bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Ni sawa hatukatai #TFF ni Simba 100% sio ajabu nao utakuta wamefunga ofisi kuomboleza kichapo cha goli tano, kati ya Tff zote hii ndio imeshindwa kuficha mapenzi kwa kitoto chao kipenzi Simba.
Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.
Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.
Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.
Roma ikisema imesema
Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.
Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.
Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.
Roma ikisema imesema