GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Niwe Mzalendo Wao Azam FC ni Wazalendo kwa Simba SC? Acha Unafiki na huna unalolijuaTuwe wazalendo jamani Usimba na Uyanga haukuzi soko la Tanzania unafurahia vp mwakilishi wa nchi yetu ametolewa kwenye mashindano
Sikuwahi kujua kuwa kumbe sometimes huwa unakuwa na Akili hivi japo ni Kidogo / Kiduchu.Azam wangekuwa wanasajili kimya kimya bila kufuata mbwembwe za Simba na Yanga timu isingekuwa na presha
Wanaikamia sana Simba sc acha watoke tu1. Wana Uyanga mwingi
2. Wana Unafiki
3. Wana Dharau
4. Tajiri yao hashauriki
5. Laana ya Usaliti inawagharimu
6. Wachezaji wao wanaikamia zaidi Simba na siyo Yanga
7. Wana Ushamba unaowaponza
Naipongeza mno kama siyo sana hiyo Klabu iliyowatoa Azam FC kwa Aibu hasa katika hatua hizi za Awali kabisa katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho ( CAFCC )
Wajikite zaidi na NBC Premier League.
Kuna ukweli hapa,hata makocha wanachukua wa imani yao pasipo kuangalia uwezo wa kocha. Kipindi hiki wameamua kuchukua makocha wenye sigida kabisa.Shida ya Azam na udini unachangia.
Wanachukua wachezaji wa jamii ya imani yao ili waendane na imani yao.
Hapo Saudia Arabia wanachukua mchezaji yyte pasipo kuangalia imani yake ili mradi ajue kucheza mpira.
Muislamu ndugu yake muislamu
Mwamba huyu hapaView attachment 2728972
Swali, Kati ya Simba na Yanga nani amemfunga Azam mara nyingi??Azamu wanasubiria kuifunga Simba tu basi.
Hii ipo hadi huyo tajiri mtoto wao anatoaga pesa na wanaenda kushangilia Zanzibar.
Wacha hiyo vidudu itolewe ndio ndoto zao.
Wakicheza na Yanga wanafungwa kama vimifugo flani hivi.
Shenztype, jogoomweupe
Halafu wanasingiziaga Hoo tukienda Mikoani tunakosa sauti ya mashabiki. Tunakua sisi kama sisi.
Pumbavu zao
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tuShida ya Azam na udini unachangia.
Wanachukua wachezaji wa jamii ya imani yao ili waendane na imani yao.
Hapo Saudia Arabia wanachukua mchezaji yyte pasipo kuangalia imani yake ili mradi ajue kucheza mpira.
Muislamu ndugu yake muislamu
YangaSwali, Kati ya Simba na Yanga nani amemfunga Azam mara nyingi??