Kwann wanawake wanavumilia umasikini wa baba zao na sio wa waume zao.

Kwann wanawake wanavumilia umasikini wa baba zao na sio wa waume zao.

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
Ni wanawake wachache sana wenye kuweza kuvumilia umasikini wa mme wake akifulia kwa sababu pesa ni kama maji ya mto kujaa,kupungua,kukauka,kujaa tena ni kitu cha kawaida kwa 3D eyes.
Ukiangalia mahusiano mengi yamejengwa kwenye pesa ukitaka kuthibitisha ili check wanaume wastaafu wanayopitia baada ya kukosa vipato,ukiishiwa utakimbiwa akiwa na soko,akikosa soko pa kwenda Hana kwa sababu ya watoto na umri,utakufa kwa stress za kauli chafu dharau nk
 
Ni wanawake wachache sana wenye kuweza kuvumilia umasikini wa mme wake akifulia kwa sababu pesa ni kama maji ya mto kujaa,kupungua,kukauka,kujaa tena ni kitu cha kawaida kwa 3D eyes.
Ukiangalia mahusiano mengi yamejengwa kwenye pesa ukitaka kuthibitisha ili check wanaume wastaafu wanayopitia baada ya kukosa vipato,ukiishiwa utakimbiwa akiwa na soko,akikosa soko pa kwenda Hana kwa sababu ya watoto na umri,utakufa kwa stress za kauli chafu dharau nk
Kawaida hiyo kifupi mwanaume kwenye hii dunia ni mtumwa hasa mwanzo wa maisha hadi kufa kwake..ni mateso na hatakiwi kuonyesha kuwa anaumia..sad
 
Kawaida hiyo kifupi mwanaume kwenye hii dunia ni mtumwa hasa mwanzo wa maisha hadi kufa kwake..ni mateso na hatakiwi kuonyesha kuwa anaumia..sad
Ndo maana wanaume wengine ukimbia majukumu na kuwa upinde coz uanaume sio lelemama
 
Kuitwa mwanaume sio mchezo, kila mtu anakuangallia, ustawi wa familia yako uko chini yako.

Ndugu zetu wengine yanawashinda na kuleft kabisa.
 
Ubaya ubwela baba huwezi mbadirisha ila huu upande wapili sasa aaah! kama daladala tu!
 
Sasa wababa wenyewe wakistaafu wanaenda kula mafao na wanaowaita baby maana huo msamiati kwa wake zao haupo. Zikiisha ndio anarudi nyumbani kavaa ndala alhamisi na ijumaa
 
Back
Top Bottom