Kwanini Yanga hawajauchukulia msiba wa Yusuph Manji Kwa ukubwa

Kwanini Yanga hawajauchukulia msiba wa Yusuph Manji Kwa ukubwa

Kwanza misiba yote inatolewa sabab marehem kafa na nini, ila huyu taarifa imetolewa kibabe, Just Manji kafia Florida Marekani. Wakaona hizo ndio taarifa za kutupa walaji. Basi nasi tukauchukulia msiba kama nothing happened
Wewe ndo hujafatalia, wamesema mbona. Tafuta taarifa sahihi.
 
Naona kama wanataka legacy ya GSM ndio idumu Yanga, nilisikitika kuona tuna msiba huku watu wanaandamana kushangilia ujio wa Chama.

Lakini, Manji atabaki mioyoni mwetu wanazi wa Yanga. Hatuwezi kusahau alipotutoa, Apumzike kwa amani.
Kwahiyo unataka shughuli za timu zisimame?, amekufa kafa. Na kila mmoja ana mchango wake kweny timu zama za Manji zilikuwepo zikapita... Zama za Gsm zipo na zitapita. Usilazimishe kila mtu apokee Jambo kama unavyotaka.

Kama familia hawajaamua kuishirikisha timu kwa ukubwa huo basi hata timu imetoa taarifa kulingana na upatikanaji wake.... Haya mengine ni chokochoko za kiafrika tupu.
 
Kama ni rahisi mbona wewe hukwenda kuwekeza
Ni rahisi ndio .. kwani alifungwa kamba au pingu?, hizi mambo za kushukuru na kutoa sifa za kipumbavu kwa watu wanaonemeka kupitia taasisi za umma ni ushenzi. Huna hata uelewa mdogo wakutambua kuwa katika ulimwengu wa Sasa wa kibepari hakuna kitu Cha Bure?. Hovyoo kabisa....
 
Ni rahisi ndio .. kwani alifungwa kamba au pingu?, hizi mambo za kushukuru na kutoa sifa za kipumbavu kwa watu wanaonemeka kupitia taasisi za umma ni ushenzi. Huna hata uelewa mdogo wakutambua kuwa katika ulimwengu wa Sasa wa kibepari hakuna kitu Cha Bure?. Hovyoo kabisa....
Wacha nikupuuze.
Uelewa wako bdo upo chini mno kwenye masuala ya uchumi
 
Sisi mashabiki wa Yanga tumesononeka na kifo cha Yusuph Manji.
Lakini viongozi na taasisi ya Yanga hawajaupa uzito msiba huu wa kiongozi aloyejitoa muda, nguvu na zaidi pesa zake kuijenga na kuipa mafanikio team yetu ya Yanga.

Yanga wameshindwa kuomboleza japo kuamru bendera za team yetu zipepee nusu mlingoti, au kuandaa mchezo wa kumpa heshima.
Au hata kushirikiana na familia yake kumzika Kwa heshima.
Naipenda sana YANGA ila viongozi mmetuangusha Kwa kuonyesha dhahiri kumfifisha Mwenyekiti wetu Manji na kuonyesha hakuwa chochote wala lolote Kwa Yanga

Viongozi wa Yanga Kwa hili mmeteleza, ila Bado hamjachelewa tunaomba japo muandame mcheza mkubwa wa kumuenzi au siku ya mwananchi iitwe ASANTE MANJI au MANJI DAY.
Wasalam
Hao viongozi wao ni watoto wa 2000
 
Yanga Ni kama mke alieolewa na mume mwingine anajifanya kapagawa na penzi jipya hata msiba wa X wake anajidai hajauskia
 
Sisi mashabiki wa Yanga tumesononeka na kifo cha Yusuph Manji.
Lakini viongozi na taasisi ya Yanga hawajaupa uzito msiba huu wa kiongozi aloyejitoa muda, nguvu na zaidi pesa zake kuijenga na kuipa mafanikio team yetu ya Yanga.

