Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Huo ni uongo.

Polisi, Magereza na JWTZ Wana vitengo vyao vya intelligence na ni askari wenzao ambao hawahusiani ja TISS.

Ni sawa tu, na MP (Military Police) wa JWTZ huwezi kusema MP ni police.

Kwanza TISS mafunzo yao ni mepesi na ya kawaida tu, ndio maana wanaitwa Jeshi Usu Kama ilivyo mgambo, polisi, Magereza, Uhamiaji. Wanaojifunza silaha nzito ni JWTZ pekee
Unajua ulichokiandika?
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania jeshi usu ni lipi na lipi?
Zile idara za kiserikali kama TANAPA, TFS, TAWA na Ngorongoro ndizo jeshi usu ambazo ziko chini ya jeshi la Uhifadhi. Ndizo jeshi usu ila police, Magereza na UHAMIAIJI sasa ni majeshi kamili.
Jeshi la wananchi wana kitengo kinacholink na TISS moja kwa Moja na kiko wazi kabisa.
Polisi wana kitengo cha kikachero kinajitegemea hakina link na TISS lakini nikufahamishe kitu ni kwamba TISS wana watumishi kutoka kila jeshi la nchi hii , na wengine wako kwenye taasisi za umma.
Mratibu mkuu ni GSO.
 
sina utithi wowote nahangaika tu...ila kupitia katiba yetu kama wewe na Mtanzania wewe pia ni TISS no.1. maana katiba inaweka wazi kuwa juku la kuilinda nchi yetu na mipaka yake ni la kila mtanzania.

kwa kigezo hicho wote sisi ni TISS kasoro wengi hatuna vitambulisho tu vyekundu na vyeti vya mafunzo ya nyongeza...!​
Well said Mkuu.....
 
Unajua ulichokiandika?
Kwa mujibu wa katiba ya Tanzania jeshi usu ni lipi na lipi?
Zile idara za kiserikali kama TANAPA, TFS, TAWA na Ngorongoro ndizo jeshi usu ambazo ziko chini ya jeshi la Uhifadhi ndizo jeshi usu ila police, Magereza na UHAMIAIJI sasa ni majeshi kamili.
Kwa taarifa yako Magereza Uhamiaji na polisi kimuundo hawahesabiki Kama majeshi. Ni watumishi wa Umma Kama wengine tu chini ya katibu Mkuu mambo ya ndani, kwa niaba ya Katibu mkuu utumishi.
nikufahamishe kitu ni kwamba TISS wana watumishi kutoka kila jeshi la nchi hii , na wengine wako kwenye taasisi za umma.
Mratibu mkuu ni GSO.
Hizi ni stori za miaka ya 90. Hazina UKWELI wowote.

Sema wanatumia machawa na watu wanaojipendekeza kupata taarifa. Na siku hizi, Kuna TISS wanaopewa teuzi kwenye vyeo vya kiteuzi Kama DED, DAS,DC etc Kama tunavyoona wanateua wanajeshi.

Lakini stori za watumishi wengine kiwa TISS ni uongo tu.
 
Kwa taarifa yako Magereza Uhamiaji na polisi kimuundo hawahesabiki Kama majeshi. Ni watumishi wa Umma Kama wengine tu chini ya katibu Mkuu mambo ya ndani, kwa niaba ya Katibu mkuu utumishi.

Hizi ni stori za miaka ya 90. Hazina UKWELI wowote.

Sema wanatumia machawa na watu wanaojipendekeza kupata taarifa. Na siku hizi, Kuna TISS wanaopewa teuzi kwenye vyeo vya kiteuzi Kama DED, DAS,DC etc Kama tunavyoona wanateua wanajeshi.

Lakini stori za watumishi wengine kiwa TISS ni uongo tu.
Kama ungekuwa mtumishi wa umma uliyeajiriwa na HR wako anajitambua lazima angewaita GSO wakufanyie usaili.
Either wewe mambo ya utumishi unayasoma mtandaoni tu au kama ni mtumishi HR wako ni kilaza.
Hakuna taasisi isiyo na mtumishi wa TISS. Labda hizi zisizo nyeti, hazina effects kwa usalama wa taifa.
Ungefuatilia habari ungeiona ile habari ya miaka michache iliyohusu UHAMIAIJI kutoka kuwa idara/paramilitary kuwa jeshi kamili
Ingia kwenye tovuti yao au google utakutana nayo.
Natumia chrome ningetumia jf app ningekupa link
 
Kama ungekuwa mtumishi wa umma uliyeajiriwa na HR wako anajitambua lazima angewaita GSO wakufanyie usaili.
Either wewe mambo ya utumishi unayasoma mtandaoni tu au kama ni mtumishi HR wako ni kilaza.
Hakuna taasisi isiyo na mtumishi wa TISS. Labda hizi zisizo nyeti, hazina effects kwa usalama wa taifa.
Unaishi kwa hisia zisizokuwepo.

