Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mnoko na ana kimbelembele kama tai ya PutinHeshima kwenu wakuu.
Unajua, nimejiuliza sana hili swali ila sijapata jibu ndani yake kuhusu huyu jamaa juu ya positions zote anazojaribu kuwekwa, kwa nini watu wanamkataa?
NAWASILISHA.
Yuko tayari kufanikiwa kwa kutumika
WASANII WENGI UPEO WA KUJUA MABO NI MDOGO.
UNAITA PRESS UNAONGEA KAMA KIKWETE AU NYERERE, HALAFU PUMBA TUPU.
ILA KANA SIFA ZOTE ZA KUWA MBUNGE WA CCM
POOR=PUA
Ni mnoko na ana kimbelembele kama tai ya Putin
ana damu ya kunguniHeshima kwenu wakuu.
Unajua, nimejiuliza sana hili swali ila sijapata jibu ndani yake kuhusu huyu jamaa juu ya positions zote anazojaribu kuwekwa, kwa nini watu wanamkataa?
NAWASILISHA.
Tatizo Steve ake kama anavojiita siku hizi ni mjanjamjanja Sana ingawa ni kweli anamafanikio kimaisha lakini shida yake hayupo real,akianxa kuongea tu unajua ni mhuni Mana mala ataongea kwa swaga za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere mala Tena atumie tune za Kikwete plus kijifanya ana hekima Sana wakati ni ziro brain tu.Ushauri wangu anatakiwa kuwa yeye kama yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu anaiweza sana kazi ya kupiga vibomu, Wanasiasa wanamuelewa sana steve, akipiga simu tu kabla hawajapokea wameshajua kuwa hiki ni kibomu, so practically kudai/changisha rambirambi ana kuweza.Mbona uchangishaji rambirambi hua anapewa?
Steve rambirambi nyerereKwasababu anaiweza sana kazi ya kupiga vibomu, Wanasiasa wanamuelewa sana steve, akipiga simu tu kabla hawajapokea wameshajua kuwa hiki ni kibomu, so practically kudai/changisha rambirambi ana kuweza.
Kwasababu anaiweza sana kazi ya kupiga vibomu, Wanasiasa wanamuelewa sana steve, akipiga simu tu kabla hawajapokea wameshajua kuwa hiki ni kibomu, so practically kudai/changisha rambirambi ana kuweza.
Chumvi haiharibikiIla unajua Bible ilishasema ; kuwa "Ninyi ni chumvi ya dunia; lakini chumvi ikiwa imeharibika itatiwa nini hata ikolee...?
Haifai tena kabisa, ila kutupwa nje na kukanyagwa na watu."