Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko tunakokwenda tutaheshimiana tu.
Uandishi unatakiwa ku balance hasa kwenye issue sensitive kama hizo.Upande wa serikali haukuulizwa na hizo habari mwandishi ha ku confirm na wizara ya afya
Pia hilo tamko la ubalozi wa marekani lina walakini kisayansi ona unasema kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 !!!!!!
Hivi kiini cha maambukizi ya Corona kuwa kubwa ni sababu ya takwimu? takwimu ndizo zinasambaza corona? takwimu ndio wadudu wa corona? Na kuwa tiba ya Corona ni takwimu ukizitoa ndipo watu wanapona!!!
Mwandishi alitakiwa ajiridhishe kisayansi kama ni kweli takwimu ndizo zinasambaza Corona kuwa kadri unavyotoa takwimu sanaaaa Corona inapungua!!! Marekani wanatoa takwimu sana kila saa Corona mbona haishuki?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa,ya wastani au iko chini au haipo kabisa na na ajiridhishe kuwa maambukizi ni kweli yako juu na yanaendelea kuwa juu kama ubalozi wa marekani unavyodai? Sababu tamko lao ubalozi sio la Mungu linahitaji independent verification ya Mwandishi kabla kuchapisha
Pili Alitakiwa ajiridhishe Kupitia wizara ya afya athibitishe ikiwa ni kweli hospitali zetu zina uwezo na mdogo kama ubalozi ulivyosema na kuwa zilizopo zinaweza kulemewa kama zinazodaiwa na ubalozi
Tuwaonee huruma hao TCRA. Pengine nao wanalinda mikate yao tu. Chanzo cha tatizo sote tunakijua vizuri.Hao kama chombo cha habari wametoa taarifa kutoka kwenye chanzo kinachoeleweka, ni jukumu la mamlaka husika na wao kutoa taarifa zao siyo mamlaka nyingine kukitisha chombo cha habari kwa kutoa taarifa zisizopendwa na serikali.
Huko tuendapo Vyombo vya habari vitatishwa kwa kutangaza ushindi wa timu za nchi nyingine dhidi ya taifa au timu za nchini.
Siyo kazi ya chombo cha habari kutangaza taarifa zipendwazo na serikali, serikali isitafsiri uzalendo kwa mtindo wa muwamba ngoma.
Itoshe tu kusema kwamba ilichokifanya TCRA ni WENDAWaZIMU.
Mwandishi aliwasaidia ubalozi kufikisha ujumbe kwa walengwa wao(wafanyakazi wa ubalozi na wamarekani waishio tanzania) kuna ubaya?Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa,ya wastani au iko chini au haipo kabisa na na ajiridhishe kuwa maambukizi ni kweli yako juu na yanaendelea kuwa juu kama ubalozi wa marekani unavyodai? Sababu tamko lao ubalozi sio la Mungu linahitaji independent verification ya Mwandishi kabla kuchapisha
Pili Alitakiwa ajiridhishe Kupitia wizara ya afya athibitishe ikiwa ni kweli hospitali zetu zina uwezo na mdogo kama ubalozi ulivyosema na kuwa zilizopo zinaweza kulemewa kama zinazodaiwa na ubalozi
Hilo lingewezekana kama mchakato mzima wa uchaguzi ungekuwa sawa, hapa mshindi ni yule atakayetangazwa na sio atakayepata kura nyingi!!! Ndio maana licha ya majivuno mengi lakini, hawajiamini kama wana nchi wanawaelewa.Hawa jamaa safari hii wanazikwa rasmi
Kwaiyo unataka mwandishi ageuke wanasayansiUandishi unatakiwa ku balance hasa kwenye issue sensitive kama hizo.Upande wa serikali haukuulizwa na hizo habari mwandishi ha ku confirm na wizara ya afya
Pia hilo tamko la ubalozi wa marekani lina walakini kisayansi ona unasema kuwa kitisho cha maambukizi ya virusi vya corona jijini Dar es Salaam na maeneo mengine kipo juu mno kwa sababu serikali haijatoa takwimu za ugonjwa wa COVID19 !!!!!!
