabara haya kuna safu za milima Himalaya ambazo zimakava kama nchi tano kama siyo sita au saba ambazo baadhi zipo ulaya na nyingine zipo Asia,Kwa hiyo hizo safar za kutoka ulaya na kwenda Asia moja Kwa moja ziliwachukua mda mrefu na walikumbana na kashi kashi nyingi njiani Kwa sababu ya milima Himalaya
Kwa hiyo ili kuepuka ugumu huo iliwabidi waopt kutumia bara la Africa ili wafike Asia,
Lakin kupitia Africa pia nilikuwa na vikwazo vingi sana vikiwemo uwepo wa dola imara za waafrika,pia baada ya kumaliza kutembea kupitia nchi kavu ya afrika,iliwabidi tena watumie usafir mwingine wa majini kuwapeleka hiyo Asia mashariki,hapo garama ikawa kubwa sana

Sasa suluhisho LA yote hayo ni kutafuta njia ya majini ya kutoka ulaya na kufika moja Kwa moja huko Asia mashariki bila kikwazo kutoka jamii yoyote,so the Atlantic ocean ikawa ndiyo suluhisho

Sasa kupatikana Kwa America ilikuwa ni accidentally, na walipofahamu pale siyo Asia,iliwabidi wafanye america kuwa kituo chao cha kupumzikia wakat wanatoka ulaya kwenda Asia mashariki na baadhi yao wakaweka makaz
 
Mkuu wazungu walishahamia africa especialy north miaka mingi sana kabla na baada ya yesu kuanzia Wagiriki,Warumi,Vandals na phoenicians.Alexander the great wa wa wagiriki wa macodon empire alianzisha mji mpya pale egypt mji wa Alexandria kwenye mwaka 331BC ambao upo mpaka leo.Ukoloni wa bara africa na wazungu uligawanyika awamu mbili hyo unayoifahamu wewe ni awamu ya pili.
 
Kilichowamaliza mayans pamoja na civilizations nyengine zilizokuwako katika mabara ya amerika ni Magonjwa ya mlipuko,yaliyoletwa na wageni,magonjwa ambayo hayakuwapo kwao na hawakuwa na immunity nayo,pia silaha ziluzotumiwa na wavamizi wa kizungu zilikuwa more advanced kuliko za kwao
 
Nasoma comment tu ila ubishi huu uwe na trusted source tu
 


Labda sikuweza kuelezea vizuri, nilichomaanisha ni Afrika ya kwetu huku yaani Kusini mwa Sahara, nafahamu khs Afrika ya Kaskazini lkn nilikuwa naongelea Ukoloni wa Wazungu Afrika ya kwetu kwamba kwa nini ilichelewa sana?
 
Kwasababu ngozi yao ilitaka barid sio africa walibabuka kwa joto na kula vumbi



Swissme
Bara la Amerika yaani Latin America kutokea Mexico (na hata Kusini mwa Marekani - New Mexico, Texas, California, Louisiana na Florida) hadi Argentina kuna joto kali kama ilivyo Bara la Afrika. Kinachotofautisha ni kwamba: Wa-Iberians (Spaniards na Portuguese) ambayo yalikuwa Mataifa makubwa Ulaya kuanzia Karne ya 15 - 17, walikuwa wakichimba silver barani Amerika ambayo ilikuwa na thamani kubwa kama exchange currency barani Ulaya. Vilevile, walihitaji sana sugar hivyo walianzisha mashamba ya miwa Caribbean na Brazil.
Aidha, America hakukuwepo magonjwa hatari kwao kama malaria, yellow fever na trypanosomiasis (sleeping sickness), ambayo ni endemic kwetu sisi waafrika. Kwa Amerika, wazungu walipokuwa wakienda huko, Red Indians wengi walikufa na hivyo kuwalazimu wazungu kuanza kuja Afrika kuchukua watumwa kwa ajili ya kureplace wahindi waliokufa kwa magonjwa ya wazungu na kazi ngumu za sulubu.
Hivyo mtaona kwamba wakati wazungu walipokuja Afrika, wao ndio walikufa lakini walipikwenda America, waliwawaua wahindi wekundu, so kukawepo vacuum kubwa na maeneo kuwa empty. Hivyo wakati wazungu wa kilatini (Wareno na Wahispania) wanahamia Latin Amerika Karne ya 16 - 17 na kufuatiwa na uhamiaji mkubwa wa Teutonic races - whites (Waingereza, Wafaransa, Wajerumani na Nordic) katika Karne ya 18 - 19, ulipelekea Wazungu wengi kuvutika na kwenda kwenye Bara hilo. Hizo stage ndizo ziliitwa Mercantilism - commercial capitalism (Walatino) na Industrial - Competitive capitalism (Whites - Teutons).
Hata hivyo, wazungu walipohamua kukomesha biashara ya utumwa, tayari Uingereza ilikuwa imeshakomaa kwenye industrial revolution tangu 1780s na kufuatiwa na Ufaransa na Ubelgiji in 1840s na Ujerumani na Marekani in 1860s, ndipo waliamua kuja Afrika kutafuta raw materials - refer Monopoly Capitalism (imperialism & colonialism).
 
Kwa sababu za kiintelijensia yao kipindi hicho.



(explorers)
 
Wazungu walianza kuja Afrika kabla ya America rejea utawala wa wagiriki Egypt baadae utawala wa waroma Egypt hapo ni kabla ya kristo
 
Wazungu walianza kuja Afrika kabla ya America rejea utawala wa wagiriki Egypt baadae utawala wa waroma Egypt hapo ni kabla ya kristo


Sikumaanisha Afrika ya Kaskazini bali Afrika ya kwetu huku Kusini mwa Sahara!
 

Majibu mazuri
 
Aliyegundua Amerika aliitwa Amerigo Vespuci na ndio jina Amerika likapatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…