samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
Kama zipi toa mfano
Hahaha soma vizuri tu mkuu comments za baadhi ya watu hapo juu, unaweza kukuta wamekaa darasani na wanamiliki degree..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama zipi toa mfano
Mkuu
Ulishawahi kujiuliza kwann mh ndugai anamuogopa CAG wa zamani (prof asad) ????
Au kwann jiwe anamuogopa prof asad???
Umjui Zitto ww hapo anatumika kujua idadi ya wangapi wanapinga teuzi ya bwana mkubwa sasa nenda kichwa kichwa km waliokuwa wamemuamini yule bwana wa Mtama...Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.
Tusubiri makubwa zaidi?
Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Kichere kama mwanaume athubutu kakagua hesabu za wizara ya utawala bora tuone
Zitto anamuogopa jamaa au ana wasiwasi na mchakato unaomwingiza Kichere OfisiniHofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.
Tusubiri makubwa zaidi?
Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Hahaha soma vizuri tu mkuu comments za baadhi ya watu hapo juu, unaweza kukuta wamekaa darasani na wanamiliki degree..
Kaweka zuzu ili amfichie madudu, all is all 2025 tutawafunga Dotto na nduguze, shenzi zao
Zitto anamuogopa jamaa au ana wasiwasi na mchakato unaomwingiza Kichere Ofisini
Kunywa sumu wewe minyooSiyo hofu wala nini bali zito kaona mbali kuwa mkaguzi mpya wa Serikali kateuliwa maalum kwa kazi moja kwenda kuficha ukweli kuisafisha ATCL kuwalinda kwenye Dili la ununuzi wa Ndege lenye ufisadi wa kutisha, atajidai kukagua hesabu zake kisha kuja na majibu ya kuishangaza Duniani kuwa wapo safi, CAG mpya hana jipya zaidi ya kwenda kuharalisha wizi mkubwa, nia Aibu kubwa
Mtaendelea kuota mpaka mwisho wa dunia! Mchukue nchi nyinyi 2026? Kumbe mnakubali 2020 hamuoni ndani?Labda Doto ahame Nchi lakini yeye na kikundi chake 2026 wajiandae kuelekea segerea
ni Uongozi wa JpM unafanya kazi poa na mambo mengi yanaonekana ila kuna vitu vinawaangusha sana kama haya masuala ya uteuzi unaoingiliana na masuala ya kisheria au katiba ndio shidaVingi vinamtia mashaka Zito ikiwemo uzoefu wa kazi ya ukaguzi na pia uthubutu je? Kichere anao uthubutu wa kukagua hesabu za ofisini kwa ndungai? anao uthubutu wa kakagua hesabu kwa katibu mkuu kiongozi? Je? Hata akizuga kukagua hesabu za ununuzi wa Ndege atakuja na majawabu ya kweli? Hivyo ni mojawapo wa vitu vinavyompa wasiwasi Zito kabwe.
Alizoea kupewa udaku na asad wakiwa msikitini
State agent
Kwa sababu Magufuli ni fisadi anaangamiza nchi kizazi cha sasa na kijachoYaani anapaparika mithili ya bisi
Mtaendelea kuota mpaka mwisho wa dunia! Mchukue nchi nyinyi 2026? Kumbe mnakubali 2020 hamuoni ndani?
Njoo nikupe mimba dada!Wewe mbweha bado unaendelea kuvuta Bangi ghetto kwa cyprian Musiba? au umehamia ghetto kwa Le mutuz? angalia usije wachanganya mimba upewe kwingine na kukuza ukakuzie kwingine
Ni wazi itakaguliwa na uchafu kuwekwa chini ya kapetiKwa Nini isikaguliwe?
Vipi anaye gawa mabilioni?? Na barafu wake Bashite????!Kutesa kwa zamu Sasa ni zamu ya ACT wazalendo na Chadema kumuogopa CAG Kichere.Maana Profesa Assad alikuwa mshikaji wao akiwaachia tu wakijimwayamwaya na ruzuku wanavyotaka
Serikali za mitaa tu hamjafika hata asilimia hamsini ndio utajuwa Magufuli hana mtaji mwenyekiti zero kabisa hana ushawishi kabisa yaani hii imekuwa kipi of kizuri kabisa ccm ya Magufuli marehemu kabisa 2020 hapenyi hata kwa koleoMtaendelea kuota mpaka mwisho wa dunia! Mchukue nchi nyinyi 2026? Kumbe mnakubali 2020 hamuoni ndani?