Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Trump atataka kumaliza vita mapema sana na akishindwa kabisa vita itaendelea kwa nguvu zaidi kuliko sasa. Trump sio mtu wa uvuguguvu, ni ama moto ama baridi.
Kumbuka Marekani haiendeshwi na sera za mtu binafsi bali chama na nchi ila mara nyingi Republicans hawapendi vita na Democrats hawaoni shida kwenda vitani, mara nyingi Rep wakiingia vitani ujue hiyo ni vita ya lazima na itakuwa kubwa
Trump hawezi kumaliza vita hizo ni Polimilai tu

Ana ahadi ngapi ambazo kazishindwa?

Tena zile ambazo zilionekana rahisi kutekelezeka lakini alishindwa

What makes you think he would make it happen on this?
 
Vita itaisha,
Trump alishaachana na siasa za Vita maana yeye mwnyw athari za Vita kiuchumi anazijua maana kajiwekeza Sana

Huyu kibabu Biden yeye kakulia jeshini na kwnyw siasa, anaishi kwa Kodi za wamarekani, atajua wapi athari za Vita kiuchumi.

Zaid ya kuchochea TU Moto watu waunguzane yeye anakula TU kwa Kodi[emoji4]
Zelensky ni Pandikizi la West! Hata Ukraine ikiteketea yeye hana hasara.
Anaiteketeza ni nani mbona ni Putin halafu anarusha lawama kwa Zelesky kuiteketeza Ukraine
 
Sababu walitaka iwe kama 2014 Crimea ilipochukuliwa.
Walitegemea Zele angewachekea tu.
Hawaamini kama hawakufika Kyiv
Kwa hiyo wamekasirika Zelenskyy kukomaa nao. Hicho ndo kiwafanye Russia wamlaumu wakati anajitetea
 
Intelejensia inasema Putin alipanga vita vya siku 3 hadi wiki 1 tu.
 
Kwa hiyo wamekasirika Zelenskyy kukomaa nao. Hicho ndo kiwafanye Russia wamlaumu wakati anajitetea
Urusi anapata hasara sana
Kapata hasara sana

Hakutegemea upinzani

Alijua atafanikisha kirahisi kama Crimea na Donbass

Kumbe watu wanamlia timing.

West yote ilikuwa ikiogopa pigana na Urusi, Ukraine alivyoweza zile siku za Mwanzo Poland na Uingeleza zilipeleka Manpads zakutosha
Baada ya hapo kila Urusi akitishia ndo hawamsikilizi

Ndio maana waona hadi leo bado hajafanikiwa

Na ndo maana waona West wanatoa hadi ndege zao kumshikisha adabu.


Kingine ni kuwa wangemchekea Urusi, China naye angeshaiteka Taiwan
 
Kwanini hizo nchi zinazoisaidia Ukraine zinakataza nchi nyingine zisiisaidie urusi?
Kwa sababu ni precedent mbaya ya vurugu kati ya nchi majirani kila kona duniani inayowekwa na Urusi.
 
Kwa sababu ni precedent mbaya ya vurugu kati ya nchi majirani kila kona duniani inayowekwa na Urusi.
Nimelipenda jibu lako lina hoja yenye haja.
 
Swali Fikirishi , hivi Trump akishinda uchaguzi ujao , je hii vita itakoma au Itaendelea ?
Itategemea mabunge ya House of Representatives na Senate yanaongozwa na watu gani.
 
Suala la zelensky kuiingiza Ukraine kwnyw machafuko lilikua suala la muda TU tangu zelensky kipind hicho hajawa hata raisi.

Kwa taarifa yako, zelensky alishakua agent wa CIA tangu kipind anasoma mpk Anafanya uchekeshaji Kisha kuingia Kwny siasa.

Zelensky ndo Alikua kiongozi wa mapinduzi ya 2014 kule Ukraine kwa kivuli Cha USA, kuingoa serikali pro Russia ya raisi aliyekua madarakani.

