Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Nimepitia mitandao mingi ya uhakika inayoweka kumbukumbu za ubingwa wa soccer duniani. Kumbukumbu hizo zinaonesha Yanga kachukua ubingwa mara 22. Nimeweza kuenda kwenye website ya Yanga nao pia wameweka Title mara 27 lakini miaka waliyoiorodhesha inaishia 22.
Je, lengo la yanga kutunga na kueneza taarifa za uongo lengo lao ni nini!?
Je tunaweza kusema wameshindwa kushindana kwenye mpira na wameamua kuegemea kwenye propaganda!? Au wamewaona mashabiki wao hawana upeo wa kuweza kufuatilia mambo.
Bado najiuliza ni lengo lipi la Yanga kueneza uongo huu na mashabiki wao wameuamini. Na wanahabari wengi sana wameamini propaganda hizi na wanazieneza.
Nimeweka kiambatishi hapa:-
Vilevile kutoka kwenye shirika linaloweka record za soccer duniani
RSSSF Hizi hapa:-
Je, lengo la yanga kutunga na kueneza taarifa za uongo lengo lao ni nini!?
Je tunaweza kusema wameshindwa kushindana kwenye mpira na wameamua kuegemea kwenye propaganda!? Au wamewaona mashabiki wao hawana upeo wa kuweza kufuatilia mambo.
Bado najiuliza ni lengo lipi la Yanga kueneza uongo huu na mashabiki wao wameuamini. Na wanahabari wengi sana wameamini propaganda hizi na wanazieneza.
Nimeweka kiambatishi hapa:-
Vilevile kutoka kwenye shirika linaloweka record za soccer duniani
RSSSF Hizi hapa:-