Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Bado tunaendelea kushikwa akili na hao watu weupe pamoja na petrol kuwa juu
 
Sisi waroma hatuna time, kupambana au kuwazihaki watu na dini zao, wao tu na mihemko dhid yetu, na wakumbuke Roma haikujengwa kwa siku moja.
 
Shida sana hawa wakristo wa sasa Yesu alikaa na walevi na wazinzi na waovu wengine, lengo ujumbe uwafikie wafanye mazuri, sasa nyie badala ya kumfikishia ujumbe mnataka aombe radhi huku ni kuchanganyikiwa
Tatizo fogo Nini tena wapigwe Sana mkuu na uko ofisini au Wanachama wa nchi hizo wakawaonya watu wanaotafutwa na kuwaambia wawe makini Kuna watu wanasema wanatumiaga hizo picha za mtu mzima mwenye watoto ndg zanguuuuuuuuuuuuu.
 
Chuki ni umaskini tuache chuki Diamond na Zuchu sio wakwanza kufanya kitu km icho apa Tanzania kuna wimbo wa banana zoro kaimbia kanisan unaitwa subira
 
Unadhani msikitini unaingia hivi hivi kwanza huingii na viatu pili mpaka ujisafishe sasa nyinyi hata mtu akitoka kula nguruwe na yeye anaenda kusifu bwana akienda chooni hanawi anaenda kushika kitabu kitakatifu nyie kwenu hamna masharti ya kuingia ndani hata kama ametoka kukata gogo.
 
Usome seminary wewe!!! Unajua lengo la seminary ni nini? Au umesoma shule zinazomilikiwa na kanisa unasema seminary.
Sisi wenyewe ni wskatoliki ila tulikosa sifa za kudoma seminary ije wewe maamuma?
Seminary ni shule maalumu, kwa watu maalumu, kwa lengo maalumu na mchakato wake ni maalumu, kuanzia jumuia, mtaa na parokia
Lazima uwepo uthibitisho kuwa umebatizwa

Lazima lengo na wito wako wa kuwa padre uonekane

Lazima utoke kwenye familia ya baba na mama wakatoliki waliofunga ndoa takatifu ya mke mmoja na
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
Umeshawasiliana na hao wamiliki wa huo wimbo, kama walilipwa? Kwa sanaa ya sasa hawezi kuchukua tu kazi ya mtu kiholela.

Nahisi watakuwa wamelipwa
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
Team Chawa mmepata heading.
Mnatiririka sasa
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
OK!siwezi na sijawahu kuangalia nyumba za diamond zaid ya sekunde 40 huwa nashindwa kabisa
 
Nilikuwa najiuliza tatizo lako nini, kumbe ushamba wa kijijini.

Yani mtu anamsifu Yesu wewe unasema anadhalilisha ukirsto, chuki zilizochanganyika na ushamba.
Nassib Abdul (Daimond) ni mjanja na anajua kulishika soko la muziki, maafisa masoko wake ni wazuri na wanajua wanachokifanya. Ndo maana hata mleta uzi kamfungulia uzi. Kibiashara ni kuwa kiki yake imetiki maana kwa uzi huu kila mmoja wetu atatafuta huo wimbo hivyo Bwana mdogo ukwasi utaongezeka.

Kuhusu kulidhalilisha Kanisa siyo kweli bali ni mihemko ya wenye imani kali.
 
Kuhusu kulidhalilisha Kanisa siyo kweli bali ni mihemko ya wenye imani kali.
Wakristo sisi ni moderate, Mungu wetu hapiganiwi, anajipigania.

Ninyi ndo extremists, mpaka mnadiriki kujilipua mabomu kumpigania ala wenu.

Ala wenu ni dhaifu, anapiganiwa vita na wanadamu.

Jilipueni sana kwa ajili yake, wale mabikira 70 kule kati washavua chupi
 
Sina chuki na Huyu Bwana Diamond, huwa napenda sana nyimbo zake, ni burudani tosha.

Ni takribani mwezi sasa toka huyu Bwana na bint Zuchu watoe wimbo wao walioupa jina 'Mtasubiri sana'. Ni wimbo mzuri katika muktadha wa burudani.