Lengo la zelensky kua raisi, Ni maksudi alisukwa ili aje kutumika kuiangusha russia.

Ndo maana baada ya zelensky kua raisi zikaanza reforms MBALIMBALI pale Ukraine na kulijengea uwezo mkubwa jeshi la Ukraine na kwa Kasi Sana ili lije kupambana na jeshi la Russia endapo wataingia vitani.

Kabla ya uvamizi, ulaya nzima hakuna jeshi lililkua na uwezo mkubwa was kijeshi kuzidi au hata kulingana na Ukraine.


Ujue hata Waukraine wenyewe walishapiga Sana kelele zelensky asiwe raisi wa nchi ila wakapuuzwa, ubabe ubabe wa USA na demokrasia ya mchongo akajikuta keshakua raisi[emoji4]

Soma Hii tweet hapa Chini wizara ya ulinzi inalalamika Miaka hiyo[emoji116]View attachment 2633558
Hadithi za Abunuwasi hizi.
 
Trump atataka kumaliza vita mapema sana na akishindwa kabisa vita itaendelea kwa nguvu zaidi kuliko sasa. Trump sio mtu wa uvuguguvu, ni ama moto ama baridi.
Kumbuka Marekani haiendeshwi na sera za mtu binafsi bali chama na nchi ila mara nyingi Republicans hawapendi vita na Democrats hawaoni shida kwenda vitani, mara nyingi Rep wakiingia vitani ujue hiyo ni vita ya lazima na itakuwa kubwa

Mmmh hapa nahis hapana nahis kati ya Rep na Dema wanaopenda ngumi zaidi ni Rep mkuu manake nikimkumbuka Bush sina hamu mkuu
 
Urusi anapata hasara sana
Kapata hasara sana

Hakutegemea upinzani

Alijua atafanikisha kirahisi kama Crimea na Donbass

Kumbe watu wanamlia timing.

West yote ilikuwa ikiogopa pigana na Urusi, Ukraine alivyoweza zile siku za Mwanzo Poland na Uingeleza zilipeleka Manpads zakutosha
Baada ya hapo kila Urusi akitishia ndo hawamsikilizi

Ndio maana waona hadi leo bado hajafanikiwa

Na ndo maana waona West wanatoa hadi ndege zao kumshikisha adabu.


Kingine ni kuwa wangemchekea Urusi, China naye angeshaiteka Taiwan
Sentensi ya Mwisho ina hoja. Kwamba USA, German, UK & allies wangekaa kimya na kumwangalia Ukraine anaonewa. Russia na China wangeona ni mchezo mzuri. Hivyo China angetekeleza tishio lake la kuivamia Taiwan.
 
Kwa hilo sikubakiani na nyinyi labda kama mnamuongelea the black Trump.

Ila huyu nayemjua mimi, hapana kwakweli sio wa kumuwekea matumaini kwenye ahadi zake, huko nyuma kashindwa kutekeleza ahadi nyingi tena zile ambazo zilionekana ni simple.

Hata we mwenyewe ukianza tu kufikiria kwenye huo mchakato wa kusitisha vita ambao Trump atatumia, kipi ambacho unakiona unahisi ingekuwa first move ya Trump katika kusitisha vita?

1. Atamuita raisi wa Ukraine na kumshauri ajisalimishe na kuruhusu Russia wachukue wanachokitaka?

Zelensky si atampuuza tu kama alivyofanya raisi wa Mexico?

2. Ataongea na Congress kuwa US haitaendelea kuisapoti Ukraine? Ataziambia na nchi za Ulaya kuwa US haitatoa msaasa wowote kwa Ukraine? (Hii itafanya kazi labda kama unafikiri Congress na Europe ni watumishi wa Trump na hivyo wanapaswa kufanya anachokisema)
Nchi kama USA haiendeshi kwa utashi wa mtu. Zinaangaliwa zaidi interest za nchi. Kwenye hii vita swala la kiusalama ni priority #1 kwa USA.
 
Back
Top Bottom