Kwanni nafurahi Azam FC kutolewa mapema hatua za Awali za CAFCC leo?

Kwanni nafurahi Azam FC kutolewa mapema hatua za Awali za CAFCC leo?

1. Wana Uyanga mwingi
2. Wana Unafiki
3. Wana Dharau
4. Tajiri yao hashauriki
5. Laana ya Usaliti inawagharimu
6. Wachezaji wao wanaikamia zaidi Simba na siyo Yanga
7. Wana Ushamba unaowaponza

Naipongeza mno kama siyo sana hiyo Klabu iliyowatoa Azam FC kwa Aibu hasa katika hatua hizi za Awali kabisa katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho ( CAFCC )

Wajikite zaidi na NBC Premier League.
Kwahiyo ulitaka Simba kama wanalegeza makalio wakikutana na Azam waachwe tuu?

Kwani ni lazima timu inayoisumbua Simba iisumbue na Yanga?

Ungekua kiongozi wa mpira nadhani ungeishusha Azam daraja kabisa kwa hulka ya hivo
 
1. Wana Uyanga mwingi
2. Wana Unafiki
3. Wana Dharau
4. Tajiri yao hashauriki
5. Laana ya Usaliti inawagharimu
6. Wachezaji wao wanaikamia zaidi Simba na siyo Yanga
7. Wana Ushamba unaowaponza

Naipongeza mno kama siyo sana hiyo Klabu iliyowatoa Azam FC kwa Aibu hasa katika hatua hizi za Awali kabisa katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho ( CAFCC )

Wajikite zaidi na NBC Premier League.
watu wa football hatusemi wanaikamia Simba kuliko Yanga,

mpira wa simba hauna tofauti na Azam, so wakikutana mule mule tu. Yanga toka 2021 mpaka sasa ni level nyingine
 
Shida ya Azam na udini unachangia.
Wanachukua wachezaji wa jamii ya imani yao ili waendane na imani yao.
Hapo Saudia Arabia wanachukua mchezaji yyte pasipo kuangalia imani yake ili mradi ajue kucheza mpira.
Muislamu ndugu yake muislamu
Hilo limeshihirika kwenye kocha, msaidiz kawekwa mkuu, afuu mkuu kawekwa msaidiz kisa tu Yusuph mwenzao ktk iman
 
Ukishakua na sifa yakuipasua simba basi tafsiri yake una Uyanga[emoji23]
Kwani nani asiyejua kuwa % kubwa ya makolo ni Azam lia lia?huu ni mwendelezo wenu wakuumia tu,ndo maana kila ukilala unaiota Yanga tu
 
watu wa football hatusemi wanaikamia Simba kuliko Yanga,

mpira wa simba hauna tofauti na Azam, so wakikutana mule mule tu. Yanga toka 2021 mpaka sasa ni level nyingine
Mwiko nyuma mna shida kweli Azam hajawahi fika makundi yoyote wakati Simba ni 7 kimataifa halafu unasema wako sawa wewe mwenyewe kombe lako la loser tu hujawahi fika makundi ya CAF champiin league miaka 25 kwa utopolo wako na hutofika hadi miaka 40 kule kwa wakubwa tu
 
Azam siwapendi kabisa. Wao wanachojua ni kuikamia Simba basi. Wajinga kweli na mwaka huu hata top 5 wasiwepo.
 
watu wa football hatusemi wanaikamia Simba kuliko Yanga,

mpira wa simba hauna tofauti na Azam, so wakikutana mule mule tu. Yanga toka 2021 mpaka sasa ni level nyingine
Acha kulinganisha Simba inayocheza super cup na vibonde wanaotolewa round ya kwanza kombe la maloosers.
 
Hizo pesa bora wangejikita kurusha mpira tu
 
Mashabiki wa simba bila kugeneralize wanaona timu yao haiwezi kufungwa mdomoni na humu jukwaani wakati uwanjani ni nyanya bonyobonyo rejeeni Ud Songo mwaka ule.
 
Shida ya Azam na udini unachangia.
Wanachukua wachezaji wa jamii ya imani yao ili waendane na imani yao.
Hapo Saudia Arabia wanachukua mchezaji yyte pasipo kuangalia imani yake ili mradi ajue kucheza mpira.
Muislamu ndugu yake muislamu
Sospeter Bajana.

Ayoub lyanga.

Daniel Amoah.

Malickou Nd'oye.

Prince Dube.

James Akamiko.

Edward Charles Manyama.

Tepsi Evans.(Loan)

Lusajo mwaikenda.

Paschal msindo.

Kipre zunon.

Nathaniel chilambo.


Mkuu acha Udini kwenye mpira,hao hapo juu wote ni wakristo na pia wapo katika timu ya azam.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom