Kwanini yule jamaa kila nafasi anayotafutiwa kukaa Watu wanamkataa?

Kwanini yule jamaa kila nafasi anayotafutiwa kukaa Watu wanamkataa?

Tatizo Steve ake kama anavojiita siku hizi ni mjanjamjanja Sana ingawa ni kweli anamafanikio kimaisha lakini shida yake hayupo real,

Akianza kuongea tu unajua ni mhuni Mana mala ataongea kwa swaga za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere mala Tena atumie tune za Kikwete plus kijifanya ana hekima Sana wakati ni ziro brain tu.Ushauri wangu anatakiwa kuwa yeye kama yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WASANII WENGI UPEO WA KUJUA MABO NI MDOGO.
UNAITA PRESS UNAONGEA KAMA KIKWETE AU NYERERE, HALAFU PUMBA TUPU.
ILA KANA SIFA ZOTE ZA KUWA MBUNGE WA CCM


POOR=PUA

Tatizo maisha yao ni ya kuigiza mkuu. Hawajui kuishi kwenye uhalisia.
 
Tatizo Steve ake kama anavojiita siku hizi ni mjanjamjanja Sana ingawa ni kweli anamafanikio kimaisha lakini shida yake hayupo real,akianxa kuongea tu unajua ni mhuni Mana mala ataongea kwa swaga za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere mala Tena atumie tune za Kikwete plus kijifanya ana hekima Sana wakati ni ziro brain tu.Ushauri wangu anatakiwa kuwa yeye kama yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisa mkuu...!
 
Mbona uchangishaji rambirambi hua anapewa?
Kwasababu anaiweza sana kazi ya kupiga vibomu, Wanasiasa wanamuelewa sana steve, akipiga simu tu kabla hawajapokea wameshajua kuwa hiki ni kibomu, so practically kudai/changisha rambirambi ana kuweza.
 
Kwasababu anaiweza sana kazi ya kupiga vibomu, Wanasiasa wanamuelewa sana steve, akipiga simu tu kabla hawajapokea wameshajua kuwa hiki ni kibomu, so practically kudai/changisha rambirambi ana kuweza.

Baby ahsante umemaliza kila kitu dear...!

💕
 
Back
Top Bottom