Ukakasi unakuja katika video ya wimbo huu. Kile kinachoonekana katika sekunde za mwanzo za wimbo huu ni dharau na kejeli kwa ukristo, na zaidi kwa kwaya ya Mt. Kizito Makuburi.

Uongozi wa Kwaya ya Mt. Kizito, Mwenyekiti, chukueni hatua za kisheria dhidi ya hawa watu, hatuwezi kuruhusu wimbo wetu wa YESU NI MWEMA kutumika kuinajisi imani, na katika hili hakuna kumuachia MUNGU. Chukueni hatua, shitakini huyu mtu kwa kutumia maudhui ya wimbo bila ridhaa ya kwaya, shitakini huyu mtu kwa kukashifu imani ya wengine.

Dharau dhidi ya imani nyingine sio mara ya kwanza kufanywa na huyu Bwana. Miaka kadhaa nyuma alishawahi kutoa wimbo kwa jina 'Hallelujah' huku wimbo huo ukisifia mambo ya kiasherati.

Kwa kuwa hawa wawili, Diamond na Zuchu wote ni waislamu, na kwa kuwa misikiti ipo mingi tu, kiliwashinda nini kuigiza Zuchu yupo msikitini anaimba Qaswida na diamond yupo club anampigia Zuchu simu kisha huyu bint anaacha Qaswida na kumfata Diamond waanze kutongozana?

Hizi ni dharau na dhihaka kwa wakristo! Kwamba bint mcha Mungu anathamini zaidi uasherati, anaacha kuimba kwaya anakimbilia uhuni, stupid!

Kumnyamazia kimya sio sahihi, he needs to be taught a lesson, mbona nyimbo zake ni nzuri tu bila kuingiza vikorombwezo vya dharau na dhihaka dhidi ya imani nyingine?

Haya anayoyafanya kwa imani ya kikristo anaweza kuthubutu kuifanyia imani yake islam?


#AchaDharau
Mimi ni Mkatoliki through and through na nasema wimbo hauna tatizo lolote na ninawapongeza masista(nuns) waliotoa ruhusa baada ya kuona maudhui ya wimbo wenyewe, kwakuwa mimi ni Mkristo wa dhehebu la Catholic na ndilo lililotoa ruksa naamini huo ndiyo msimamo wa wengi wetu(catholics) hivyo basi uwepo wa individuals wenye mitazamo tofauti haiathiri mtazamo wa wengi.
 
Kwenye ule wimbo wa Banana wa Zoba mbona wanaonesha wanaimba kwaya na wanatoka nje wanatongozana, Kimyaaaaaa

Kuna wimbo wa Rosa Ree I'm not Sorry anaingia Kanisani kavaa nusu uchi, kashika chupa ya pombe huku anavuta bangi akaenda hadi kwa Padri kuungama, kimyaaaaa

Kuna ile Movie ya Kibongo ya Sister Maria Uwoya alifanya kufuru mule ndani, Kimyaaaaaaa

Sio shabiki wa Mondi ila hapo naona ni chuki zimetumika, tuwaonee huruma hao vijana wanatafuta rizki kwa shida sana.
Facts[emoji106]
 
Kwenye ule wimbo wa Banana wa Zoba mbona wanaonesha wanaimba kwaya na wanatoka nje wanatongozana, Kimyaaaaaa

Kuna wimbo wa Rosa Ree I'm not Sorry anaingia Kanisani kavaa nusu uchi, kashika chupa ya pombe huku anavuta bangi akaenda hadi kwa Padri kuungama, kimyaaaaa

Kuna ile Movie ya Kibongo ya Sister Maria Uwoya alifanya kufuru mule ndani, Kimyaaaaaaa

Sio shabiki wa Mondi ila hapo naona ni chuki zimetumika, tuwaonee huruma hao vijana wanatafuta rizki kwa shida sana.
Kwenye zoba hapo umechapia ile hawakua wanaenda kutongozana wale ni malariki pia ni wanakwaya nayule ndiomaana aliita zoba alikua hafunguki nn anata nawale walikua serious nawachofanya ninyimbo inayo angaliwa nayeyote haina kitu kibaya
 
Back
Top Bottom