Wangeweza hata kuahirisha shamra shamra kwa muda. Sasa YM akiwa bado hajazikwa ile Jumatatu, lakini cha ajabu yakafanyika maandamano jijini Dar na sehemu nyingine kushangilia usajili wa ChamaUlitaka wafanye nini ili uone huo uzito?
Una akili sana mkuuWangeweza hata kuahirisha shamra shamra kwa muda. Sasa YM akiwa bado hajazikwa ile Jumatatu, lakini cha ajabu yakafanyika maandamano jijini Dar na sehemu nyingine kushangilia usajili wa Chama
View attachment 3032229
View attachment 3032231
Hata kama, bado Yanga inapaswa kumuenzi. Just imagine hao akina Gulamali,Manji,GSM,n.k wasingejitokeza kufanya biashara na Yanga hali ingekuwaje hapo klabuni? Picha utaipata ukirejea ule msimu wa kutembea kapu. Unajizima data sana.Alitoa pesa Bure?, alikuja kufanya biashara na ya ga na sio kutoa msaada.
Aliyesema wewe ni mtoto kweli hajakosea. Unaweza kujibu hapa ni kwanini Rais Mstaafu akifa (wa nchi yoyote ile) mamlaka zilizopo madarakani hutangaza maombolezo na kushusha bendera japo zama za huyo Hayati zilishapita?Kwahiyo unataka shughuli za timu zisimame?, amekufa kafa. Na kila mmoja ana mchango wake kweny timu zama za Manji zilikuwepo zikapita... Zama za Gsm zipo na zitapita. Usilazimishe kila mtu apokee Jambo kama unavyotaka.
Kama familia hawajaamua kuishirikisha timu kwa ukubwa huo basi hata timu imetoa taarifa kulingana na upatikanaji wake.... Haya mengine ni chokochoko za kiafrika tupu.
Sasa huoni kwa kufanya hivyo wanaenzi kazi kubwa aliyoifanya pale jangwani kwamba kifo chake hakiendi bure??Wangeweza hata kuahirisha shamra shamra kwa muda. Sasa YM akiwa bado hajazikwa ile Jumatatu, lakini cha ajabu yakafanyika maandamano jijini Dar na sehemu nyingine kushangilia usajili wa Chama
View attachment 3032229
View attachment 3032231
Umemjibu vyemaAliyesema wewe ni mtoto kweli hajakosea. Unaweza kujibu hapa ni kwanini Rais Mstaafu akifa (wa nchi yoyote ile) mamlaka zilizopo madarakani hutangaza maombolezo na kushusha bendera japo zama za huyo Hayati zilishapita?
Wanaongelea msaada kwenye dunia ya ubepali
Sio kwamba ni kwa vile utopolo hawana uwezo wa kwenda Florida kula wali maharage msibani?Kwanza misiba yote inatolewa sabab marehem kafa na nini, ila huyu taarifa imetolewa kibabe, Just Manji kafia Florida Marekani. Wakaona hizo ndio taarifa za kutupa walaji. Basi nasi tukauchukulia msiba kama nothing happened
Sio Capitalism! 😀Doto Magari anakwambia "Maisha ya katalizimu" mwenye degree anamsikiliza mwenye zero.
Una akili ww? Kwahiyo Manji alikuwa Rais wa Nchi gani?.Aliyesema wewe ni mtoto kweli hajakosea. Unaweza kujibu hapa ni kwanini Rais Mstaafu akifa (wa nchi yoyote ile) mamlaka zilizopo madarakani hutangaza maombolezo na kushusha bendera japo zama za huyo Hayati zilishapita?
Wangepataikana wengine....Hata kama, bado Yanga inapaswa kumuenzi. Just imagine hao akina Gulamali,Manji,GSM,n.k wasingejitokeza kufanya biashara na Yanga hali ingekuwaje hapo klabuni? Picha utaipata ukirejea ule msimu wa kutembea kapu. Unajizima data sana.
Sio Capitalism! 😀