Kwanini website ya Tume/Sekretarieti ya ajira Tanzania (TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wenye vipato vidogo?

Kwanini website ya Tume/Sekretarieti ya ajira Tanzania (TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wenye vipato vidogo?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini website ya tume/sekretarieti ya ajira Tanzania(TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wengi wasio na vipato?

Click here>>> Free Basics

Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna kijana mmoja ni jirani yangu (jina simtaji) hapa Mbagala ninapokaa alihitimu chuo kikuu UDSM mwaka jana wa 2019 na hana kipato cha kumuwezesha kwenda internet cafe au hata kuweka bando la data la mara kwa mara ili kuweza kuangalia fursa za ajira mitandaoni.

Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa nyingi kisha akakuta hakuna fursa yoyote.

Kama JamiiForums inawajali watu wa vipato vya hali ya chini na kuamua kuwepo freebasics.com, kwanini tume ya ajira inashindwa kuwajali graduates "fresh from school" ambao ni watoto wa wanyonge/wakulima?

Kwani hii freebasics.com ni nini haswa?
==========
Free Basics provides people with access to useful services on their mobile phones in markets where internet access may be less affordable.

The websites are available for free without data charges, and include content on things like news, employment, health, education and local information.

By introducing people to the benefits of the internet through these websites, we hope to bring more people online and help improve their lives.
==========

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini website ya tume/sekretarieti ya ajira Tanzania(TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wengi wasio na vipato?

Click here>>> Free Basics

Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna kijana mmoja ni jirani yangu (jina simtaji) hapa Mbagala ninapokaa alihitimu chuo kikuu UDSM mwaka jana wa 2019 na hana kipato cha kumuwezesha kwenda internet cafe au hata kuweka bando la data la mara kwa mara ili kuweza kuangalia fursa za ajira mitandaoni.

Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa nyingi kisha akakuta hakuna fursa yoyote.

Kama JamiiForums inawajali watu wa vipato vya hali ya chini na kuamua kuwepo freebasics.com, kwanini tume ya ajira inashindwa kuwajali graduates "fresh from school" ambao ni watoto wa wanyonge/wakulima?

Kwani hii freebasics.com ni nini haswa?
==========
Free Basics provides people with access to useful services on their mobile phones in markets where internet access may be less affordable.

The websites are available for free without data charges, and include content on things like news, employment, health, education and local information.

By introducing people to the benefits of the internet through these websites, we hope to bring more people online and help improve their lives.
==========

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Watanzania hatutaki siasa chafu wajifunze siasa safi za Magufuli hao Wapinzani.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini website ya tume/sekretarieti ya ajira Tanzania(TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wengi wasio na vipato?

Click here>>> Free Basics

Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna kijana mmoja ni jirani yangu (jina simtaji) hapa Mbagala ninapokaa alihitimu chuo kikuu UDSM mwaka jana wa 2019 na hana kipato cha kumuwezesha kwenda internet cafe au hata kuweka bando la data la mara kwa mara ili kuweza kuangalia fursa za ajira mitandaoni.

Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa nyingi kisha akakuta hakuna fursa yoyote.

Kama JamiiForums inawajali watu wa vipato vya hali ya chini na kuamua kuwepo freebasics.com, kwanini tume ya ajira inashindwa kuwajali graduates "fresh from school" ambao ni watoto wa wanyonge/wakulima?

Kwani hii freebasics.com ni nini haswa?
==========
Free Basics provides people with access to useful services on their mobile phones in markets where internet access may be less affordable.

The websites are available for free without data charges, and include content on things like news, employment, health, education and local information.

By introducing people to the benefits of the internet through these websites, we hope to bring more people online and help improve their lives.
==========

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndio Magufuli ametoa pesa nyingi sana kwa ajili ya miradi mizuri ya maendeleo.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Kwanini website ya tume/sekretarieti ya ajira Tanzania(TPSRS) haipo kwenye freebasics.com ili kuwasaidia graduates wengi wasio na vipato?

Click here>>> Free Basics

Nimeamua kuuliza hivi kwa maana kwamba kuna kijana mmoja ni jirani yangu (jina simtaji) hapa Mbagala ninapokaa alihitimu chuo kikuu UDSM mwaka jana wa 2019 na hana kipato cha kumuwezesha kwenda internet cafe au hata kuweka bando la data la mara kwa mara ili kuweza kuangalia fursa za ajira mitandaoni.

Graduate akipata clue kupitia freebasics, sasa ndio analipa pesa kidogo anaenda internet cafe akiwa na uhakika kuwa kuna nafasi za kazi zimetangazwa, kuliko kwenda cafe kulipa pesa nyingi kisha akakuta hakuna fursa yoyote.

Kama JamiiForums inawajali watu wa vipato vya hali ya chini na kuamua kuwepo freebasics.com, kwanini tume ya ajira inashindwa kuwajali graduates "fresh from school" ambao ni watoto wa wanyonge/wakulima?

Kwani hii freebasics.com ni nini haswa?
==========
Free Basics provides people with access to useful services on their mobile phones in markets where internet access may be less affordable.

The websites are available for free without data charges, and include content on things like news, employment, health, education and local information.

By introducing people to the benefits of the internet through these websites, we hope to bring more people online and help improve their lives.
==========

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Shauri yao Chadema, sisi Watanzania wote October tupo na Rais Magufuli tu, wala hatutegemei Wazungu watupigie kura.
 
Kama miaka mitano tu Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati je tukimpa miaka kumi mingine itakuwaje?
 
Ambaye angemsumbua Rais Magufuli kwenye Uchaguzi labda yule mama wa ujerumani tu.
 
Back
Top Bottom