Hapo Mmoja alikuwa ni Mke na Mwingine ni Mume hivyo kuwa pamoja ni Wajibu wao Kimahaba.Wakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi ya Yanga na Singida lazima Yanga washinde.
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.
Msimu huu tusitegemee mechi ya ushindani kati ya hawa ndugu wa tumbo moja.
Mmeanza malalamiko mapeemaOngeeni na Azam vizuri ni kama ameanza kuwasaliti ila Karia mtaalamu sana kahakikisha msimu huu mnapata medal
Masikini siku zote malalamiko hayaishi. Pambana timu yako ishinde vinginevyo malalamiko hayataisha.Wakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi ya Yanga na Singida lazima Yanga washinde.
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.
Msimu huu tusitegemee mechi ya ushindani kati ya hawa ndugu wa tumbo moja.
Huo muda wa kufuatilia wataupata wapi! Mashabiki wa simba wengi wana tabia za ndege aina ya kasuku.Malalamiko mengi kama watoto wa kambo Yanga wapo Mountain usambara hotel, Singida wapo Sea view hotel muwe mnafatilia vitu kabla ya kupost
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.[emoji23]Wakati Ngao ya jamii inaanza Yanga Singida walikuwa kambi moja na kufanya mazoezi pamoja.
Hii ni match fixing kama zingine tu. Je, kwenye ligi wanapokutana lazima Singida waachie, ndo maana mechi ya Yanga na Singida lazima Yanga washinde.
Nakumbuka msimu uliopita Singida walifungwa na Yanga halafu wakapost, sisi tumefungwa na Yanga kwanini wengine waumie.
Msimu huu tusitegemee mechi ya ushindani kati ya hawa ndugu wa tumbo moja.
Sasa ulitegemea Yanga wawahurumie?Kumbe ndio maana siku ya mechi ya Simba vs SFG Yanga walikuwa wanashangilia sana Simba ilipokuwa inashambuliwa.
Wakati huo huo Simba nasi tuna uhakika wa moja kwa moja kuvuna points 24 kutoka timu nne zenye mahusiano mazuri nazo, ambazo ni Azam, KMC, Namungo na Coastal Union.Nionavyo kabla ligi haijaanza lakini Yanga tayari ina uhakika wa kupata pointi 18 kutoka kwenye vilabu vya Singida FG, Dodoma jiji, na Tabora United. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa mpira wa Tanzania utagundua yanga ina uhusiano mzuri usio rasmi na hizi timu wenye malengo ya kuinufaisha yanga zaidi.
Sio kutuhurumia, Yanga mlitaka tutolewe nao ili mkutane na hawa ndugu zenu wapumbavu wawaachieSasa ulitegemea Yanga wawahurumie?
Kwahiyo Leo mtatoa hamtoi?Sio kutuhurumia, Yanga mlitaka tutolewe nao ili mkutane na hawa ndugu zenu wapumbavu wawaachie