Kwanini website ya Tume/Sekretarieti ya ajira Tanzania (TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wenye vipato vidogo?

Hivi free basics inafungua mafile ya PDF?
 
Hivi free basics inafungua mafile ya PDF?
Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa kisha akakuta hakuna fursa yoyote.
 
Vodacom ni wafanyabiashara ila serikali inatoa huduma kwa watanzania
Wafanyabiashara pia hutoa huduma ambazo serikali haiwezi kuzitoa, na pia hulipa kodi kutokana na mapato ya biashara zao.

Iwe service, merchandising au manufacturing, wote hutoa huduma kwa namna moja kwa watanzania.

Kama kutoza fee kwa huduma zao,hata serikali hutoza fee kwa huduma zao hakuna atoaye bure.

Tofauti, serikali inatoza fee lakini hailipi kodi, private businesses hutoza fee na hulipa kodi, sasa yupi anahitaji kusaidiwa?!
 
Ni wazo zuri sana mkuu.

Nimeona kuna vigezo vinahitajika ili website ipate huduma ya FreeBasics. Miongoni mwa vigezo hivyo ni kuto_upload files zenye ukubwa zaidi ya KB 200 na "Compliance to technical guidelines" ikiwemo ku_disable JavaScript, iframes, video and large images, na flash and Java applets.

Chukulia kama ilivyo hii JamiiForums, ukiifungua kwa kutumia FreeBasics kuna features zinamiss au zinakuwa slow kutokana na Ku_disable JavaScript na hivyo vitu nilivyoorodhesha hapo juu.

Hivyo, kwa upande wangu naona itapunguza ufanisi wa website kwa wale watakaofungua kupitia FreeBasics.

Technical Guidelines - Free Basics - Documentation - Facebook for Developers

I stand to be corrected.
 
Hivyo, kwa upande wangu naona itapunguza ufanisi wa website kwa wale watakaofungua kupitia FreeBasics.
Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa kisha akakuta hakuna fursa yoyote@
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…