Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
- Thread starter
- #21
Wasipopata njaa TZ hali inakuwa mbaya sana. Wanunuzi wakuu wa mazao yetu ni wakenya. Kujimwambwfy wakati hujui ku export.
Kwani maisha ni kushiba tu?
Mbona Japan hawalimi ila ndio top 100 most developed contries wamo.
Usiombe wakenya wajitosheleze chakula parachichi, mahindi tutalisha ng'ombe.
Mwaka huu wanapigwa mafuriko, mwakani wapigwe nzige.
[emoji23][emoji23][emoji23]hii business formula nimeipenda
Lakini ni aibu sana nchi inayojiita the giant of East africa kuwa kwene headline zahivo!