Asije naye akasingizia CHADEMA kuwa wamewapa wananchi namba zake wakati yeye tu ndiye alishendwa kazi. Maskini jamaa ataondoka hana kitu hata kimoja cha kujivunia katika wizara zote alizowahi kupewani habari za kuaminika kutoka chanzo cha karibu na kawambwa, chanzo hicho kimeendelea kudokeza kwamba, tangu atangaze matokeo ya kdt cha 4 siku chache zilizopita amekuwa akitumiwa ujumbe wa kumtukana na kutishiwa maisha na baadhi ya watu wasio julikana. 'nimekuwa nkitishiwa maisha, hii ni hatari kwangu na kwa familia yangu,hivyo haina budi ning'atuke kwa ajiri ya usalama wangu na familia yangu'kilisikika chanzo hicho kikimunikuu kawambwa.
Mkuu,Wadau,
Kuna tetesi kutoka katika chungu kikuu kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Shukuru J. Kawamba ameitwa na Ikulu. Ikumbukwe kuwa huyu waziri amekuwa akilalamikiwa na jamii jinsi anavyoongoza wizara hii. Watu wengine wamekuwa wakihusisha uteuzi wake wa uwaziri na ukaribu wake na Rais wa nchi.
Lakini cha kujiuliza:
Ni kweli Waziri huyu anaweza kujiuzulu katika serikali ya kulindana?
Rias anaweza kukubali kumtoa waziri kwa sababu ya kukosa kuwajibika?