Yanga wameshindwa kuomboleza japo kuamru bendera za team yetu zipepee nusu mlingoti, au kuandaa mchezo wa kumpa heshima.
Au hata kushirikiana na familia yake kumzika Kwa heshima.
Naipenda sana YANGA ila viongozi mmetuangusha Kwa kuonyesha dhahiri kumfifisha Mwenyekiti wetu Manji na kuonyesha hakuwa chochote wala lolote Kwa Yanga

Viongozi wa Yanga Kwa hili mmeteleza, ila Bado hamjachelewa tunaomba japo muandame mcheza mkubwa wa kumuenzi au siku ya mwananchi iitwe ASANTE MANJI au MANJI DAY.
Wasalam
ALizikwa Florida Marekani; je Yanga nayo ilitakiwa isafiri kwenye huko ili kuonyesha kuwa inamuenzi? Lawama zako zingekuwa na maana tu endapo familia ya Manji ingekuwa na shughuli za Mazishi Dar na Yanga wakaiyasusuia
 
Naona kama wanataka legacy ya GSM ndio idumu Yanga, nilisikitika kuona tuna msiba huku watu wanaandamana kushangilia ujio wa Chama.

Lakini, Manji atabaki mioyoni mwetu wanazi wa Yanga. Hatuwezi kusahau alipotutoa, Apumzike kwa amani.
Nakazia
 
Titi la Mama li tamu ingawa la mbwa.
 

Attachments

  • 20221224_064246.jpg
    20221224_064246.jpg
    474.3 KB · Views: 3
Manji atabaki katika mioyo yetu "kampa kampa tena" hakuna mtu anayeweza kufuta legacy yake. Asingepata yale matatizo Yanga ingekuwa mbali zaidi ya sasa.
 
Manji atabaki katika mioyo yetu "kampa kampa tena" hakuna mtu anayeweza kufuta legacy yake. Asingepata yale matatizo Yanga ingekuwa mbali zaidi ya sasa.
Hakika mkuu
 
Sisi mashabiki wa Yanga tumesononeka na kifo cha Yusuph Manji.

Lakini viongozi na taasisi ya Yanga hawajaupa uzito msiba huu wa kiongozi aloyejitoa muda, nguvu na zaidi pesa zake kuijenga na kuipa mafanikio team yetu ya Yanga.

Yanga wameshindwa kuomboleza japo kuamru bendera za team yetu zipepee nusu mlingoti, au kuandaa mchezo wa kumpa heshima.

Au hata kushirikiana na familia yake kumzika Kwa heshima.

Naipenda sana YANGA ila viongozi mmetuangusha Kwa kuonyesha dhahiri kumfifisha Mwenyekiti wetu Manji na kuonyesha hakuwa chochote wala lolote Kwa Yanga

Viongozi wa Yanga Kwa hili mmeteleza, ila Bado hamjachelewa tunaomba japo muandame mcheza mkubwa wa kumuenzi au siku ya mwananchi iitwe ASANTE MANJI au MANJI DAY.

Wasalam

PIA SOMA
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Msiba wa Manji umekutana na wiki ya kushangilia ujio wa Chama .
 
Sisi mashabiki wa Yanga tumesononeka na kifo cha Yusuph Manji.

Lakini viongozi na taasisi ya Yanga hawajaupa uzito msiba huu wa kiongozi aloyejitoa muda, nguvu na zaidi pesa zake kuijenga na kuipa mafanikio team yetu ya Yanga.

Yanga wameshindwa kuomboleza japo kuamru bendera za team yetu zipepee nusu mlingoti, au kuandaa mchezo wa kumpa heshima.

Au hata kushirikiana na familia yake kumzika Kwa heshima.

Naipenda sana YANGA ila viongozi mmetuangusha Kwa kuonyesha dhahiri kumfifisha Mwenyekiti wetu Manji na kuonyesha hakuwa chochote wala lolote Kwa Yanga

Viongozi wa Yanga Kwa hili mmeteleza, ila Bado hamjachelewa tunaomba japo muandame mcheza mkubwa wa kumuenzi au siku ya mwananchi iitwe ASANTE MANJI au MANJI DAY.

Wasalam

PIA SOMA
- TANZIA - Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani
Ingawa mimi ni mnyama lkn nimekuelewa vizur sana
 
Back
Top Bottom