Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Kwanini Zelensky analaumiwa kwa kuzuia uvamizi wa Putin

Ila NATO wanafiki sana, Libya walikuja sasa sijui wale waasi wa Libya walikua wamejiunga na NATO, sasa hivi hawataki kujitangaza wanaingia Ukraine wamebaki kupigana vita indirect na Russia. Ila hao washenzi kwa uonevu waliofanya acha waaibike, US imemwaga sana damu za watu innocent wakishirikiana na hao EU kwa miaka na miaka. This time arround wamegusa pabaya.
 
Hapo umejibu swali lipi?
Uzi umewazidi uwezo wazee wa porojo. Nao badala ya kujificha ili wasijulikane, badala yake wanajaribu kutia neno ktk mjadala unaowahitaji watu wenye matumizi sahihi ya ubongo.
 
Ila NATO wanafiki sana, Libya walikuja sasa sijui wale waasi wa Libya walikua wamejiunga na NATO, sasa hivi hawataki kujitangaza wanaingia Ukraine wamebaki kupigana vita indirect na Russia. Ila hao washenzi kwa uonevu waliofanya acha waaibike, US imemwaga sana damu za watu innocent wakishirikiana na hao EU kwa miaka na miaka. This time arround wamegusa pabaya.
Inakuwaje hamjibu maswali yetu na badala yake mnakuja na hoja zingine. Hebu tueleze;

1. Kwa uelewa wako, NATO ndo kaenda kuvamia Ukraine?
2. Ukraine ndo kavamia Russia?
 
NAKATAA: Maswali na uzi wenyewe unavyojitafsiri siyo wa mtu mpumbavu hata kidogo. Tengua kauli.
Cha ajabu maswali ya mtu mpumbavu wanashindwa kuyajibu wanapiga porojo tu.

Hata kichaa hujiona ana akili sana na huona chakula cha jalalani ni kitamu zaidi.
 
Siyo Pandikizi la nchi yo yote! Ndiyo maana ana uchungu na Taifa lake na yuko tayari kupambana na Nchi za Magharibi na vibaraka vyake kwa ajili ya kuilinda Russia.
Kwa uelewa wako kumbe Ukraine ni Russia.
 
Inakuwaje hamjibu maswali yetu na badala yake mnakuja na hoja zingine. Hebu tueleze;

1. Kwa uelewa wako, NATO ndo kaenda kuvamia Ukraine?
2. Ukraine ndo kavamia Russia?
Umeshajibiwa bado umekaza fuvu.
Ulishasoma cold war 1960s USSR walipotaka kuipatia Cuba missiles za nuclear? Same na kinachotokea sasa hivi, usikaze kichwa
 
Hata Ukraine hakuwa na mikakati hiyo ya kuivamia Urusi kwa kushirikiana na NATO hizo ni propaganda za Urusi kuhalalisha Uvamizi wake yeye Urusi ndio mwanzilishi wa vita vya kichokozi alianza kwa kuivamia Crimea akarudi akawaunga mkono waasi wa luhask na Donesk wajitengee Ukraine sasa akaivamia Ukraine yote mpaka sasa Putin sababu zake za kuivamia Ukraine hazieleweki huwa anabadilisha kila wakati alisema kuiondolea Ukraine nguvu za kijeshi akasema ni kuwaondoa wauza madawa ya kulevya,baada kuwaondoa wanazi maomboleo baadaye kuwatetea wananchi waukraine mashariki wanaozungumza kirusi
Haulazimishwi kuamini anachokilalamikia putini, wewe endelea kuamini anachosema Zelensky na marekani. Russia imeshaamua kutetea maslahi yake na hakuna wa kum stop ktk hilo
NAKATAA: Maswali na uzi wenyewe unavyojitafsiri siyo wa mtu mpumbavu hata kidogo. Tengua kauli.
Uzi wa kipumbavu na maswali ya kipumbavu. Hii ni sawasawa na kumpa hakimu kuhukumu kesi yenye masilahi naye ya moja kwa moja
 
Inakuwaje hamjibu maswali yetu na badala yake mnakuja na hoja zingine. Hebu tueleze;

1. Kwa uelewa wako, NATO ndo kaenda kuvamia Ukraine?
2. Ukraine ndo kavamia Russia?
Kasome Cuba [emoji1083] missile crisis halaf ulinganishe nahuu wa Ukraine [emoji1255] anachokifanya Russia [emoji635] ni sahihi sanaaaaa
 
Haulazimishwi kuamini anachokilalamikia putini, wewe endelea kuamini anachosema Zelensky na marekani. Russia imeshaamua kutetea maslahi yake na hakuna wa kum stop ktk hilo
Uzi wa kipumbavu na maswali ya kipumbavu. Hii ni sawasawa na kumpa hakimu kuhukumu kesi yenye masilahi naye ya moja kwa moja
Ningekuwa mpumbavu ningezaa na mama yako. Mwulize mama yako anajua tulichofanya naye mpaka ukazaliwa. Ndiyo maana nilikukataa sababu nilijua tu utakuwa mpumbavu.
 
Sababu dola la RUSSIA [emoji635] linapigania usalama wake na DUNIA kwaujumla baada ya hii SMO kumalizika Dunia haitakua kama ilivyokua awali
Una fikira za mwaka 47 kabisa. Endelea kujilisha upepo na kufurahisha nafsi yako.

Anyway, ngoja tuulize maswali zaidi
1. Kwa hiyo SMO itaisha lini?

2. Unajua tofauti ya kutangaza SMO na Real war?. Hebu tueleze

3. Mbona Putin 09/05/2023 aliitangazia Dunia kuwa nchi yake imeingia kwenye Real/True war? Nani sasa tumwamini, wewe au Putin?
 
Back
Top Bottom