Kwanini website ya Tume/Sekretarieti ya ajira Tanzania (TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wenye vipato vidogo?

Kwanini website ya Tume/Sekretarieti ya ajira Tanzania (TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wenye vipato vidogo?

Unafahamu kuwa freebasics.com inatumia muundo proxy server kupata internet.

Yaani server ya facebook inasurf tovuti unayoitaka kwa niaba yako, mabadilishano ya data yanakuwa kati ya wewe na freebasic server, na sio tena wewe na tovuti husika.

Kama ni hivyo usalama wa data zako unazotuma ukoje? Kumbuka ni facebook inc hii. Wazo hata halifai.
Tunapenda Rais Magufuli apate changamoto, asishinde kwa 100% Membe akisimama,Rais Magufuli atashinda kwa 98% ila wakisimamisha wengine Magufuli ni 100%.
 
Kwa nini umeniquote, mbona ulichoandika hakihusiani na comment yangu?
Huwa ninafuatiliaga sana maandiko yako humu. Wewe unaonekana huipendi CCM. Toka huko CHADEMA jiunge CCM.
 
Hawachelewi kuja kusema wapo kwenye mchakato wakati hata hili wazo hawakuwa nalo vichwani.
Lusinde: Mimi nilikuwa na Lissu Bungeni, hajawahi zungumzia maendeleo ni malalamiko tu na ndiyo maana nilikuwa namuita Malalamiko FC.
 
Back
Top Bottom