Goodvision
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 858
- 467
ni habari za kuaminika kutoka chanzo cha karibu na kawambwa, chanzo hicho kimeendelea kudokeza kwamba, tangu atangaze matokeo ya kdt cha 4 siku chache zilizopita amekuwa akitumiwa ujumbe wa kumtukana na kutishiwa maisha na baadhi ya watu wasio julikana. 'nimekuwa nkitishiwa maisha, hii ni hatari kwangu na kwa familia yangu,hivyo haina budi ning'atuke kwa ajiri ya usalama wangu na familia yangu'kilisikika chanzo hicho kikimunikuu kawambwa.
uliona wapi nchi inaendeshwa kishkaji
Itakuwa historia
Ataweka historia ya uungwana, kwani when things go wrong one should feel responsibility.Japo ni kashfa kutokana na uzembe wake ktk ku-handle swala la waalimu lakini atakuwa ameoga.
Ila hata kama akiondoka bado matokeo hayata badilika
I gues this can not happen in tz! Ngoja tusubiri!
Alipaswa kujiuzulu hata kabla ya kutangaza aibu ile.
Kuna watu wanachonga sana jamani, hivi nyinyi kama wazazi mliopo humu JF mlifanya juhudi ngani ili watoto wenu wafaulu? Mitoto yenu inavyoenda kukaa vichakani ikivuta bangi napo wanakuwaga na Shukuru Kawambwa? Na wale mabinti zenu wanaoaga wanaenda shule wanaenda kupika kwa bwana? Waziri wa Elimu kawatuma? Nyinyi kama wazazi wangapi kati yenu wanafuatilia maendeleo ya watoto wenu? Mnakaa kumlaumu Waziri kwani yeye ndio kafanya hiyo mitihani? Kwa taarifa yenu matokeo hayo ndio halisi maana hayajachakachuliwa, inawezekana huko nyuma yalikuwa yanachakachuliwa!!! Acheni kutafuta mchawi nani bali tafuteni suluhu, MNABOA!!!!
Ama kweli wewe ni domo kaya, hivi 65% ya watahiniwa waliofeli walikuwa wavuta bange na malaya?Kuna watu wanachonga sana jamani, hivi nyinyi kama wazazi mliopo humu JF mlifanya juhudi ngani ili watoto wenu wafaulu? Mitoto yenu inavyoenda kukaa vichakani ikivuta bangi napo wanakuwaga na Shukuru Kawambwa? Na wale mabinti zenu wanaoaga wanaenda shule wanaenda kupika kwa bwana? Waziri wa Elimu kawatuma? Nyinyi kama wazazi wangapi kati yenu wanafuatilia maendeleo ya watoto wenu? Mnakaa kumlaumu Waziri kwani yeye ndio kafanya hiyo mitihani? Kwa taarifa yenu matokeo hayo ndio halisi maana hayajachakachuliwa, inawezekana huko nyuma yalikuwa yanachakachuliwa!!! Acheni kutafuta mchawi nani bali tafuteni suluhu, MNABOA!!!!
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2012 EXAMINATION RESULTS
S0497 TEMEKE YOUTH MUSLIM SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 0 DIV-III = 0 DIV-IV = 0 FLD = 21
Hapa zomba atakuambia ni matokeo ya MoU!
Ni kuonyesha uwajibikaji na sio tu kwamba amesikitishwa bali pia ataonyesha kuwa hajaridhishwa na hilo, bila kujiuzulu, ujumbe atakaotuma ni kwamba anakubaliana na hali hiyo na tutashawishika kuamini kuwa ni sera ya serikali kuzalisha mbumbumbu ili watawalike kiurahisi.Ila hata kama akiondoka bado matokeo hayata badilika
ni habari za kuaminika kutoka chanzo cha karibu na kawambwa, chanzo hicho kimeendelea kudokeza kwamba, tangu atangaze matokeo ya kdt cha 4 siku chache zilizopita amekuwa akitumiwa ujumbe wa kumtukana na kutishiwa maisha na baadhi ya watu wasio julikana. 'nimekuwa nkitishiwa maisha, hii ni hatari kwangu na kwa familia yangu,hivyo haina budi ning'atuke kwa ajiri ya usalama wangu na familia yangu'kilisikika chanzo hicho kikimunikuu kawambwa.
Of Course, wape portion ya MoU uone mabadiliko.