KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #41
Kwa viumbe kama nyoka nk, sumu yao ni kwa ajili ya kujihami na kutafutia chakula.waweza kujiuliza kwa nini sumu iliumbwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa viumbe kama nyoka nk, sumu yao ni kwa ajili ya kujihami na kutafutia chakula.waweza kujiuliza kwa nini sumu iliumbwa
Kunguni uishi humoMagunia yanageukaje kuwa kunguni?
Na Waarab piakunguni wa paris Wamepelekwa na waafrika 😂😂😂
Mashine ya kazi hiyo kuna sehemu ilimwagika miaka miwili hakikatizi kitu.Akipita sisimizi anakufa,mende anakufa,mjusi anakufa.Ile dawa ya ngao ilikuwa inawamaliza vizuri sana. Siku hizi haipo
Wanatokea wapi?Kunguni uishi humo
Haipo madukani siku hiziMashine ya kazi hiyo kuna sehemu ilimwagika miaka miwili hakikatizi kitu.Akipita sisimizi anakufa,mende anakufa,mjusi anakufa.
Hawa jamaa ni wakimbizi, walikaa maporini kukimbia kwao kwenda Ulaya bila hata kuoga miezi na miezi na ndiyo maana kunguni, chawa na viroboto wanakaa /ishi kwenye hayo magunia yaoWanatokea wapi?
Wale kunguni wamepelekwa na Waarab kule. We fikiria mtu anavaa magunia mwilini anashinda majangwani kukimbia kwenda Ulaya miezi na miezi bila kuoga, unategemea nini?Ukistaababu kunguni wa UDOM utayaona mazito ya barani Ulaya hasa Ufaransa ambako kunguni wametamalaki hadi ndani ya vyumba vya ikulu.
Wazungu ndio wanajiona mababa wa sayansi. Waundaji na watengenezaji wa silaha hatari za kumwangamiza binadamu ndani ya sekunde moja tu.
Lakini pamoja na umwamba na majivuno aina zõte na makujijafe na kujimwambafai wanatolewa jasho na kunguni. Hii ni aibu kubwa kiasi gani?
Halafu kwanini hawakimbilii nchi za Kiislamu wanaenda za Kikristo, wakilishwa kitimoto wanaanza kulialia.Wale kunguni wamepelekwa na Waarab kule. We fikiria mtu anavaa magunia mwilini anashinda majangwani kukimbia kwenda Ulaya miezi na miezi bila kuoga, unategemea nini?
kunguni hawawezi kuisha ulaya kwa sababu wazungu ni wachafu sana,hauwezi amini,,ivi unajua ni wazungu wachache sana wanaoga??[wengi wao wanajifutia maji kwa vitambaa au taulo]..ivi unajua asilimia kubwa ya wazungu ni MAGOVI [kiasili hawana utaratibu wa kutairi, wachache wameiga AFRKA na ARABUNI]'''ivi unajua wazungu wengi hawafui nguo zao hasa wale wasiona na mashine za kufulia nguo??[ndio chanzo CHA NGUO ZA MITUMBA,na ndo manake huwa zinapuliziwa dawa kabla ya kufika huku,na ndo manake kuna watu wanakutaga pesa,leso na nyaraka mbalimbali kwenye mifuko ya hizo mitumba!!!!!]...mbaya zaidi, ivi unajua wazungu 80% HAWACHAMBI KWA KU2MIA MAJI????...wao ni mwendo wa TISSUE tu!!!,,,nayasema haya kwa sababu nilipata bahati ya kwenda moja ya nchi za huko,,ndo manake ata MZEE MAGUFULI alikuwa anataka kupiga marufuku NGUO ZA MITUMBA!!!!...unaambiwa 20% ya wazungu sababu moja wapo ya kuingiliana kinyume na maumbile ni kwa sababu kinyesi kinakuwa kimeganda makalioni{kwani tissu haiwezi kumaliza kinyesi chote,lazima kuwe na MPARAZO so makalio yanakuwa yanawasha}.......huwa nashangaa sana ninapoona wa2 wanawa2kuza hawa jamaa,sio wastaarabu kabisa!!!!!Ukistaababu kunguni wa UDOM utayaona mazito ya barani Ulaya hasa Ufaransa ambako kunguni wametamalaki hadi ndani ya vyumba vya ikulu.
Wazungu ndio wanajiona mababa wa sayansi. Waundaji na watengenezaji wa silaha hatari za kumwangamiza binadamu ndani ya sekunde moja tu.
Lakini pamoja na umwamba na majivuno aina zõte na makujijafe na kujimwambafai wanatolewa jasho na kunguni. Hii ni aibu kubwa kiasi gani?
Magovi, kuchamba, kunaletaje kunguni?kunguni hawawezi kuisha ulaya kwa sababu wazungu ni wachafu sana,hauwezi amini,,ivi unajua ni wazungu wachache sana wanaoga??[wengi wao wanajifutia maji kwa vitambaa au taulo]..ivi unajua asilimia kubwa ya wazungu ni MAGOVI [kiasili hawana utaratibu wa kutairi, wachache wameiga AFRKA na ARABUNI]'''ivi unajua wazungu wengi hawafui nguo zao hasa wale wasiona na mashine za kufulia nguo??[ndio chanzo CHA NGUO ZA MITUMBA,na ndo manake huwa zinapuliziwa dawa kabla ya kufika huku,na ndo manake kuna watu wanakutaga pesa,leso na nyaraka mbalimbali kwenye mifuko ya hizo mitumba!!!!!]...mbaya zaidi, ivi unajua wazungu 80% HAWACHAMBI KWA KU2MIA MAJI????...wao ni mwendo wa TISSUE tu!!!,,,nayasema haya kwa sababu nilipata bahati ya kwenda moja ya nchi za huko,,ndo manake ata MZEE MAGUFULI alikuwa anataka kupiga marufuku NGUO ZA MITUMBA!!!!...unaambiwa 20% ya wazungu sababu moja wapo ya kuingiliana kinyume na maumbile ni kwa sababu kinyesi kinakuwa kimeganda makalioni{kwani tissu haiwezi kumaliza kinyesi chote,lazima kuwe na MPARAZO so makalio yanakuwa yanawasha}.......huwa nashangaa sana ninapoona wa2 wanawa2kuza hawa jamaa,sio wastaarabu kabisa!!!!!
kunguni wanakaa sehemu zenye harufu mbaya na mlundikano wa UCHAFU!! "Think critically"Magovi, kuchamba, kunaletaje kunguni?
Hawa Watu wamechangranikiwa tu, waache Waisrael wawachezee.Halafu kwanini hawakimbilii nchi za Kiislamu wanaenda za Kikristo, wakilishwa kitimoto wanaanza kulialia.
Wakiulizwa wewe umefikaje hapa, kwanini usibaki kwenu? Wanajibu mimi ni shoga