aliekatakamba humutuu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 341
- 714
mnafunga kweli au mnakula mchana?๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga kweli ndo kufungaje?mnafunga kweli au mnakula mchana?๐๐๐๐
kwani wewe kufunga unazingatia mambo ganiKufunga kweli ndo kufungaje?
Ila kumbuka sisi wakristu hatuna kitu kinachoitwa futar sjui dakuMilele amina kaka...
Nakuuliza ww uliyetuuliza tunafunga kwel au tunakula mchana..kwani wewe kufunga unazingatia mambo gani
Ukiwa kwenye mwendokasi kule ni kivukoni,Ushanipoteza ... Naijuia Ile ambayo Kuna mwendokasi
Au unasema ipi? Kule darajani
Hongera sana chief,pepo unayo mkononi kwa kujua kwako kufunga kwa imani yako but kama unadhani Mungu anapima kwa mzani mdogo kama huu wewe ndiye unayeshinda njaa.Mnajishindisha njaa tuu hamna kufunga wala nini!! Nyie Kuleni kitimoto na pombe ndo Vitu vyenu nyie na kufunga Wapi na wapi bhnaaa
Nyie kuleni kitimoto na bia muende studios muimbe nyimbo za kusifu muweke vipuli msuke mshindane na diamond na alikiba nyie na kufunga Wapi na wapi? Au mnataka kuchekesha watuHongera sana chief,pepo unayo mkononi kwa kujua kwako kufunga kwa imani yako but kama unadhani Mungu anapima kwa mzani mdogo kama huu wewe ndiye unayeshinda njaa.
Hamna kitu pale .Bondia wako wilder saiz anachakazwa tu
Asante sana nitakalibia siku moja japo kuwa Mimi niko naishi makumbusho ndugu yanguNipo Kigamboni barabara ya machava kwenda kanisa la Roma, fremu zinatazamana na jeshi la wanamaji kigambn duka namba kumi na mbili tupo barabarani hapo mkuu!
Karibu sana
Ndo umeishiwa au tusubiri roho mtakatifu atushukie???Bado hujajua
Unapaswa kujifunza mtumish
AMINA mtumish tumeshirikiLeo nimewahi mapema misa ya kwanza ili niendelee na majukumu..
I hope na wengine mmeshiriki au la jioni msikose misa hii muhimu ya kutukumbusha sisi tu mavumbi na mavumbini tutarudi...