Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Fanfa

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2009
Posts
1,830
Reaction score
2,878
Rais Zelensky wa Ukraine amekuwa akilalamikiwa sana na Rais Putin wa Russia kwamba anatumiwa na West (USA, German, UK & allies). Malalamiko hayo yamezidi kukolezwa na Pro Russia na wanayoichukia USA na nchi za EU kwa sababu wanazozijua wao.

Inawezekana kabisa wanayoichukia USA & allies wakawa na sababu wanazoona za msingi kwa mitizamo yao, lakini kwa nini Rais Zelenskyy naye achukiwe na kulalamikiwa kwa kutetea nchi yake kisa tu eti wanaomuunga mkono na kumsaidia ni USA na washirika wake.

Rais Putin kaenda mbali zaidi na kusema kuwa wanaomsaidia Ukraine wanarefusha vita (Prolong the war). Kwa nini Putin alalamike kuwa vita imekuwa ndefu. Yeye alipoivamia Ukraine alipanga vita iwe kwa muda gani.

Wanayoiunga Ukraine na kuisaidia ni wengi zikiwemo nchi zote za EU. Nafika mahala najiuliza maswali mengi sana. Machache nitayauliza na mengine mtaongezea;

1. Kwa nini Rais Zelenskyy analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin dhidi ya nchi yake.

2. Je, Putin na Pro Russia wanaamini kuwa Ukraine haina haki ya kujilinda na kupigania nchi yake?

3. Je, Rais Zelenskyy kafanya kosa kuamuru majeshi yake yapigane na Russia kutetea uhuru wake na kulinda mipaka yake?

4. Putin alipoivamia Ukraine alipanga vita iwe kwa muda gani mpaka afike mahala alalamike kuwa vita inarefushwa?

5. Kwa nini lawama zote anapewa USA huku akijumuishwa na NATO ili hali wanayoiunga mkono Ukraine na kuisaidia wako wengi?

6. Kwa nini hatusikii lawama nyingi zikielekezwa kwa German, Ufaransa, UK, Turkey, Italy na wengine wakati wote hawa wanatoa silaha kuisaidia Ukraine?

7. Kwa nini Rais Putin na Pro Russia wanamlaumu sana Rais Zelensky kwa kusaidiwa na USA.

8. Je, Putin na Pro Russia walitaka Ukraine asisaidiwe na marafiki zake kutetea na kupigania nchi yake?

9. Je, Rais Putin wakati anatangaza kuivamia Ukraine hakujua kuwa Ukraine ni nchi na ina nchi marafiki akiwemo USA ambao wanaweza kumsaidia kama ilivyo desturi ya mwanadamu kuwa rafiki yako au ndugu yako akipatwa na matatizo lazima umsaidie?

10. Kwa nini Putin kila hotuba yake anailaumu sana NATO huku akijua kuwa NATO ni mbwa tu wa USA na EU? Kwanini asihangaike na mwenye mbwa kuliko mbwa mwenyewe.

Tunahitaji kutafakari na kupata majibu ya haya maswali ili tujifunze zaidi. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari atusaidie. Tunahitaji tu majibu siyo porojo na propaganda na matusi.
 
Rais hula kiapo cha kulinda mipaka ya nchi. Wanaomuona Zelensky mjinga ni wapuuzi tu, Putin alichukua Crimea kimabavu, alipovyokaa kimya mbona hamkumsifia Zelensky?

Migogoro ya Putin na Ukraine ili aichukue Ukraine ilianza toka miaka mingi sana. Na raia wa Ukraine hawakutaka nchi yao ifungamane na Russia.
 
Rais hula kiapo cha kulinda mipaka ya nchi. Wanaomuona Zelensky mjinga ni wapuuzi tu, Putin alichukua Crimea kimabavu, alipovyokaa kimya mbona hamkumsifia Zelensky?

Migogoro ya Putin na Ukraine ili aichukue Ukraine ilianza toka miaka mingi sana. Na raia wa Ukraine hawakutaka nchi yao ifungamane na Russia.
Umeanza vizuri lakini mwishoni Umenichanganya, hapo unajibu swali lipi tafadhari
 
Nataka unijibu wewe!
Naamu,
Kwangu mimi sina shida na Russia kusaidiwa na marafiki zake kama Belarus, Armenia, Iran, SA, Kazakhstan, Eritrea, Mali and Syria.

Kwa nini sasa yeye Putin analalamika sana kwa Ukraine kusaidiwa na USA & allies. Mbona hatusikii Zelenskyy akilalamika kwa Belarus kuisaidia Russia.? Tatizo ni nini.
 
Ndiyo hivyo, ata shetani analaumu uwepo wa Mwenyezi, ndiyo maana akaasi.
 
Rais Zelensky wa Ukraine amekuwa akilalamikiwa sana na Rais Putin wa Russia kwamba anatumiwa na West (USA, German, UK & allies). Malalamiko hayo yamezidi kukolezwa na Pro Russia na wanayoichukia USA na nchi za EU kwa sababu wanazozijua wao.

