Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi chukueni hatua za kisheria dhidi ya Diamond & Zuchu

Kwenye ule wimbo wa Banana wa Zoba mbona wanaonesha wanaimba kwaya na wanatoka nje wanatongozana, Kimyaaaaaa

Kuna wimbo wa Rosa Ree I'm not Sorry anaingia Kanisani kavaa nusu uchi, kashika chupa ya pombe huku anavuta bangi akaenda hadi kwa Padri kuungama, kimyaaaaa

Kuna ile Movie ya Kibongo ya Sister Maria Uwoya alifanya kufuru mule ndani, Kimyaaaaaaa

Sio shabiki wa Mondi ila hapo naona ni chuki zimetumika, tuwaonee huruma hao vijana wanatafuta rizki kwa shida sana.
Mtasubiri sana
 
Maturity ni pamoja na ku-ignore mambo ambayo ni kama upepo wa kupita tu.
 
Iwapo imetokea sintofahamu huenda ni Kwa bahati mbaya tu lakini Kwa kumwangalia Nasibu hanaga ego / Pride na mtu au watu!
 
Marehemu mudi amewadanganya sana.

Labda yeye ndo alikuwa akienda msikitini kutafuta wanawake wa kungonoka, kanisa ni pahala patakatifu, watu huenda kutafuta huduma ya kiroho na siyo ngono
Sasa Ibada gani wanawake wanavaa nusu uchi na nguo zilizobana,utadhani ni shindano LA ulimbwende
 
Madhaifu ya hizi dini ni makubwa sana na ikiwekekana tuanze kwanza kufanyia kazi hayo madhaifu yanayofanya na waumini wenyewe kabla ya kumshambulia Diamond na Riziki zake
 
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
nawaza tu kama kuna msikiti unaweza funguliwa kuruhusu watu wafanye huo ushenzi!!!!
 
Hao masista walioruhusu hili kwanza walipewa shing ngapi!?? What a shame!??
 
Kama mlivyo wafuasi wa marehemu mudi mnavyokwepa hoja ya msingi ya KWANINI WASIFANYIE HUO USHUZI WAO MSIKITINI ILIHALI WOTE NI WAISLAMU
Uislam ni Dini iliyosimama Imara yenye misimamo yake Madhubuti, nenda Kusini nenda Magharibi huwezi kukuta watu wakiuchezea shere Uislam,

Lakini mmewekewa Videos mbali mbali hadi za Nje ya Nchi kuonesha watu wanavyochezea hiyo dini yenu na bado kuna hadi porns zinaoneshwa wacheza Porn wamevaa mavazi ya Kiikristo na wananjunjana Kanisani,

Usifananishe Dini ya Haki na Dini isiyo na msimamo ndio maana wenyewe kwa wenyewe Ibada zenu zinapishana.
 
Marehemu mudi amewadanganya sana.

Labda yeye ndo alikuwa akienda msikitini kutafuta wanawake wa kungonoka, kanisa ni pahala patakatifu, watu huenda kutafuta huduma ya kiroho na siyo ngono
Limeishiwa hoja,
Hilooooooooooooo linaona aibu na limepanic kama kichaa aliyeona jalala
 
Ingekuwa watu wanasaga ganja kama sean pol na church sijui ingekuaje 😃😃😃
 
Mbona hizo nyimbo za dini zinapigwa clubs na bars watu wakiwa wamelewa na wanaimba na kucheza hawajawahi kulalamika"
Hoja yako ilikuwa nini ewe mfuasi wa marehemu mudi?

Kwamba mbona fulani anaiba kila siku hajawahi kukamatwa?

Kosa kufanyika lisiadhibiwe hakuhalalishi kosa lingine kufanyika, besides hunipangii cha kusemea, kwangu mimi nimeona hili la Zuchu na Diamond ndo la kusemea, unaweza kuanzisha mada kuhusiana na hiyo hoja yako mfu
 
Kijana kila sehem na utaratibu wake kwa iman ya kiislam mziki ni Haram kabisa ndo maana hakuna ibada hata moja ya kufunga maspika na kupiga ngoma msikitini sijui za kusifu hata uwe na sauti Kama ya malaika hiyo kitu hautaruhusiwa

hao viongozi wa hilo kanisa kama waliruhusu aende kufanya hivyo maana yake walishapima jambo na wakaona halina shida katika imani ya kikristo ndo maana hiyo siyo nyimbo ya kwanza kuimbiwa kanisani hata bongo movies zimechezwa nyingi tu kanisani

Au mmeamua kuiga utaratibu wa kiislam na nyie?
 
Mimi ni mkiristo kabisa sioni shida yoyote kwenye ule wimbo. “ IFIKE MAHALI WAKRISTO TUACHE MIHEMUKO ! ... kama ameshakubali kuwa Yesu ni Mwema sana kwanini roho zetu zimekuwa na ufitina sasa !! .... Msanii ameakisi kile kilichopo kwenye jamii hivi sasa !! Miaka 29 ya ukristo “Mungu awasaidie kuelewa tangulizeni hekima mbele”
Samaleko Abdallah Juma
 
Dini ya kikristo inajiaibisha yenyewe na hili lipo wazi

Kwasababu mazingira na elimu ya dini zote nazifahamu........Nimehifadhi Quran na nimesoma Bible knowledge na Divinity na nimefanya ibada za kikristo wakati nasoma Seminary zao
 
Back
Top Bottom