Macrochogo
Senior Member
- Dec 5, 2023
- 128
- 101
Mpaka leo bado wanavaa kanzu boss.Nilipokuwa mdogo nilikuwa najua Askari kanzu ni Polisi ila huwa anavaa Kanzu πππππππ€£π€£π€£π¬π¬π¬ππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ
SawaMpaka leo bado wanavaa kanzu boss.
Kwani hawa TISS na PCCB wanatocauti gani.Washamba tuuu.
Ukienda kwenye ofisi yao utasikia ""Simama hukohuko kwanza... "" Bora PCCB wanaeleweka unakunywa nak bia, ila TISS sijui huwa nawaonaje kama washamba tuuu.
#YNWA
Hao TISS wanapenda kunifanya wanajeshi mtaani wanatutishia sisi raia.Peace upon ya'all,
Ebwana ni ajabu sana mtaani ukipita mtu anaesemekana ni TISS hutukuzwa na hata watu wengine wengi hujifanya TISS ili kuonekana maalumu na kutafuta maujiko
Hata hapa jf wengi hujifanya TISS ili kujipatia ujiko ajabu ni kwamba kama ilivyo nesi, daktari, mfamasia, dentist n.k wako katika kada ya afya (health sector) au walimu, wakufunzi wako kada ya elimu (education sector) au kama marubani, airhostess, astronuts n.k wako kada ya aviation ndivyo pia askari magereza, polisi, askari jeshi, mgambo na TISS wote ni kada ya ulinzi.
Kimsingi TISS ni kada ya ulinzi kundi moja, taaluma moja na mgambo wametofautiana juristiction chache ila wana mengi ya pamoja kuliko utofauti. Hata kimaslahi TISS ni wakawaida sana na wamepitwa na kada nyingi tu na hamna maajabu yoyote kwa hawa walinzi.
Kama reporting TISS officer analipwa 1,850,000 (1.8M) mbona ni kamshahara kadogo kuliko hata lecturer wa chuo cha umma achilia mbali daktari mwandamizi au hata tu mkandarasi wa electrical installation wa mradai wa pale Stigler anaelipwa zaidi ya 3M.
Ni ushamba tu wa Watanzania kuona ati walinzi hawa ni watu wa hadhi kubwaaaa, na ujinga huo ndio unawafanya watu kama Sabaya mwaka 2018 - 19 kujifanya TISS huku akisafiri bure, na kupata huduma katika mahotel makubwa bure akiwaonyesha kitambulisho tu.
Kitu ambacho hata angekua kweli ni TISS hakuna upendeleo wa kupata huduma bure hata sio kuproses invoice hapana kiprotokali afisa usalama anatakiwa kulipia huduma zote hata anapokua katika kutekeleza majukumu yake nje ya eneo lake labda vingvyo iwe argency ya serikali kama mabwalo ya jeshi na maduka ya idara au taasis za serikali.
Njoo nikulambishe sukari madam.Kwani hawa TISS na PCCB wanatocauti gani.
Na kwanini hawa uwaone washamba?
Wanakujaga vyuoni kutafuta employeesAiseeeee.
Ila mbona matangazo yao ya kazi hayapo wazi kama wengine?
Kuna hawa na DCEA hakuna matangazo ya kazi.
Bora TAKUKURU tunaona.
Hawa wengine nini tatizo boss?
Familia yenu ina chain na ajira za CCM hongeraaKweli umenena vyema nina ndugu yangu yupo TISS yupo kawaida tu gari anayotembelea TOYOTA IST wakati huohuo nina kaka yupo TANAPA anatembelea PRADO
Labda na yeye mmoja wao huwezi jua.Ipi hiyo, ya mashara 1.8 mil??
#YNWA
Inamaana kama upo nje ya chuo ndio basi tena.Wanakujaga vyuoni kutafuta employees
#YNWA
eti hebu tushangae kwa pamoja 1.85M ina status gani ?! Ushamba tu wa Watanzania ila TISS ni ajira ya kawaida sana.Ipi hiyo, ya mashara 1.8 mil??
#YNWA
πππShemeji yangu aliolewa na bro akidhani jamaa ni afisa usalama kumbe jobless hana kitu. Yaani kuja kushtuka tayari harusi tumekula na ana watoto mapacha. Ikabidi tu shem akubaliane na ukweli kuhusu mumewe. Bro ana mwili mkubwa na alikuwa na hizo pigo za kuvaa kaunda suti
TAKUKURU wanapesa sana kuliko hao washamba wengine.Kwani hawa TISS na PCCB wanatocauti gani.
Na kwanini hawa uwaone washamba?
Pccb wapo vizuri mpunga wa kutosha.Kwani hawa TISS na PCCB wanatocauti gani.
Na kwanini hawa uwaone washamba?