Hivi kiini cha maambukizi ya Corona kuwa kubwa ni sababu ya takwimu? takwimu ndizo zinasambaza corona? takwimu ndio wadudu wa corona? Na kuwa tiba ya Corona ni takwimu ukizitoa ndipo watu wanapona!!!
Mwandishi alitakiwa ajiridhishe kisayansi kama ni kweli takwimu ndizo zinasambaza Corona kuwa kadri unavyotoa takwimu sanaaaa Corona inapungua!!! Marekani wanatoa takwimu sana kila saa Corona mbona haishuki?
Acha kuwa toilet paper ya serikali,badala kuwa mkweli nafsi yako ipone!Ingekuwa nchi yoyote hiki chombo cha habari kingepigwa ban.
Yaani hadi serikali inamwita kaimu balozi mwenyewe wa Marekani na kumtaka atoe maelezo halafu ninyi kama chombo cha habari mnaendelea kutoa habari hizo.
Ukitaka kudumu kwenye cheo chako ni lazima na wewe uone Kane, unatoa mchango gani wa uonevu,, ili kimfurahisha jamaa!!! Ndio yale yale,mzungu akikusifia uchumi wako unakuwa kwa kasi, sifa kwake, ila akikwambia uchumi wako una sua sua, huyo ni beberu!! Anatumwa!Tuwaonee huruma hao TCRA. Pengine nao wanalinda mikate yao tu. Chanzo cha tatizo sote tunakijua vizuri.
WB wametoa taarifa kuwa Tz imeingia uchumi wa kati,tumeona haraka haraka vyombo vya habari vimeruka na habari hiyo!Najiuliza mbona waandishi hawajaitwa kuhojiwa kwanini wamerusha habari hiyo bila kujiridhisha kama kuna ukweli?Au ruksa kwa habari nzuri ila kwa mbaya ndio inakuwa nongwa kureport?Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa,ya wastani au iko chini au haipo kabisa na na ajiridhishe kuwa maambukizi ni kweli yako juu na yanaendelea kuwa juu kama ubalozi wa marekani unavyodai? Sababu tamko lao ubalozi sio la Mungu linahitaji independent verification ya Mwandishi kabla kuchapisha
Pili Alitakiwa ajiridhishe Kupitia wizara ya afya athibitishe ikiwa ni kweli hospitali zetu zina uwezo na mdogo kama ubalozi ulivyosema na kuwa zilizopo zinaweza kulemewa kama zinazodaiwa na ubalozi
Uminyaji wa demokrasia unaendelea na kwa bahati mbaya watanzania wengi hawana uelewa wowote wa mambo haya.
Kwa kuangalia Press Release iliyotolewa, Mwandishi alitakiwa ajiridhishe nini kwa mfano?!
Alitakiwa ajiridhishe kwanza kwamba Press Realese husika ni kweli imetolewa na US Embassy, au?!
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Department of States imetoa a Global Level 4 Advisory for COVID-19?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli risk ya kupata COVID-19 in Tanzania bado ni kubwa?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli Ubalozi wameshauri wananchi wao kuendelea kuchukua tahadhari?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza kama ni kweli health facilities ZINAWEZA kuelemewa?
Alitakiwa ajiridhe kwanza ikiwa ni kweli uwezo mdogo wa hospitali zilizopo INAWEZA kusababisha kuelemewa?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli serikali imeondoa vikwazo vya usafiri kwa international flights?
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli US Embassy inafahamu kuna mashirika kadhaa ya ndege yamepanga kufanya safari zake kuingia Tanzania
Alitakiwa ajiridhishe kwanza ikiwa ni kweli mashirika ya ndege yaliyotajwa yanapokea online reservation?!
Or, ni kipi hasa alitakiwa kwanza kujiridhisha kwa kuangalia the said Press Release ambayo ni:-
Eleza nilipodanganya hizo ngonjera zako hazinisaidii.Acha kuwa toilet paper ya serikali,badala kuwa mkweli nafsi yako ipone!
Hivi nyinyi ndio mnalipwa kweli kwa uozo kama huu !Yaaaaa ! Konyagi ya nini tena jamani mpaka umeumiza mwenyekiti wa ufipa?