shida sio kutokua na historia, shida ni kuwa jiulize kwann waafrika(black people)wamesambaa dunian kulko race yoyote ile
pia jiulize kwann waafrika wote wanafanana katk tamaduni,mila na desturi?
pia jiulize kwanini hata kidunia linapokua suala la kuongelea historia za afrika na kuhoji kuhusu dini, kunakuwa na uzito wa utoaji majibu ya maswali? yaan hata wale wabobevu wa dini na theologia hawajui, hata wale wasomi wakubwa wa mambo ya kale hawajui zaid ya kuleta nadharia zakitoto kabisa ambazo hazileti majibu ya uwakika.
jibu ni kwamba, Apo mwanzo Mtu aliumbwa barani afrika, na aliumbwa kwa udongo mweusi uliozalisha sanamu/kinyago chenye rangi ya asili, na kisanamu icho kikatiliwa pumzi ya uhai(roho) ndpo kikawa mtu mwenye nafsi hai.
mtu huyo ndye chanzo cha uzao wa watu wote pamoja na wanadamu wengine napoongelea binadamu, naamnisha kiumbe mwenye mfanano na mtu lkn si mtu kwakuwa kakosa sifa ya utu, yaan kiufupi ni hao white races
na baada ya muda mrefu jamii za hawa watu weusi zilizaliana kutoka garden ya dunia amby ilkuwa east afrika mpka ethiopia, na baadae kuja central afrika na baadae kupanuka kuja kuundwa kwa falme kubwa kama za misri ya kale, sudani na kushi, bila kusahau falme ya israel ya kale yaani central afrika ambayo ilijumuisha kabila 12 za wabantu na hawa ndyo jamii zote zenye lugha zinazofanana za kiafrika yaani kibantu na ndyo hawa wanaounda taifa teule la Muumba wa kweli,
ujio wa watu weupe dunian haukuwa mwema kwani ulkuja kwa bahat mbaya kwa lengo la kuitawala dunia na kumtesa mtu mweusi kwa kumtenga mbali na Muumba wake pia kumfanya kuwa fukara,
ushenzi huo waliufanya kupitia dini zao, aina ya uongozi, elimu uchwara, mila za kigeni, utandawazi, muingiliano wa damu kwa kuzaa na watu weusi ili kuleta machotara, magonjwa ya kutengeneza, mifumo ya kiuchumi na kijamii,
kupitia mambo hayo waliweza na wanazidi kuweza kuipotosha dunia kuhusu afrika,
historia ya afrika haianzi kama stori za biblia&Qur'an znavyoeleza
kidogo historia ya kisayansi inaweza kuproof historia ya afrika kwa kuwepo mabaki ya watu weus walioish dunian miaka mingi kabla ya whte races kuwepo,
kupitia nadharia za genetics ni vigumu kueleza historia ya dunia ilianza na white races kama dini zao znavyosema, maana binadamu mweupe hawez kuzaa kiumbe mweusi yaani mtu, bila yakuwepo muingiliano wa mtu mweusi na binadamu mweupe
pia mtu mweusi ni vigumu kuzaa binadamu mweupe.bioa ya muingiliano, kihivyo inatosha kabisa kuthibitisha kuwa Mtu wa awali hakuwa mweupe, lkn alikuwa mweus maana ushahidi upo, na pia ithibitike kuwa binadamu weupe hawakuwepo hapo mwanzo na hawatokani na uzao wa mtu mweusi, swali je wametoka wapi??? hili swali uliza unayemjua yeyotee hutopata jibu ng'oooo, yes hutopata zaid wataishia kukupa majibu yakipumbavu et mtu mweusi alisambaa dunia nzima na kusababisha mabadiriko ya rangi jambo ambalo si kwel, n ingekuwa hivyo basi hata watu weusi wa kipindi hiki wangekuwa wakibadirka pale waendapo izo sehem zao wanazosema wanabadirika wakienda.
kutumia shahidi za vitabu vya dini kuthibitisha historia za dunia ama afrika ni kupotosha ukwel, maana vitabu hivyo vimejikita ktk uongo ambao umebase kwenye kiwapa vipaumbele watu weupe kuwa ndio watu wa mwanzo kuumbwa huo ni uongo unaopingana hata na sayansi inayotoa ukweli na yenye shahid.
ni ngumu kueleza jambo hili kama upo ktk vifungo vya dini, siasa, elimu yakijinga, na upuuzi mwingine.
Afrika ndyo jamii yenye historia kongwe kulko jamii yoyote ile hapa dunian, kupata shahid za haya nisemayo waweza soma vitabu mbalimbali vya kihistoria na hata kuvichambua ivyo vitabu vyao vya dini vinavyojipinga vyenyewe, pia kupitia movies mbalimbali znazoonesha uhalisia wa matukio yalyokuwepo na yatakayokuja kuwapo, matukio haya huoneshwa na movies haswa za Hollywood kama avatar, black panther, avengers, na nyingnezo nying