Hoffenheim
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,077
- 2,505
1. Kwanini Yanga walicheza mechi mbili CAF champion league ya Zalan na Al hilal kama ni level nyingine?watu wa football hatusemi wanaikamia Simba kuliko Yanga,
mpira wa simba hauna tofauti na Azam, so wakikutana mule mule tu. Yanga toka 2021 mpaka sasa ni level nyingine
Azam wapo karibu na Simba kuliko ilivyo kwa Yanga.Kabisa umsema kweli wana uyanga sana acha yawakute
1. Kwanini Yanga walicheza mechi mbili CAF champion league ya Zalan na Al hilal kama ni level nyingine?
2. Timu zote zilizofanya vizuri kimataifa zinacheza African super cup. Kwanini Yanga haipo?
Yanga anamfunga AZAM KWA UWEZO ,Simba anafungwa na Azam Kwa kuwa Hana uwezo wa kuifunga AzamAzamu wanasubiria kuifunga Simba tu basi.
Hii ipo hadi huyo tajiri mtoto wao anatoaga pesa na wanaenda kushangilia Zanzibar.
Wacha hiyo vidudu itolewe ndio ndoto zao.
Wakicheza na Yanga wanafungwa kama vimifugo flani hivi.
Shenztype, jogoomweupe
Halafu wanasingiziaga Hoo tukienda Mikoani tunakosa sauti ya mashabiki. Tunakua sisi kama sisi.
Pumbavu zao
Yanga anamfunga AZAM KWA UWEZO ,Simba anafungwa na Azam Kwa kuwa Hana uwezo wa kuifunga AzamAzamu wanasubiria kuifunga Simba tu basi.
Hii ipo hadi huyo tajiri mtoto wao anatoaga pesa na wanaenda kushangilia Zanzibar.
Wacha hiyo vidudu itolewe ndio ndoto zao.
Wakicheza na Yanga wanafungwa kama vimifugo flani hivi.
Shenztype, jogoomweupe
Halafu wanasingiziaga Hoo tukienda Mikoani tunakosa sauti ya mashabiki. Tunakua sisi kama sisi.
Pumbavu zao
Hujui mpira wa miguu mzee sio kma wanaikamia Simba mpira mda mwengne kma draft una formula na formula zinaenda na mtu kwa mtu unaeza kua mzuri Sana ila formula ako usimsumbue mwenzako Simba uwa anaingia kweny copy ya Azam ndomna anamsumbua nasio kma anakamia io ni kawaida tu wew huoni gadiola anaeza pga timu zote ila akikutana na crop wa Liverpool mech inakua ngmu unaeza kua unambinu nzur lakn zisifanye Kaz kutakna na mfumo wako wa uchezaji.1. Wana Uyanga mwingi
2. Wana Unafiki
3. Wana Dharau
4. Tajiri yao hashauriki
5. Laana ya Usaliti inawagharimu
6. Wachezaji wao wanaikamia zaidi Simba na siyo Yanga
7. Wana Ushamba unaowaponza
Naipongeza mno kama siyo sana hiyo Klabu iliyowatoa Azam FC kwa Aibu hasa katika hatua hizi za Awali kabisa katika Mashindano ya Kombe la Shirikisho ( CAFCC )
Wajikite zaidi na NBC Premier League.
Sio kuimamia simba,mpo level sawa ndo maana wana wakanda!Azam siwapendi kabisa. Wao wanachojua ni kuikamia Simba basi. Wajinga kweli na mwaka huu hata top 5 wasiwepo.
Sasa kwann huyo mwenye uwezo huwa anakandwa na asiye na uwezo????Yanga anamfunga AZAM KWA UWEZO ,Simba anafungwa na Azam Kwa kuwa Hana uwezo wa kuifunga Azam
Sio azam hii ya poppatAzam wapo karibu na Simba kuliko ilivyo kwa Yanga.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app