Kwanini wazungu wanakua/wanapata maendeleo wakiwa wadogo?

Kwanini wazungu wanakua/wanapata maendeleo wakiwa wadogo?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Ni jambo la kawaida unakuta kijana wa miaka 19 hadi 23 amesha Settle kwenye career yake, kwa mfano kijana wa kizungu kabla ya miaka 20 tayari ana hold computer certificate zenye kuheshimika like OSCP etc, na anafanya mambo makubwa, wakati huku kwetu unakutana na mwanafunzi wa Computer engineering miaka 20 ndio kwanza anaaza kujifunza HTML ni nini,
How do they choose their career path?
 
Kuna bwamdogo aliajiriwa na kampuni ya Electromotive diesel (EMD) La Grange Illinois huko huko USA ni mchafu Sana katika ishu za electronics katika age ya 20.. Huku kwa age hiyo bado ndo tupo darasani tunakalili hizo diode, transistor, IC na microprocessor inavyofanya kazi..
 
maisha yetu bado sana...kula,kuvaa na kupata sehemu ya kulala bado tabu tu..tembelea hizi sehemu utapata majibu wilaya ya moshi(pasua) bukoba mjini (kyebitembe,nyankanyasi) geita mjini (nyankumbu,shilabera) mwanza (kisesa), dodoma (chang'ombe kwa warangi , kikuyu...
 
Wazungu wameendelea miaka mamia iliyopita, hivi sasa mifumo yao ni ya kuvumbua vitu vipya ili kurahisisha maisha.
Sisi mifumo yetu ni ya kuganga njaa angalao mtu apate milo miwili kwa siku, halafu tumebugi zaidi kwenye lugha ya kufundishia, kila kitu tunategemea wazungu hadi materials ya kufundishia, halafu Kiingereza unajifunza ukubwani. Technologia tutaisikia tu kwa wenzetu.
 
Ubunifu kwa wengi upo chini ya miaka 30. Wenzetu wameligundua hilo na wanalitumia ipasavyo.
 
Back
Top Bottom