Kwanini Yanga icheze kesho na Simba keshokutwa?

Kwanini Yanga icheze kesho na Simba keshokutwa?

Ni sawa hatukatai #TFF ni Simba 100% sio ajabu nao utakuta wamefunga ofisi kuomboleza kichapo cha goli tano, kati ya Tff zote hii ndio imeshindwa kuficha mapenzi kwa kitoto chao kipenzi Simba.

Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.

Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.

Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.

Roma ikisema imesema
Wenye akili ni wawili tuu, ligi inatimu 16, ulitaka ratiba ipangwe akifanya hivi Simba na Yanga afanye hivo hivo
 
Ni sawa hatukatai #TFF ni Simba 100% sio ajabu nao utakuta wamefunga ofisi kuomboleza kichapo cha goli tano, kati ya Tff zote hii ndio imeshindwa kuficha mapenzi kwa kitoto chao kipenzi Simba.

Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.

Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.

Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.

Roma ikisema imesema
Kwavile yanga ndio anaanza kucheza basi tff wanataka afungwe? Akili za wapi hizi
 
Ulitaka Simba wacheze lini na Yanga wacheze lini ndugu?
 
Ni sawa hatukatai #TFF ni Simba 100% sio ajabu nao utakuta wamefunga ofisi kuomboleza kichapo cha goli tano, kati ya Tff zote hii ndio imeshindwa kuficha mapenzi kwa kitoto chao kipenzi Simba.

Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.

Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.

Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.

Roma ikisema imesema

Sio hivyo tu… wameisogeza pia mechi ya Simba V Azam.
 
Uto lialia umesahau pia kashitaki Simba ana kiporo mechi moja. Msikubali kucheza hadi pale Simba itakapomaliza kiporo chake.
 
Tff na BODI ya LIGI ni washenzi sana hii ratiba walikuwa wanalo lao jambo lakini wameshindwa kwa jina la yesu, Kila walichopanga kimeferi wapuuzi Hawa, mechi 4 ngumu mfululizo ndani ya siku chache utafikiri wachezaji ni vyuma ni ukatili wa Hali ya juu, na timu yao walivyokuwa wanataka kuibeba imesambaratishwa kwa kipigo kizito na wamepata somo wasije wakarudia ujinga huu
 
Ni sawa hatukatai #TFF ni Simba 100% sio ajabu nao utakuta wamefunga ofisi kuomboleza kichapo cha goli tano, kati ya Tff zote hii ndio imeshindwa kuficha mapenzi kwa kitoto chao kipenzi Simba.

Simple calculation timu zote zimecheza Jumapili ila ajabu Yanga inayoenda kucheza ugenini wanacheza kesho wakati Simba wakiwa nyumbani wanacheza keshokutwa ukiangalia Yanga ndio walikua na gemu ngumu zaidi kuliko Simba kwa hapa Tff imembeba Simba, ratiba hii inamtengenezea Simba mazingira mazuri sana ya kiupendeleo kuibuka na ushindi huku wakitaka Yanga ipoteze gemu zake.

Chini ya Tff hii wamekua wakiifanyia Yanga figisu za kila aina ili ishindwe bahati nzuri sana Yanga imekua na viongozi shupavu chini ya Rais kijana Eng Hersi na mashabiki shupavu hili limesaidia kuruka vikwazo na viunzi vyote vya Tff kama Yanga angekua legelege hakika angetema pointi zote.

Hata siku moja giza halijawahi kuishinda Nuru.

Roma ikisema imesema
Mkuu unavyoandika madini namna hii!! Kwa hiyo unataka zichezee Siku moja au simba sc wacheze kwanza then yanga. Hatutafika tunakotakiwa kufika.
 
Back
Top Bottom