Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Simba nguvu moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahSimba nguvu moja
Yeah!! Coz hamtuweziKujiamini kwingi kutawaponza jumapili
Afu wewe........kweliHabari wakuu,
Naimani mu wazima wa afya kabisa, na tunaendelea vyema na harakati zetu za kutafuta ridhki. Niende moja kwa moja kwenye mada, kwa nini wana Jangwani (maarufu kama Utopolo au Chura) watapigwa kwenye mechi yao itakaowakutanisha na wababe mara nne wa Ligi Kuu Simba SC.
1. Beki mbovu na nzito za wana Jangwani hao. Wana Jangwani wanakabiliwa na tatizo la kutokuwa na beki imara, kwani beki zao asilia Mwamnyeto na Dickson Job zina udhaifu mkubwa sana, hasa kwa kukosa spidi na rahisi sana kupitika na kutoa maboko, huku Bangala akifosiwa kucheza kama namba 4 bandia.
2. Ukosefu wa namba 6 bora itakayosaidia ukabaji na kupandisha mashambulizi. Tatizo hili hata kwenye michuano ya kimataifa limeonekana kugharimu kikosi hicho cha wana Jangwani kwani Bangala hucheza 4, hivyo viungo wenye kasi na akili wa simba kama Okrah na Chama wanaweza kutumia nafasi hii kuwakalishia chuma cha moto Chura.
3.Simba kupania kuwapiga vyura hao wa Jangwani. Vijana wa Simba wamepania kuwanyamazisha Utopolo kwani wanaongea sana na wanaonekana kusahau kuwa angurumapo Simba mcheza nani. Na pia Simba ndiyo baba mwenye nyumba, na watathibitisha hilo.
4. Kutumia faida ya kupigwa na Al Hilal. Ni sawa na mwanamke mwenye maumivu ya kuachwa na bwana wake anavyoliwa mbususu yake kwa urahisi. Hivyo Simba anaweza kula utamu huo wa chura kwani saikolojia ya wachezaji na timu bado haijakaa sawa.
5. Uwepo wa Juma Mgunda a.k.a ( Guardiola Mnene) ambaye amekuwa hapigiki toka ajiunge na wana Msimbazi hao, na pia kuwajua vizuri Yanga ikiwemo na mbinu zao za kizamani kiuchezaji.
6. Kumtegemea Fiston Mayele na si timu. Hili linajidhihirisha hata kwenye mechi ya kwanza kwani Utopolo walishinda kwa uwezo wa Mayele na si timu. Hivyo raundi hii wana Lunyasi watamdhibiti vizuri ili asiteteme bali atetemeke.
Zaidi ya hapo nawapongeza sana Simba kwa badiliko lao la kiuchezaji, kwani wamekuwa bora sana, na nawapa baraka zote kwenye michuano yao yote.
Mungu bariki Simba, na pia didimiza Yanga.