Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Mpaka leo bado wanavaa kanzu boss.
 
Hao TISS wanapenda kunifanya wanajeshi mtaani wanatutishia sisi raia.
 
Aiseeeee.

Ila mbona matangazo yao ya kazi hayapo wazi kama wengine?

Kuna hawa na DCEA hakuna matangazo ya kazi.

Bora TAKUKURU tunaona.

Hawa wengine nini tatizo boss?
Wanakujaga vyuoni kutafuta employees

#YNWA
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…