Kwaresma na Pasaka Special Thread

Kwaresma na Pasaka Special Thread

Ushanipoteza ... Naijuia Ile ambayo Kuna mwendokasi

Au unasema ipi? Kule darajani
Ukiwa kwenye mwendokasi kule ni kivukoni,

Ukivuka na pantoni au sea tax kutoka kivukoni unakuja Kigamboni Ferry then utaelekea maeneo mbalimbali ya Kigamboni kama mji mwema, maweni, geza, darajani, kisiwani, Sido, Tungi, kwa urassa, n.k

Saa moja navuka hapo nije Tabata songa ugali mwingi ๐Ÿ˜‚
 
Mnajishindisha njaa tuu hamna kufunga wala nini!! Nyie Kuleni kitimoto na pombe ndo Vitu vyenu nyie na kufunga Wapi na wapi bhnaaa
Hongera sana chief,pepo unayo mkononi kwa kujua kwako kufunga kwa imani yako but kama unadhani Mungu anapima kwa mzani mdogo kama huu wewe ndiye unayeshinda njaa.
 
Hongera sana chief,pepo unayo mkononi kwa kujua kwako kufunga kwa imani yako but kama unadhani Mungu anapima kwa mzani mdogo kama huu wewe ndiye unayeshinda njaa.
Nyie kuleni kitimoto na bia muende studios muimbe nyimbo za kusifu muweke vipuli msuke mshindane na diamond na alikiba nyie na kufunga Wapi na wapi? Au mnataka kuchekesha watu
 
Club ya young Africa wananchi wanawakia kwaresma njema
 

Attachments

  • Screenshot_20250305-204221.png
    Screenshot_20250305-204221.png
    641.1 KB · Views: 1
Back
Top Bottom