Kwanini Zitto anamuogopa CAG Mpya?

Kwanini Zitto anamuogopa CAG Mpya?

Zitto anasema CAG mpya anadai hanauwezo sijui amempima kwa kutumia nyanja zipi anadai pia kwenye board ya wahasibu na ukaguzi hayumo angali yumo zitto nashindwa kumuelewa anakwama wapiView attachment 1253042
Mkuu Akina Zitto wamebanwa huyo Kichere Ana CPA namba 1449 kasajiliwa NBAA.

Katika Waislamu waongo Zitto.Kabwe nii namba moja ila uongo wake achumge kwa wapemba walioingia ACT wazalendo.Wapemba wengi ni Waislamu hasa hawapendi mtu mwongo mwongo kitakachomkuta akiwadanganya asije kupiga yowe humu

Hapo Zitto anaweweseka yeye na Chadema wanajua CAG anaenda washukia kukagia ruzuku Kama mwewe
 
Mahesabu ya ACT wazalendio hata Chadema wengi naona wamennyong'onyea.Ruzuku zitakaguliwa barabara Hadi shilingi ya mwisho ijulikane ilipo .Kuna viongozi wajiandae kwenda jela
Hahaha na wewe unajiita ni mwanaume shame!!
 
Hahahah leo majini /mapepo ya zito hayata tulia

State agent
Mkuu Akina Zitto wamebanwa huyo Kichere Ana CPA namba 1449 kasajiliwa NBAA.

Katika Waislamu waongo Zitto.Kabwe nii namba moja ila uongo wake achumge kwa wapemba walioingia ACT wazalendo.Wapemba wengi ni Waislamu hasa hawapendi mtu mwongo mwongo kitakachomkuta akiwadanganya asije kupiga yowe humu

Happy Zitto anaweweseka na Chadema wanajua anaenda washukia kukagia ruzuku Kama mwewe
 
CAG mpya aanzie kwenye ukaguzi wa vitabu vya Mahesabu vya chadema na ACT wazalendo .Afanye special audit Kali.Atie timu ya uhakika ipige kambi huko.Ataona midudu kibao
CCM asiende kwa kua aliteuliwa na CHADEMA au act. Uzombie mtupu hakuna logic
 
Alizoea kupewa udaku na asad wakiwa msikitini


State agent
Mkuu Samahani

Nakuomba Sana Usipende Kutumia Vitu Vya Imani Za Watu Katika Mijadala Kama Hii, Inawakwaza Watu.

Mfano Hapo Umetumia Nyumba Ya Ibada Inayotumika Kuomba Kwa Mungu Na Yenye Nguvu Kwa Waislam.

Usifanye Hivi Sio Vizuri Najua Ulitaka Kufurahisha Jukwaa Au Ku Kutia Nguvu Hoja Yako Ila Hivi Sio Njia Sahihi.

Mimi Sio Wa Imani Hiyo Ila Naamini Katika Kila Kinachomkwaza Mwingine Na Mimi Kitanikwaza.

Asante.
 
Hofu ni kuwa kichere hana uwezo na alithibitisha Rais wakati anawaapisha baada ya kumuondoa TRA,

Pia hofu ni kuwa hawezi kuwa na uthubutu wa kuhoji matumizi ya hovyo ya fedha za umma yanayofanywa na serikali hii nk nk
Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.

Tusubiri makubwa zaidi?

Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
 
Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.

Tusubiri makubwa zaidi?

Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Siyo hofu wala nini bali zito kaona mbali kuwa mkaguzi mpya wa Serikali kateuliwa maalum kwa kazi moja kwenda kuficha ukweli kuisafisha ATCL kuwalinda kwenye Dili la ununuzi wa Ndege lenye ufisadi wa kutisha, atajidai kukagua hesabu zake kisha kuja na majibu ya kuishangaza Duniani kuwa wapo safi, CAG mpya hana jipya zaidi ya kwenda kuharalisha wizi mkubwa, nia Aibu kubwa
 
CAG mpya aanzie kwenye ukaguzi wa vitabu vya Mahesabu vya chadema na ACT wazalendo .Afanye special audit Kali.Atie timu ya uhakika ipige kambi huko.Ataona midudu kibao
Akague na procedure za manunuzi ya madege chakavu kwa cash, kivuko kibovu, akumbushie na zile 1.5 trillion zilipopotelea, na mwenendo wa chenga za makinikia zilipoishia, afufue na mauzo za nyumba za serikali.
 
Hahahah leo majini /mapepo ya zito hayata tulia

State agent
Yaani chadema na ACT wazalendo Leo kutwa walikuwa wakimpomda CAG mpya kuwa sio msomi wa CPA .Sasa hivi wamejifungia vyooni wanajifanya Wana matumbo ya kuharisha baada ya kuambiwa anayo tena ya miaka mingi
 
Akague na procedure za manunuzi ya madege chakavu kwa cash, kivuko kibovu, akumbushie na zile 1.5 trillion zilipopotelea, na mwenendo wa chenga za makinikia zilipoishia, afufue na mauzo za nyumba za serikali.
Tuanze na ruzuku za Chadema na ACT wazalendo kwanza
 
Kama utanionesha /nikumbusha lini zito aliwahi kumuataki mwislamu yeyote hapa tanzania hata nje najitoa jf

State agent
Mkuu Samahani

Nakuomba Sana Usipende Kutumia Vitu Vya Imani Za Watu Katika Mijadala Kama Hii, Inawakwaza Watu.

Mfano Hapo Umetumia Nyumba Ya Ibada Inayotumika Kuomba Kwa Mungu Na Yenye Nguvu Kwa Waislam.

Usifanye Hivi Sio Vizuri Najua Ulitaka Kufurahisha Jukwaa Au Ku Kutia Nguvu Hoja Yako Ila Hivi Sio Njia Sahihi.

Mimi Sio Wa Imani Hiyo Ila Naamini Katika Kila Kinachomkwaza Mwingine Na Mimi Kitanikwaza.

Asante.
 
Akague na procedure za manunuzi ya madege chakavu kwa cash, kivuko kibovu, akumbushie na zile 1.5 trillion zilipopotelea, na mwenendo wa chenga za makinikia zilipoishia, afufue na mauzo za nyumba za serikali.

Zipo bilion 251 zilipotea 2014 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa pia akague na zile nyumba kabao za Serikali alijiuzia kienyeji zingine akazigawa kwa hawala na Mdogo wake ambao hawakuwa watumishi wa umma wala kuwa na sifa za kuuziwa nyumba.
 
Hofu hii kwa kiongozi wa Kudumu wa ACT sio ya kawaida na kilio chake kina kelele ya uchungu mkubwa.

Tusubiri makubwa zaidi?

Zitto hofu yako kwa Charles Kichere ni nini haswa?
Mkuu

Ulishawahi kujiuliza kwann mh ndugai anamuogopa CAG wa zamani (prof asad) ????

Au kwann jiwe anamuogopa prof asad???
 
Kusema Kicheere hana sifa ndio kumuogopa na hajawahi kufanya kazi za auditing?
 
Hofu ni kuwa kichere hana uwezo na alithibitisha Rais wakati anawaapisha baada ya kumuondoa TRA,

Pia hofu ni kuwa hawezi kuwa na uthubutu wa kuhoji matumizi ya hovyo ya fedha za umma yanayofanywa na serikali hii nk nk

Kichere kama mwanaume athubutu kakagua hesabu za wizara ya utawala bora tuone
 
Back
Top Bottom