Nadhani unamaanisha GSO na stori zao zisizo na kichwa Wala miguu.
 
We vaa tu sutiKaunda nyoa kipara nenda kaunta kunywa WINDOKU ukiwa umesimama kaunta...macho yako yanaangaza angaaza kila kona
Utaona Wabongo wananong'onezana wengine hata kukimbia kaunta.....

MAUJIKO ..teh teh teh....yani kutisha tu watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaishi kwa hisia zisizokuwepo.

Nadhani unamaanisha GSO na stori zao zisizo na kichwa Wala miguu.
Ndugu yangu kwa mada hii sitajibu post yako. Umejaa ubishi hutaki kurekebishwa. Ni jamii ya watu wabishi wasiotaka kuchutama. Watu kama nyie mpo.
UHAMIAIJI 7, September 2021 bunge lilitangaza rasmi kuwa ni jeshi kamili na tangazo kuwekwa kwenye gazeti la serikali.
Kuhusu Idara ya usalama wa taifa kupitia GSO sina haja kukueleza lolote. Ni vyema kila mmoja ashikie msimamo wake, kupotezeana muda kwenye mada zisizo na tija sihitaji .
 
watu lazima wafahamu kwamba kuna usalama ambao ni wakawaida na wale ambao ni undercover.

Hiko kitengo cha undercover kipo majeshi mengi.

Ukienda jeshini unawakutwa intelligence officers hao ni usalama wa jeshi,yaani undercover hauwezi kuwajua hawavai uniform hao ni wakusanyaji taarifa tu.

hata ukija kwa watu wa usalama wenyewe wanacho kitengo cha undercover ambacho usalama hao huwezi kuwajua kamwe wanakuwa watu wa kusaka taarifa,ndio utakuta wauza mkaa,mama ntilie,n.k

Hawa usalama tunaowaona wakiwa kwenye misafara nyuma ya raisi hawa sio wale undercover ni wale wa kawaida tu.

hata ukienda polisi hizo vitengo vipo vya intelinsia,hao ni undercover huwezi wajua,kuna mwaka alikufa mwandishi wa habari wa kike polisi wakadai maiti yao,watu wakapiga kelele sana ikauwaje polisi anakuwa mwandishi je analipwa mishahara miwili ? Habari ndo hiyo.

unaweza kushangaa hawa viongozi wa kisiasa wengine ni undercover wa jeshi fulani au idara fulani.
Mkuu salute...
 
Ndugu yangu kwa mada hii sitajibu post yako. Umejaa ubishi hutaki kurekebishwa. Ni jamii ya watu wabishi wasiotaka kuchutama. Watu kama nyie mpo.
Hakuna mashindano hapa. Kaa na unachojua.

Ila kaa ukijua hakuna mwanajeshi anayepewa likizo na katibu mkuu mambo ya ndani walamkusumbukiwa na Kikokotoo cha 33%. Hizo unazojua ni porojo
UHAMIAIJI 7, September 2021 bunge lilitangaza rasmi kuwa ni jeshi kamili na tangazo kuwekwa kwenye gazeti la serikali.
Kati ya mambo Uhamiaji, Magereza na Polisi wanapambania ni kuunganisjwa kwenye taratibu za majeshi Kama JWTZ.
Kuhusu Idara ya usalama wa taifa kupitia GSO sina haja kukueleza lolote. Ni vyema kila mmoja ashikie msimamo wake, kupotezeana muda kwenye mada zisizo

1+1=2.

Ikitokea mtu akakwambia ni 3 utabisha mpaka utapike damu.

======

Note:

Huwezi kumkuta mwanajeshi anapitia Hali Kama hii👇

Nchi hii Ina matabaka ya wazi kabisa.
 

Attachments

  • IMG_20231118_141043.jpg
    IMG_20231118_141043.jpg
    89.7 KB · Views: 54
Hivi kati ya maafisa wa tiss na raia huku field . Nani ana infos za kutosha?
afisa wa Tiss pia ni Raia...na info wanazo hitaji hao maafisa ni ambazo no threats au kikwazo kwa maendeleo ama zinatishia USALAMA wa Nchi...hivyo wenye information ni Raia huku mtaani...​
 
Weupe sana mbona hawa wa kizazi hiki

Ova
wa enzi hizo walipewa mafunzo nchi mbali mbali...hivyo waliiva kweli kweli...ila walipo rudi nyumbani kutoka ughaibuni walielewa kuwa jahazi la nchi yetu limeyumba sana...

na walitengenezwa kwa gharama kubwa ili waje kuwa walimu wa wenzao...hao masenior wakafanya mgomo baridi hawaku wafundisha majuniors miiko yote😭😭😭

ndio maana majuniors wengi ni malopo lopo ila vizee vilivyo soma CUBA vinajitahidi kulinda ndimi zao...🤣🤣🤣​
 
Back
Top Bottom