Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Wangeweza hata kuahirisha shamra shamra kwa muda. Sasa YM akiwa bado hajazikwa ile Jumatatu, lakini cha ajabu yakafanyika maandamano jijini Dar na sehemu nyingine kushangilia usajili wa ChamaUlitaka wafanye nini ili uone huo uzito?