sahihi mkuu mfano trfc wa nzega pale ni ktovu cha maokoto. Gari za tbr, khm, shy, mwnz, bkb,karagwe, geita, simiyu, mpnd, mby,kgm, arsh, msh, dsm,moro, ddm, sngd, igng zotee hizi lazima wazisalimie!Trafik uwe mkoa wa Pwani njia ya Dar Moro.
Tiiaraei uwe Kariakoo au bandarini au eapoti.
Lakini trafik ukipangwa Bukoba imekula kwako, kwanza magari niyakuhesabu halafu wahaya hawana hela japo magari Yao mengi Ni mabovu.
Mbona hatuzikii hizo kesi nyingi zama hizi za kula kwa urefu wa kambaWakati wa Magu hadi wakati huu wa mama kuna vijana wengi wamejikuta na kesi za uhujumu uchumi.
Tutakupangia barabara ya Sumbawanga - Kala ambapo kuna basi moja, gari la padri na pick up ya kubebea samaki. Na raia wa huko ni professional wa uchawi.Aisee mwamba umenipa mchongo! Fasta napiga chini uticha, naenda zangu trafik nikale pema ya mama Kizim mkazi😃😃
Zinaenda kimyakimya.Mbona hatuzikii hizo kesi nyingi zama hizi za kula kwa urefu wa kamba
Na zinazimwa na kuisha kimyakimya.Zinaenda kimyakimya.
Kawaida sana hiyo mzee baba katikati ya mji kama DarMia tano per day kwani tirafiki yuko peke yake Dar nzima..... Kusanya bukubuku hadi ufikishe laki 5 maanake ukamate magari karibu 470, halafu tuchukulie hayo mengine 30 utaokota buku tano na machache buku 10. Thubutuuuu
Hata wakati wa Magu zilikuwa zinaisha kimyakimya kwa kumalizana na DPPNa zinazimwa na kuisha kimyakimya.
mzee kama siyo simba utakuwa yanga upo betting saaa hii. hebu tuambie Zanzibar nani atashinda kombe la mapinduzi maana upo vizrui kukaa na kutabiri. Bora ukose pesa kuliko akiliHii ya mwisho.
Nawapa ramani wazee, UTRAFIKI uko njema sana. Ukikaa site nzuri mia 5 per day ni kawaida sana
Ila TIHARA HEI ukikaa kitengo per day kutoka na milioni 10 kawaida tu.
TPA nako kutoka na milioni 2 per day ni mchezo mdogo tu.
Sema UTRAFIKI uko juu kwakuwa ni uhakika, yaani ukiingia tu road maokoto hayo it's quite different from TPA na TIHARA HEI ambapo unaweza kuwekwa sakafuni ule mchanga pekee
Magu hakuwa kiongozi, wala usimuongelee kabisa huyoHata wakati wa Magu zilikuwa zinaisha kimyakimya kwa kumalizana na DPP
Wako sahihi kuziacha. Kuna mtu huko juu kasema habari ya wanaonusa na hii ndio thread nzuri ya kupata dondooMtu unakaa kabisa unabariki rushwa,huo ni uhalifu kama uhalifu mwingine tu wala huna lolote la kujivunia, ukiamua kufanya hayo basi baki huko huko mafichoni.
Na ukishaingia kwenye hizo dili hauishii hapo, ndo maana polisi wanaua watu na kubambikia watu kesi kila siku.
Alafu mods nyuzi kama hizi wanazichekea tu.
Hawa ndo wahalifu malimbukeni, wakidakwa wanaanza kutia tia huruma!Wako sahihi kuziacha. Kuna mtu huko juu kasema habari ya wanaonusa na hii ndio thread nzuri ya kupata dondoo
Ukiwa na gari hutobisha.Mia tano per day kwani tirafiki yuko peke yake Dar nzima..... Kusanya bukubuku hadi ufikishe laki 5 maanake ukamate magari karibu 470, halafu tuchukulie hayo mengine 30 utaokota buku tano na machache buku 10. Thubutuuuu
Exactly.. unaweza kula hela kwa miaka 5 mfululizo but wakikudaka wenyewe.. unapoteza kila kitu ulichokipata kwa halali na kwa magumashi.. hizo hela za namna hiyo sizitaki na TRA hawana mshahara wa kutisha nashangaa watu wanawapapatikia kinoma.Bro heshima mingi kwako. Hii comment yako naisoma kwa mara nyingine. Una dhamiri njema sana na utambuzi mkubwa.
Hela za dili dili sijui rushwa ni kujiweka kwenye matatizo tu. Kwenye baadhi ya hizo taasisi unakuta wanasafisha kwa kubet.
Anasa zisizo na maana, mwisho wa siku ikikata kidogo wanageuka ombaomba.
Watu wabadilike, maisha ya kuigaiga na kuendekeza dili dili hayafai.
Kuna trafiki pale kibamba afadhali wamewaondoa.Trafik uwe mkoa wa Pwani njia ya Dar Moro.
Tiiaraei uwe Kariakoo au bandarini au eapoti.
Lakini trafik ukipangwa Bukoba imekula kwako, kwanza magari niyakuhesabu halafu wahaya hawana hela japo magari Yao mengi Ni mabovu.
Pale mwandege kila daladala inatoa buku tatu huku temeke kilwa road kila daladala inatoa buku mbili hapo bado malori ya mizigo na canter.......Mia tano per day kwani tirafiki yuko peke yake Dar nzima..... Kusanya bukubuku hadi ufikishe laki 5 maanake ukamate magari karibu 470, halafu tuchukulie hayo mengine 30 utaokota buku tano na machache buku 10. Thubutuuuu
Hawa hawajui nadhani.Pale mwandege kila daladala inatoa buku tatu huku temeke kilwa road kila daladala inatoa buku mbili hapo bado malori ya mizigo na canter.......