Inawezekana kabisa wanayoichukia USA & allies wakawa na sababu wanazoona za msingi kwa mitizamo yao, lakini kwa nini Rais Zelenskyy naye achukiwe na kulalamikiwa kwa kutetea nchi yake kisa tu eti wanaomuunga mkono na kumsaidia na USA na washirika wake.

Rais Putin kaenda mbali zaidi na kusema kuwa wanaomsaidia Ukraine wanarefusha vita (Prolong the war). Kwa nini Putin alalamike kuwa vita imekuwa ndefu. Yeye alipoivamia Ukraine alipanga vita iwe kwa muda gani.

Wanayoiunga Ukraine na kuisaidia ni wengi zikiwemo nchi zote za EU. Nafika mahala najiuliza maswali mengi sana. Machache nitayauliza na mengine mtaongezea;

1. Kwa nini Rais Zelenskyy analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin dhidi ya nchi yake.

2. Je, Putin na Pro Russia wanaamini kuwa Ukraine haina haki ya kujilinda na kupigania nchi yake?

3. Je, Rais Zelenskyy kafanya kosa kuamuru majeshi yake yapigane na Russia kutetea uhuru wake na kulinda mipaka yake?

4. Putin alipoivamia Ukraine alipanga vita iwe kwa muda gani mpaka afike mahala alalamike kuwa vita inarefushwa?

5. Kwa nini lawama zote anapewa USA huku akijumuishwa na NATO ili hali wanayoiunga mkono Ukraine na kuisaidia wako wengi?

6. Kwa nini hatusikii lawama nyingi zikielekezwa kwa German, Ufaransa, UK, Turkey, Italy na wengine wakati wote hawa wanatoa silaha kuisaidia Ukraine?

7. Kwa nini Rais Putin na Pro Russia wanamlaumu sana Rais Zelensky kwa kusaidiwa na USA.

8. Je, Putin na Pro Russia walitaka Ukraine asisaidiwe na marafiki zake kutetea na kupigania nchi yake?

9. Je, Rais Putin wakati anatangaza kuivamia Ukraine hakujua kuwa Ukraine ni nchi na ina nchi marafiki akiwemo USA ambao wanaweza kumsaidia kama ilivyo desturi ya mwanadamu kuwa rafiki yako au ndugu yako akipatwa na matatizo lazima umsaidie?

10. Kwa nini Putin kila hotuba yake anailaumu sana NATO huku akijua kuwa NATO ni mbwa tu wa USA na EU? Kwanini asihangaike na mwenye mbwa kuliko mbwa mwenyewe.

Tunahitaji kutafakari na kupata majibu ya haya maswali ili tujifunze zaidi. Mwenye majibu ya haya maswali tafadhari atusaidie. Tunahitaji tu majibu siyo porojo na propaganda na matusi.
Mtu hawezi kukuvamia nyumbani kwako akaanza kuleta vurugu ukamwacha tu, Niko pamoja na Zelesky na hiyo ndio sifa ya mwanaume wa kweli
 
Naamu,
Kwangu mimi sina shida na Russia kusaidiwa na marafiki zake kama Belarus, Armenia, Iran, SA nk.

Kwa nini sasa yeye Putin analalamika sana kwa Ukraine kusaidiwa na USA & allies. Mbona hatusikii Zelenskyy akilalamika kwa Belarus kuisaidia Russia.? Tatizo ni nini.
Swali langu umelielewa? Soma tena mara kadhaa.usipoelewa acha usini quote
 
Kama ingekuwa unatafuta knowledge kabla ya kuandika usingeuliza maswali mengine ya kawaida.
Nakujibu swali lako unalosema kuwa Russia analalamika operation ina endelezwa kwa muda refu.

Jibu ni kuwa Russia hajawahi kusema hiyo statement wala kulalamika bali USA & Allies ndio wanalalamika wakimtaka Russia asitishe operation hiyo-ambapo naye aliwajibu waache kumpa Ukraine silaha.

Hata Ukraine angesaidiwa na mataifa yote duniani,haiwezi kusialidia chochote maana Russia ni taifa linalojiweza kijeshi na kiuchumi.
1.Wanaopigana na Ukraine ni maaskari wa Kampuni za ulinzi kama hapa Tz uchukue wale maaskari wa G4S,huku Ukraine wanapigana Wanajeshi wa Nchi.
2.Russia vifaa vya kijeshi anavyotumia ni stock ya miaka 1960-1980 na kwa Mara chache sana wakichanganya na silaha za current generation.
3.Russia ni Taifa la kwanza Duniani kuwa na resources nyingi,resources zake kila mmoja anazihitaji hapa Duniani include hao west na USA-so kwa vyovyote vile cash inflow hawezi kukosekana.
4.finanally,Russia ina nuklia-akishindwa vyote hivyo anaweza kutumia.

So kwa vyovyote vile at the end ni Ukraine & west ndio watapoteza,ni tahira pekee ndio anaweza akasema Ukraine atawini hiyo operation.
 
Back
Top Bottom